Vyakula vinavyosababisha kitambi

Nafanya kama ulivyonieleza npo kwenye matazamio
 
Mzee baba ikifika ijumaa kakae samaki samaki kula bia zako nne then kesho kula supu then kula bia tena jumapili kula supu alafu malizia na bia nne, hii ratiba iwe endelevu, next weekend nenda nayo ivyo ivyo bia nyama supu, yan mwez mmoja utakuwa ushafanya mazoezi ya kuapata kitambi, ila sasa ukishakipata kukitoa ndio shida sasa
 
Kula mapera kwa wingi...ukiskia kiu kunywa soda Ucnywe MAJI hakikisha hupati choo kwa siku mbili mpk 3 mfululizo na ratiba ya kula iwe pale pale..utaleta mrejesho hapa!! Hiki kitambi ninachokushauri kinapatikana ndani ya siku 3 Nakupa na Warranty kbsa ukitaka...
 
Kula chakula unachopenda ushushie na soda au bia ukimaliza kaangalie Sultan kwenye luninga
 
Unataka kumtapeli nani?
Kama ni siku moja weka Mto

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Kibongo bongo ni symbol ya mafanikio hata ukivaa suti ukiingia ofisi flani unapewa huduma fasta ni alafu ya ukuu flani ila kwa wenzetu ulaya ni tofauti ni suala la culture mkuu
Sure kitambi kinaleta heshima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…