The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Naona humu ndani kuna wataalamu wa vyakula kila aina
lakini sioni vyakula vya mfano
wenye vidonda vya tumbo?
au wenye kisukari na kadhalika
nahisi mtu akitunga hata kitabu tu kitauza sana
since wabongo wengi siku hizi ama wagonjwa au wana wagonjwa majumbani
au mtu aanzishe restaurant maalum ya wagonjwa wa magonjwa fulani...city center
lakini sioni vyakula vya mfano
wenye vidonda vya tumbo?
au wenye kisukari na kadhalika
nahisi mtu akitunga hata kitabu tu kitauza sana
since wabongo wengi siku hizi ama wagonjwa au wana wagonjwa majumbani
au mtu aanzishe restaurant maalum ya wagonjwa wa magonjwa fulani...city center