Nashukuru kwa ushauri huu nitaufuata.Mkate ongeza na blueband, viporo kama wali, vitu vyenye sukari kama soda kunywa bila kujinyima, vyakula vya ngano maandazi na chapati, ugali Wa bila kukobolewa, uji Wa lishe weka na maziwa na blueband, supu uwe unaongeza blueband na mtori yaani kama mzazi katoka kujifungua nakwambia usiponenepa uje tena nikuongezee misosi mingine. Na mboga zipikwe na Katanga wakati mwingine Nazi.
Habarini wakuu,
mwanzo kabla ya 2013 nilikuwa na mwili wa kawaida badae nikaugua karibia miaka miwili sasa nipo kwenye recovery lakini mwili wangu bado umekondeana nashindwa kuelewa ni vyakula vipi nitumie manake najaribu kuongeza quantity ya msosi lakini wapi nimegoogle napewa mjina ya vyakula ambavyo ni vigumu kuvipata majina very strange.
Note: sitafuti kuwa mnene ila mwili fulani nionekane giant kidogo.
nashukuru kwa ushauri mkuu ila ngoma sina.Kwanzavkapime ngoma ujue ukondefu Ni kwasababu ya ugonjwa ama afya dhoofu kwasababu ya lishe. Cha pili achilia moyo maana kama una karoho ka korosho hata ungekula VIP hunenepi ,hivo ka moyo kasijikunje, tatu pendelea kula chips mayai ya kisasa, kuku wa kisasa, kitu moto kwa sana , kataa mawazo yalokuzidi umri, n.k