Uchaguzi 2020 Vyama pinzani naomba tumieni mbinu hii ya kivita ili kuiangusha CCM 2025

Uchaguzi 2020 Vyama pinzani naomba tumieni mbinu hii ya kivita ili kuiangusha CCM 2025

Uwesutanzania

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2019
Posts
1,380
Reaction score
1,686
Bila ya shaka humu wapo manguli wengi tuu wa vyama pinzani. Na wamekuwa wakipigana vita hivi kwa muda mrefu tuu na hawakuweza kufua dafu.
Baba angu "lipumba, lissu nk huku mwisho wa siku mkiambulia manyoya na bendela ya ccm ikipepea angani.

Naomba leo niwape mbinu ya kivita na mtakuja nishukuru baadae.

Hii ni kama vita mnayopigana kutaka kuungasha ufalme wa CCM wenye wanachama wengi na ni chama la mda mrefu.

Cha kwanza kwenye vita hii ni kudili kwanza na mizizi ya huu falme. Ili mti uanguke nilazima kwanza kwanza utie sumu kwenye mizizi au kukata kabisa mizizi.

Sasa mizizi ya CCM ni ipi?
Ni wanachama
Plan yenu ianzie hapa.

Kwanza kabisa tieni sumu kwa wananchama wa CCM na waanze poteza imani na chama chao.

Waanze ona chama lao halina haki.

Hii sumu wengi munaitumia wakati wa kampeni tena kwa maneno hii haiwezi saidia kuamisha wanachama wa CCM.

Wafanyeni waanze chukia hii chama.

Najua mnawapiganaji wachache na wenye nguvu.

Mkija kupata na watakaotoka kule mbona mtakuwa na wengi tena wengi mno.

Wapiganaji wenu tayari wanaimani haina haja ya kutumia nguvu mingi kuendelea kuwajaza imani haisaidii.

CCM inawanachama wengi. Hata ukisema vyama pinzani wote muungane na muwe na kiongozi mmoja bado haitasaidia kitu.

Hivyo basi kampeni ikiisha nanyi ndo muanze zoezi lenu. Kwanini nimesema kampeni ikiisha. Kampeni tunaihesabu ni kama ndo vita imepamba moto. Huweza wafanya wapiganaji kusaliti chama lao wakati wa vita tena katika ya mapambano huo ni hii kitu huwezi fanikiwa never.

Subirini vita iishe najua mtapigwa ila msife moyo.

Najua wenyewe mnajua nini cha kufanya. Sio mnasubiri mpaka 2025 ndo mnaanza piga watu maneno mtaferi kama mnavyofeli sasa.
 
Mkuu hii mbinu ilikuwa ianze kujaribiwa December 2015, hat hivyo hawajachelewa 2025 hii hapo tu!
 
Mkuu hii mbinu ilikuwa ianze kujaribiwa December 2015, hat hivyo hawajachelewa 2025 hii hapo tu!
Mkuu hizi mbinu sio za kuzianza miaka ya uchaguzi tena wakati wa kampeni haiwezi saidia. Kama nilivyosema wakati wa kampeni au uchaguzi ni kama wakati vita imepamba moto huwezi wabadilisha wapiganaji wakati huu.

Kwanza jifanye unafanya ila sio kwa ajiri ya vita tena. Hapa utagundua na udhaifu wa adui yako pia.


Kaangalie season moja ya kiindi inaitwa CHANDRAGUPTA
kuna mbinu nyingi za kivita zipo mule. Namna achanakia alivyouangusha mti mkubwa wa sananandi kwa kutumia kitoto kidogo CHANDRAGUPTA
 
Mbinu kubwa ni kuzuia wizi wa kura unaofanywa na NEC kwa niaba ya CCM, wapinzani wakiweza hilo tu nchi ni yao.
 
M

Mbinu kubwa ni kuzuia wizi wa kura unaofanywa na NEC kwa niaba ya ccm, wapinzani wakiweza hilo tu nchi ni yao.
Hiko unachokisema wewe ni kuitaka haki vitani.

Ni sawa na kudai mpinzani wako anakutendea trick sawa. Sasa kwanini na wewe usitafute trick kusovu hiyo kitu.

Vitani ni vitani kuna mbinu nyingi zaweza ziwe za halali au zisiwe za halali.
Cha kuangalia sisi kwa upande wetu sio trick/ghushi ya mwenzetu. Sisi ni kuangalia trick/ghushi ya kwa upande wetu. Sawa wao wanacheza na nec. Je sisi tucheze na wapi na wapi ndo point mkuu
 
huwa na natamani sana huyu beberu mweupe angeendelea kutawala hakika tungekuwa kimaendeleo mbali sana
Maendeleo ya mtu mweupe ni maendeleo ya vitu sio maendeleo ya watu.

Utawala wa mtu mweupe hauna tofauti na utawala wa sasa.

Utawala wa maendeleo ta vitu. Sisi tunataka maendeleo ya watu.
 
Maendeleo ya mtu mweupe ni maendeleo ya vitu sio maendeleo ya watu.

Utawala wa mtu mweupe hauna tofauti na utawala wa sasa.

