shalet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 3,430
- 3,547
Habarini wakuu,
mwanzo kabla ya 2013 nilikuwa na mwili wa kawaida badae nikaugua karibia miaka miwili sasa nipo kwenye recovery lakini mwili wangu bado umekondeana nashindwa kuelewa ni vyakula vipi nitumie manake najaribu kuongeza quantity ya msosi lakini wapi nimegoogle napewa mjina ya vyakula ambavyo ni vigumu kuvipata majina very strange.
Note: sitafuti kuwa mnene ila mwili fulani nionekane giant kidogo.
mwanzo kabla ya 2013 nilikuwa na mwili wa kawaida badae nikaugua karibia miaka miwili sasa nipo kwenye recovery lakini mwili wangu bado umekondeana nashindwa kuelewa ni vyakula vipi nitumie manake najaribu kuongeza quantity ya msosi lakini wapi nimegoogle napewa mjina ya vyakula ambavyo ni vigumu kuvipata majina very strange.
Note: sitafuti kuwa mnene ila mwili fulani nionekane giant kidogo.