Mwingereza
JF-Expert Member
- Jan 21, 2014
- 1,115
- 2,771
Katika hotuba ya Mh. Lisu kufunga mwaka, iliyosheni mambo mazito yanayowagusa watanzania wa nyanja zote, amezungumzia vyama mamluki ambao wanashirikiana na CCM kufanya uhuni ndani ya taifa letu hasa kutaka kuleta usanii kwenye swala la katiba mpya.
Je hivi vyama mamluki ni vyama gani?
Je hivi vyama mamluki ni vyama gani?