Eti?Umentia hamuš
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti?Umentia hamuš
Hapok kwenye Chapati vipi mkuu?Hizi ni 'brand zenye hati miliki ya kitanzania'
Vitumbua, chapati, makange, ugali, kachumbali, mtori, "ebyenshoro(wahaya)", "enumbu", "ensharazi", "amakongo", "entutunu", "enumbu", "ebitomasi", "amasoma", udaga, kisusio(wachaga), n.k. EBU NA WEWE ONGEZEA KWA LUGHA YA KWENU
NimekupatašAisee!
Mwanzo sikuelewa ulichokiandika,kisha nikasoma tena comment yako kwa mara ya pili,bila shaka sasa hivi ndio nimekuelewa.
š
KichuliHizi ni 'brand zenye hati miliki ya kitanzania'
Vitumbua, chapati, makange, ugali, kachumbali, mtori, "ebyenshoro(wahaya)", "enumbu", "ensharazi", "amakongo", "entutunu", "enumbu", "ebitomasi", "amasoma", udaga, kisusio(wachaga), n.k. EBU NA WEWE ONGEZEA KWA LUGHA YA KWENU
Amentia hamu ya michembeAisee!
Mwanzo sikuelewa ulichokiandika,kisha nikasoma tena comment yako kwa mara ya pili,bila shaka sasa hivi ndio nimekuelewa.
š
Uko sahihi hii ni michembe aina ya matobolwa ni viazi vilivyopikwa then vikakatwakatwa tofauti na michembe ya viazi vibichi.Matoborwa
Mapalage, Michembe na matobholwa vyote vinatokana na viazi.Kwa kikwetu tunaita amapalage yaani nivile viazi vtamu vilivyokaushwa kiasili na wasukuma ndiyo wanatengeneza hiki chakula, kule kijijini kwetu hasa kipindi cha masika hiki ndiyo chakula ambacho mnashindia. Pia wasukuma hutumia kuwalipa watu wanaoenda kufanya vibarua kwao kama vile wanao palilia mashamba yao, kwakifupi hiki chakula kinatumika sana kipindi cha palizi.
Wenyeji wa chakula hicho hawana "R" kwenye matamshi yao hivyo ni matobolwa na siyo Matoborwa.Matoborwa
Sadza, Pap, Sima/nsima, Banku etcVitumbua = rice pancakes (common in East Africa sio Tanzania tu).
Chapati = flat bread au palatha/palata
Makange = steamed meat
Kachumbari = salad
Ugali = stiff porridge
Mtori = banana soup
Africa nzima wanakula ugali na kila sehemu unajina lake; Zimbabwe wanaita āTsazaā, west africa nchi nyingi wanaita āFu-fuā, na majina mengine kibao.
Hata hivyo vyakula vya kikabila vitakuwa vinamajina mtu akiambiwa ārecipeā.
Hicho ni kinywaji Cha kigaidiAlkasusi
Ndo nini?KIBURU
Kisusio ndio kinini?Hizi ni 'brand zenye hati miliki ya kitanzania'
Vitumbua, chapati, makange, ugali, kachumbali, mtori, "ebyenshoro(wahaya)", "enumbu", "ensharazi", "amakongo", "entutunu", "ebila", "ebitomasi", "amasoma", udaga, kisusio(wachaga), n.k.
EBU NA WEWE ONGEZEA KWA LUGHA YA KWENU
Waulize wachagaKisusio ndio kinini?
We kwenu Oumurushaka?Hizi ni 'brand zenye hati miliki ya kitanzania'
Vitumbua, chapati, makange, ugali, kachumbali, mtori, "ebyenshoro(wahaya)", "enumbu", "ensharazi", "amakongo", "entutunu", "ebila", "ebitomasi", "amasoma", udaga, kisusio(wachaga), n.k.
EBU NA WEWE ONGEZEA KWA LUGHA YA KWENU
Kama kichuri..basically supu mixer damuKisusio ndio kinini?
Kwani walioandika hapo ni wachaga?Waulize wachaga