Vyakula vinavyosababisha kitambi

Vyakula vinavyosababisha kitambi

Aise kama vitambi vingekuwa vinakodishwa ningekupa changu
 
Uwe umelipa kodi ya mwaka unapokaa, una milioni zaidi ya mbili bank, una uhakika wa kula milo mitatu kwa siku na bia mbili.
 
Mmh! nakuheshimu ila kwa hili Umenichosha best?

Sipend Men mwenye kitambi?
Yan kaz hawawez kabisa.
Nina Experience nao for a while ( I had meet various men with Kitambis from different Angles/location and I found Mostly have poor performance on Bed while Financialy fit)

Napendelea Man awe simple Portability na siyo Mtambi/Obesity hivyo plz naomba ufanye mazoez na uachane na hiyo tamaa ya kuwa na kitambi.

Mostly Vitambis/Obesity(Body max Index) people has tendence of high cholestral,Diabetes,Pressure,Lack of Exercise

"SAMAHAN LAKIN"
 
Mimi ninayo automatic nawaza kupunguza. Nikipunguza nawaza watu watsema mimi mgonjwa . Kitambi ni kupunguza mawazo na kula kwa wakati. basi
 
Kibongo bongo ni symbol ya mafanikio hata ukivaa suti ukiingia ofisi flani unapewa huduma fasta ni alafu ya ukuu flani ila kwa wenzetu ulaya ni tofauti ni suala la culture mkuu
Wabaki na vitambi vyao tu huduma nitasubiri
 
Six park ndio habari ya mjini, kitambi cha kazi gani mkuu?
 
Wenzio wanayakimbia Maradhi, wewe unayakaribisha Maradhi!
 
Anza kutumia kileo aina ya beer iwe ni serengeti, balimi, safari, pilsner n.k ndani yake kuna kimea cha malt ambacho kitakuwezesha wewe kupata kitambi unachokitaka.

Nakaa kando kusubiri mrejesho
 
Fanya hivi..

Kula kitimoto ya kukaanga nusu kilo na ndizi za kukaanga Kila siku.

Hakikisha Kila ukimaliza Kula unashushia bia mbili (sio balimi lakini)

Asubuhi ukiamka kunywa maziwa freshi Lita moja na ndizi za kuiva then subiri kidogo piga break fast..

Usiku Kula Ndizi au wali Kula Sana Sana Sana usiku

Hakikisha muda wote unakuwa na karanga au popcorn au snacks mdomo usitulie

NB.
Usisahau kitimoto + ndizi tafadhali ( hapa ndipo Siri ilipo)

:TRY THIS AT YOUR OWN RISK:

WIKI MBILI TUU UNAKUWA PETER MSECHU.
 
Back
Top Bottom