Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Ukiondoa CUF na ACT vingine havijawahi kusimamisha mkutano hata mmoja wa hadhara.Ni hivi hapa
ADA TADEA,
CCK
, NLD,
Demokrasia Makini,
NCCR- MAGEUZI,
TLP,
UPDP,
SAU
, UMD,
NRA
ACT
CUF
na Chama cha DP.
Yule anajielewa sema hana Nyota tuMzee wa ubwabwa naye yupo ama🤣
UDP ya Cheo bado ipo au likufa kifo che mende?Naiongeza
Tako lako lina zivu jingi, mpaka lonanipa shidaBasi kama ni me wewe ni gasho mwanaume hawagi hivi ACHA kutoa inya
Subiri wakuje...Ni hivi hapa
ADA TADEA,
CCK
, NLD,
Demokrasia Makini,
NCCR- MAGEUZI,
TLP,
UPDP,
SAU
, UMD,
NRA
ACT
CUF
na Chama cha DP.
Tutaendelea kukufinya mpa ukome awe dume jikeTako lako lina zivu jingi, mpaka lonanipa shida
Wataua mtu😆😆Subiri wakuje...
Bado unavaa shanga?Tutaendelea kukufinya mpa ukome awe dume jike
ACT
CUF
Kwa hiyo hoja yako ni ni hapa?Umeisahau Chadema, Mbowe alikamatwa enzi ya jiwe tu tangu vyama vingi vianze, na baadae SSH, Mtei hajawahi kukamatwa na Polisi, jiulize kwa nini. Baada ya kufunua veil kwa boss, Mbowe akaachiwa, na akafikia Ikulu. Lissu naye ni project
Hata mabosi hawawajuagi watu wanaokaa chini ya kava la kitabu, boss anakuwa anaona mapicha picha tu. Na wanaomuonyesha mapichapicha ni vijana wake, na yeye baadhi hawajui. Hata mzee mwinyi alionyeshwa mapicha picha na mrema na marando,mpaka mrema akaamua kujisema mwenyewe kazi yake, wakati ambao hana madhara.
Imagine,kwa muda wote kaandamanisha wangapi na wangapi wamekula risasi na rungu zenye uzito wa uzani wa juu.
Si unajua jamaa wana njia nyingi za kufikisha ujumbe, hata juzi Lissu alivyojitapa kuwajua wachungaji wanaoagiza sukari, ni wale wale wa kijitonyama wanamtumia kijna wao Lissu kutoa maneno. Yaani Lissu ni spika tu ya kutolea sauti
hizi ndio siasa za kistaarabu. Siasa sio uadui. hii nchi ni yetu sote. tutakufa tutaiacha. lazima tupendane tunapokuwa tuko hai.
Siku za hivi karibuni tumeona kwamba Mamluki huwa hawajifichi. Ama...
Sawa basi;upo sahihi.hizi ndio siasa za kistaarabu. Siasa sio uadui. hii nchi ni yetu sote. tutakufa tutaiacha. lazima tupendane tunapokuwa tuko hai.
JESUS IS LORD & SAVIOR
Inaweza kuwa viroba vya sembe kwani njaa kali hatari 🤪Wakati wanapinga maandamano walinunuliwa suti mpya, safari hii sijui wamenunuliwa nini.
Inaweza kuwa viroba vya sembe kwani njaa kali hatari 🤪Wakati wanapinga maandamano walinunuliwa suti mpya, safari hii sijui wamenunuliwa nini.