Vyakula vya Tanzania vyajaza masoko Kenya na Uganda, Tanzania yaanza kutawala soko la chakula EA

Vyakula vya Tanzania vyajaza masoko Kenya na Uganda, Tanzania yaanza kutawala soko la chakula EA

Mlikua mnapata trade Surplus hadi 2014, Magufuli alipoingia madarakani 2015, moto ukaanza kuwaka, kwa taarifa yako, sababu ya hiyo trade deficit ya mwaka jana ambayo ni $41M, ni kwasababu ya kuuza zaidi katika nchi ya Msumbiji, Zimbabwe na Malawi ambazo bado hazijaanza kujitosheleza kwa Chakula kufuatia kimbunga kilichowapata.

Ninakuhakikishia mwaka huu 2019/2020, surplus itakua zaidi ya $100M,Tutawauzia chakula kingi kwasababu hao Uganda mnaowategemea mwaka huu pia wana upungufu mkubwa wa Chakula.
Pole boss, takwimu sio lazima tungoje hadi mwaka uishe. Progress so far ni kwamba bado tunawapiga bao kibiashara. Usione Kenya tukija kidiplomasia kila mara mkianza bifu zenu ukadhani hatujui ni wapi ambapo huwa tunashikia ma'p'. Kenya’s trade in EAC up despite tensions
 
Hahahaha TRA na mazao wapi na wapi? Wanaohusika na ushuru wa mazao ya chakula ni serikali za vijiji, mazao ya biashara ni bodi ya zao husika, TRA haiwahusu kaaaabisa

Biashara ya mazao kwenye jumuiya ya Africa mashariki haina ushuru.
Kwa comment yako hii ni wazi kwamba hujatia mguu wako nje ya Tandale. Wala hujakaribia boda yeyote na majirani wenu ukajua shughuli za kibiashara(cross-border) zinavoendeshwa na TRA/KRA huwa zina majukumu ya aina gani kwenye biashara ya aina hiyo. Tena hujasoma hata sentensi moja ya ripoti hiyo kutoka TRA na BoT ukaona kwamba bidhaa mnazouza kwa wingi Kenya zimeorodheshwa. Pata uhondo kidogo. ..."According to Tanzania
Revenue Authority (TRA)
and Bank of Tanzania
(BoT) computations,
provisional data shows that
Tanzanian trade with Kenya recorded a deficit of
$35.8 million in 2018,
down from a surplus of
$90.2 million in 2017"...
 
Hahahaha kama 99% ya chakula chote mnachokula kinatoka Tanzania, unategemea nchi gani iongoze kwa kuwauzia bidhaa nyingi?

Sababu chakula tunachowauzia hakiingii kwenye mfumo wa industrial products and on the taxation scale haimaanishi kwamba Tanzania haiuzi bidhaa zaidi Kenya, lazy asses tunatawala matumbo yenu mpaka akili zenu, sababu mkishashiba mnafungulia bonbofleva 😁😁😁😁
Hii ni ujinga. Eti 99% ya chakula chetu kinatoka kwenu? Una utoto sana
 
Tofauti kwa mkulima imebadilika na kuwa hasi au chanya au ni business as usual....

vipi hizo faida za soko zinamuinua kipato au anaendelea kunyonywa wakati wanaofaidika ni walanguzi na the usual suspects?
 
Pole boss, takwimu sio lazima tungoje hadi mwaka uishe. Progress so far ni kwamba bado tunawapiga bao kibiashara. Usione Kenya tukija kidiplomasia kila mara mkianza bifu zenu ukadhani hatujui ni wapi ambapo huwa tunashikia ma'p'. Kenya’s trade in EAC up despite tensions
Chukua surplus ya Tanzania ya 2018, na chukua surplus ya Kenya ya 2019. Linganisha, ipi kubwa?,. Tunawapelekesha hadi mwisho [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hasira nyingi alafu unamalizia kwa pumba, eti I bet, badala ya kuthibitisha madai yako. UG ipo kwenye orodha ya Top Ten business partners wa nchi ya Kenya, Tz haipo. Kisa wanaiuzia Kenya bidhaa nyingi zaidi ya nchi yeyote hapa Afrika, sanasana vyakula. Alafu wananua pia bidhaa nyingi zaidi kutoka Kenya. Mkisupply Kenya na x za mahindi UG wanasupply tani x, X2. Uganda overtakes South Africa in Kenya exports
Mh itoshe kukutaarifu Tz ina weza uka supply 5 times wqnacho supply uganda Kenya kwa hayo mazao uliyo yataja tena hayo mahimdi ndio usiseme sasa nafikiri hata 10 times maana yametapakaa na tena mikoa miwili tu inaweza ika supplya mahimdi Kenya nzima. Brother. We have big 6 region hapa hao ni massive producer wa mahindi.
 
