Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Kampeni zimekaribia ili akivaa yale majoho ya kijani zimkae sawasawa,aonekane naye anazo mapeneKwanini unatafuta kitambi mkuu??...
Powaa mkuuWeka bili ya supu tu mwezi hauishi kitumbo ndii
Tunda la roho ni upendor
Nafanya kama ulivyonieleza npo kwenye matazamioKula vyakula vyote vinavyotokana na nafaka yaani wanga kwa wingi. Kwa kifupi kula mawali-wali na maugali asubuhi, mchana,jioni na usiku non stop.
Siku ukionyesha undugai kitandani kwasababu ya kitambi urudi tena hapa nitakupa maelekezo ya kukitoa kitambi hicho kwa muda mfupi sana hadi usingiziwe una ngoma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka kumtapeli nani?
Kama ni siku moja weka Mto
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Upo mkuu Kichwa Kichafu:Salama salmin wewe tu?
Mwandiko Kama Unaingia Akilini Hivi Na Kupotea Rylee
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo kiongozi.
Chips yai kutwa mara tatuHabar wakuu
Hivi ni vyakula vya aina gani nivitumie nipate kitambi kidogo hata cha kuzugia msaada tafadhari.
ππππππππππππππ π π π π π π π π πUnataka kumtapeli nani?
Kama ni siku moja weka Mto
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Kibongo bongo ni symbol ya mafanikio hata ukivaa suti ukiingia ofisi flani unapewa huduma fasta ni alafu ya ukuu flani ila kwa wenzetu ulaya ni tofauti ni suala la culture mkuu
Ganda la mua la jana chungu kaona kivuno mkuuWatu tunatafuta six pack wewe unalilia mimba kweli Dunia hadaa
Sent by Diaspora
Sure kitambi kinaleta heshimaKibongo bongo ni symbol ya mafanikio hata ukivaa suti ukiingia ofisi flani unapewa huduma fasta ni alafu ya ukuu flani ila kwa wenzetu ulaya ni tofauti ni suala la culture mkuu