Inategemea uko wapi...
Kama uko Iringa, hakikisha huchezi mbali na nyama ya wow wow wow!
Kama uko "Ntwala" hakikisha kile kitoweo pendwa cha nyau hakikosekani kwenye menu yako
Kama uko Moshi, usihangaike sana na msosi una ladha gani, we hakikisha tu chini ya meza una machupa kadhaa ya K Vant kwa ajili ya kupimia wateja vipimo vya kanywaji
Kama uko Mbeya, hakikisha kitimoto unafuga mwenyewe karibia na kiwe
Kama uko Dar, hakikisha huchezi mbali na vyepe, mayai na wahudumu warembo wasiojua kusema No...
Kama uko maeneo mapya ya ujenzi, ugali maharage na mtindi vitakutoa
Mengine ntakuambia uliniambia uko wapi...