Serikali yenu ianze kuprotect wakulima wenu,
Kenyan brokers wananunua izo mchele tooo cheap na kuziuza kenya,
Serikali itafute better market,
Izo bei ni tooo low
 
Serikali yenu ianze kuprotect wakulima wenu,
Kenyan brokers wananunua izo mchele tooo cheap na kuziuza kenya,
Serikali itafute better market,
Izo bei ni tooo low
Ndio faida ya kuwekeza kwa wakulima wadogo wadogo, wanazalisha mazao mengi kwa gharama ndogo sana, ndio sababu tunasema Tanzania ni China ya East Africa, msipokua makini wakulima wenu hawatozalisha tena kwa kukosa soko kutokana na mazao toka Tanzania.
 
Cha ajabu bidhaa wanazouza UG nchini Kenya ni karibia mara mbili ya bidhaa za Tz zinazouzwa Kenya. Alafu hamna nchi yeyote ukanda wa Afrika Mashariki na ya Kati sio Tz, UG, Rw, Br, DRC, S.Sudan, Somalia wala Ethiopia ambayo inauzia Kenya bidhaa za thamani ya hela nyingi zaidi ya inazonunua kutoka Kenya.
Hivi tz inanunua kitu gani kutoka Kenya?
 
Hivi tz inanunua kitu gani kutoka Kenya?
Tunanunua maziwa, Siagi, Jojo, dawa chache sana za binadamu na mifugo, Colgate, mikokoteni na vifaa vya kilimo kama "watering canes na nyaya.

Bidhaa zote tunazitengeneza hata hapa nchini, ndio sababu hata mipaka ikifungwa husikii mtanzania akilalamika kwasababu hakuna kinachokosekana au kupanda bei, hakuna hata bidhaa moja muhimu toka Kenya.
 
Tunanunua maziwa, Siagi, Jojo, dawa chache sana za binadamu na mifugo, Colgate, mikokoteni na vifaa vya kilimo kama "watering canes na nyaya.

Bidhaa zote tunazitengeneza hata hapa nchini, ndio sababu hata mipaka ikifungwa husikii mtanzania akilalamika kwasababu hakuna kinachokosekana au kupanda bei, hakuna hata bidhaa moja muhimu toka Kenya.
kwa maana nyingine substitute goods!
 
Correction: Kenya has been having a surplus in trade with Tz from 1963-2014. 2014 deficit ikaingia, 2015 ikapungua, 2016 ikapungua zaidi, 2017 hivyo hivyo. 2018 surplus ikarudi upande wa Kenya, trend inakueleza tatizo lipo wapi. 2019 licha ya wivu na figisu za mzee wenu wa mikwara mkavunja rekodi ya miaka sita ya kununua bidhaa nyingi zaidi kutoka Kenya.
Takwimu zenu za makaratasi zinawadanganya.

Kama siyo uongo, wakati mnabip kufunga mipaka, Tanzania ingelia sana lkn waliokuwa wanalia ni Kenya. Maana yake, Kenyan mnaitegemea Tanzania kuliko sisi tunavyowategemea
 
Rais alisema "Wameambiwa wajifungie, nao bila kuchanganya na za kwao wanajifungia wakati hata chakula hawana! Wengine wameambiwa usiku ndio wajifungie wasitoke kana kwamba huyo Corona anatembeaga usiku tu! Mhhhhhhhh, Jamanani (kwa sauti ya Magufuli).

Sisi tuchape kazi, tutawauzia Chakula kwa kuwa wao wakati tunalima, walijifungia ndani!

Wale waliokuwa wanafuata upepo na kumtusi Rais wetu, bila kutumia akili wakamdhihaki kwa ubunifu juu ya korona, wakilazimisha anakili wale wengine wanafanya hata kama wao wenyewe hayajawasaidia. Mpo hapo?
Umeelewa uzi kweli?
 
Serikali yenu ianze kuprotect wakulima wenu,
Kenyan brokers wananunua izo mchele tooo cheap na kuziuza kenya,
Serikali itafute better market,
Izo bei ni tooo low
Huku mchele kilo 1 huuzwa mpaka sometimes 30 za kwenu, ni kutokana na uzalishaji wa bei rahisi na huku schemes za umwagiliaji ni nyingi za serikali ambazo ni kama bure

Mbegu, mbolea na inputs karibu zote za kilimo na mifugo zipo subsided na serikali, chengine large plantations ni nyingi, sio kama huko kwenu mwisho hectares 2
 
Back
Top Bottom