Utawala wa maendeleo ta vitu. Sisi tunataka maendeleo ya watu.
Kwahiyo chadema ndio ataleta maendeleo ya watu?
 
Kwahiyo chadema ndio ataleta maendeleo ya watu?
Hapana hapa tulikuwa nje ya maada.

Jibu langu halina uhusiano na maada yangu.

Maada yangu nilikuwa kwenye ushauri wa nini cha kufanya vyama pinzani ili kuishinda CCM mi wala sizungumzii maendeleo kwenye maada yangu.
 
Mkuu hii mbinu ilikuwa ianze kujaribiwa December 2015, hat hivyo hawajachelewa 2025 hii hapo tu!

Hujui kuwa ilikuwa marufuku kufanya siasa hadi wakati wa kampeni.

Au hii mada inatoka kwa Mzee baba mwenyewe ambaye tena katapita kamarufuku hadi 2025?

Hapa ni "sasa basi!"
 
Hujui kuwa ilikuwa marufuku kufanya siasa

Unazungumzia kampeni/vikao vya siasa?

Kama ni hivyo. Mi mi siwashauri mtumie mbinu ya vikao (kampeni) kwani hata kwenye hivyo vikao watakao kuja ni walewale majeshi yenu. Yaani mtakachokuwa mnakifanya ni kuendelea tu kuwajaza imani majeshi yenu yaleyale. Mbinu yangu mimi nikuua kabisa imani ya wana CCM ndani ya chama chao
 
Hiko unachokisema wewe ni kuitaka haki vitani.

Ni sawa na kudai mpinzani wako anakutendea trick sawa. Sasa kwanini na wewe usitafute trick kusovu hiyo kitu.

Vitani ni vitani kuna mbinu nyingi zaweza ziwe za halali au zisiwe za halali.
Cha kuangalia sisi kwa upande wetu sio trick/ghushi ya mwenzetu. Sisi ni kuangalia trick/ghushi ya kwa upande wetu. Sawa wao wanacheza na nec. Je sisi tucheze na wapi na wapi ndo point mkuu

Tambua siasa zilipigwa marufuku baada ya uchaguzi 2015. Akiendekezwa mzee baba atapiga tena marufuku hadi 2025.

Mbinu za kivita ni hoja sahihi. Wapo wana CCM na hata wana Chatto wengi tu ambao hawatampigia mzee baba kura.

Inapaswa kujipanga kivita na kimkakati. Kusiibiwe kura na mshindi ndiye tu atangazwe.

Tulinde kura zetu. Tumalize sasa yale mazungumzo baina ya ACT na CDM.

Tumnadi mgombea wetu sasa kwa pamoja.
 
Bila tume huru hawa wafanye hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza penda chama laghai hivyo
 
Tambua siasa zilipigwa marufuku baada ya uchaguzi 2015. Akiendekezwa mzee baba atapiga tena marufuku hadi 2025.

Mbinu za kivita ni hoja sahihi. Wapo wana CCM na hata wana Chatto wengi tu ambao hawatampigia mzee baba kura.

Inapaswa kujipanga kivita na kimkakati. Kusiibiwe kura na mshindi ndiye tu atangazwe.

Tulinde kura zetu. Tumalize sasa yale mazungumzo baina ya ACT na CDM.

Tumnadigombea wetu sasa pamoja.
Narudia tena;
Kama hawa wanacheza fojali kwenye mabox ya kura kwanini na nyinyi musiangalie fojali kwa upande wenu. Kwani fojali zimeisha ?
Kama hamuna fojali zaidi ya haki mtasubiri sana
 
Hapa walipo hapa ni wa moto huwaambii lolote wakakuelewa.
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    249.6 KB · Views: 3
Hii ndo mizizi ya ufalme wa CCM
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    205.6 KB · Views: 2
Unazungumzia kampeni/vikao vya siasa?

Kama ni hivyo. Mi mi siwashauri mtumie mbinu ya vikao (kampeni) kwani hata kwenye hivyo vikao watakao kuja ni walewale majeshi yenu. Yaani mtakachokuwa mnakifanya ni kuendelea tu kuwajaza imani majeshi yenu yaleyale. Mbinu yangu mimi nikuua kabisa imani ya wana CCM ndani ya chama chao

Sumu itakwenda kwa osmosis mjomba bila ya kufanya siasa?

Unadhani hao CCM hawajui kuwa ya UNIP au KANU yanawanyemelea?
 
Hiko unachokisema wewe ni kuitaka haki vitani.

Ni sawa na kudai mpinzani wako anakutendea trick sawa. Sasa kwanini na wewe usitafute trick kusovu hiyo kitu.

Vitani ni vitani kuna mbinu nyingi zaweza ziwe za halali au zisiwe za halali.
Cha kuangalia sisi kwa upande wetu sio trick/ghushi ya mwenzetu. Sisi ni kuangalia trick/ghushi ya kwa upande wetu. Sawa wao wanacheza na nec. Je sisi tucheze na wapi na wapi ndo point mkuu
Nyinyi mcheze na MIGA na Robert Amsterdam. Na HARDTALK!
 
Back
Top Bottom