Vyama vya siasa feki Tanzania

....shule shule shule...................nendeni shule jama......tuondoleeni uchafu wa kidini hapa...........

mzee, nakushauri ugoogle MENSA !! nafikiri itasaidia sana na wengineo waliomo humu ndani ya forum !
 
mzee, nakushauri ugoogle MENSA !! nafikiri itasaidia sana na wengineo waliomo humu ndani ya forum !

......mshauri huyo asiye na shule........ndiko kunamfaa.........na sidhani kama ataelewa nini kinaendelea........mshauri aende kwanza shule
 
Tatizo nini wakati website ambayo haijapondwa mpaka sasa ni www.chadema.net chini ya Mwenyekiti Mbowe na Katibu Mkuu Dr Slaa?

Asha

Asha, website ya CUF ndio ilikua ikitolewa makosa, lakini baadala yake watu wakataka kurukia mambo mengine. Lakini naona hukuziona statements zingine ambazo hazikua juu ya huu mjadala isipokua hii. Huyu Mbowe ni Fisadi period, kama mafisadi wengine tunaowapiga vita, Chenge, Mr clean nk. Mwanachama hapo juu yeye ukimgusa Mbowe basi ugomvi. Ukweli ni kwamba website ya CUF haijatulia hata kidogo...sasa hasira za nini kama watu wakisema?
 

Ufisadi wa Mbowe ni upi?Ni wewe peke yako Unamtambua Mbowe kama fisadi,lakini Chenge,Mramba,Karamagi na Mkapa wanatambuliwa na wana wa tanzania.Mlijaribu kutafuta suluhu kwenye ufisadi kwa kumpakazia Mbowe lakini wananchi wakawang'ang'ania ninyi tu.Mungu hamtupi nja wake.

Endeleeni kuendekeza ushirika na Shetani lakini kiama chaja.Na msilalame!
 
hawa cuf ni chama cha kidini na hawana nafasi yoyote ya kuongoza nchi. Hivi vyama vya upinzani vyote ni fake kama ulivyosema mwanzoni. ccm haina haja ya kuvichunguza hivi vyama kwani vinajibomoa vyenyewe.


Kama CCM walivyo Chama cha Mafisadi,tuseme kwa kuwa CUF kuna waislam wengi basi na kwa kuwa CCM kuna mafisadi wengi,iwe kwamba CCM yote ni ya Mafisadi? Mimi sijawahi kufuikiria hivyo,lakini kumbe ninyi CCM huwa mnajiona hivyo na kuridhika na hiyo hali? Mtakiona cha moto!
 
sio mwanzo, nakaribia climax !



Kichani mwa mtu panapokuwa karakana ya Shetani......

Wakuu mpaka hapa mmejua aina ya watu ambao CCM inawatumia,kwa kweli ni watu wenye matatizo ya akili maanake huwa hata hawatambui thamani yao ndio maana wanafanya kazi za aibu.

Plz usije ukajaribu ku-expose ID yako kwa watoto wako wakajua wewe ndio unatumia hilo jina maanake hata wanaweza wakakukana.
 

Sasa huo ni uongo...wewe umeshauliza wangapi humu ndani? Usitake kutisha watu kumtumia mungu! mungu wetu sote!!
 

wazee wa saddam hussein naona mnazidi kuongezeka lakini vile vile kwa kasi hiyo hiyo mnayoongezeka na itakuwa kasi hiyo hiyo mtakavyoondoka humu ! ulichoongea kinaitwa M.A au Mdebwedo Analysis !
 

Wrong.........tena DEAD WRONG !
 

Ungekuwa unatumia muda propotionally kutafiti ufisadi wa viongozi wa vyama vyote usingepata shida kujua jibu la swali lako! Msiwape viongozi wa vyama vingine free pass kwa kuweka watu wa chama kimoja tu chini ya microscope.
Thats a huge mistake!!!
 
Ungekuwa unatumia muda propotionally kutafiti ufisadi wa viongozi wa vyama vyote usingepata shida kujua jibu la swali lako! Msiwape viongozi wa vyama vingine free pass kwa kuweka watu wa chama kimoja tu chini ya microscope.
Thats a huge mistake!!!

RIGHT ON ! Unaona sasa hata ufisadi wa mbowe haujui, kwa sababu ni mvivu kuamka na kuchunguza both sides ambazo wengi tumekuwa tukipigia kelele humu.... Ni vibaya sana kushabikia kitu au mtu ambae humjui ! Thats a HUUGGEEEEEE MISTAKE, tena maybe A GRAVE MISTAKE !
Wengine tukianza kuwachunguza viongozi wa upinzani kwa manufaa ya taifa, tunaanza kuitwa majina kedekede ambayo hatustahili kuitwa...lakini that doesnt stop our spirit as long as we know what we are fighting for.
 

Kila mtu anayeomba dhamana ya kuongoza taifa ni lazima afanyiwe uchunguzi muafaka bila kujali chama anachotoka.

Tabia ya kutetea viongozi na vyama fulani ambayo imejitokeza humu JF inapoteza maana na umuhimu wa JF.

Tunapoongelea vyama tuongee sera, katiba na imani za vyama hivyo kama zinavyoelezewa kwenye nyaraka rasmi za vyama hivyo. Tunapowazungumzia viongozi wake tuwe na uthibitisho wa yale tunayosema.

KUFANYA VINGINEVYO NI PROPAGANDA AMBAZO SIKU ZOTE TUTAZIPIGA VITA.
 
wazee wa saddam hussein naona mnazidi kuongezeka lakini vile vile kwa kasi hiyo hiyo mnayoongezeka na itakuwa kasi hiyo hiyo mtakavyoondoka humu ! ulichoongea kinaitwa M.A au Mdebwedo Analysis !


Umezoea mdako wewe,hapa huwa tunakata ishus za taifa

Unajua huwa wanasema nini? Kilicho sehemu isiyostahili ni Uchafu.
Kada unastahili kuwa vijiweni na wahuni wenzako,usituletee bangi zako hapa.Usije hapa kuvuruga mada,unatukana members hapa ukifungiwa unalia JF kuna double standards
 


Kweli kabisa mkuu,ukimchunguza Kikwete,Mramba,Chenge,Lowasa nk. kwa muda wao waliokaa madarakani utapata nini? Plz stick to the point buddy!
 

unajua sina mazoea na wewe, lakini kwa hili sikuweza kuacha liondoke, unaweza kuniambia ni nani niliyemtukana humu ndani ya forum ? au kama kuna yeyote niliyemtukana basi ajitokeze ! LINI ulishawahi nisikia kuna double standards, na kama nilisema je ulielewa nilichokuwa nakiongelea ?

anyway tuendelee kujadili vyama feki ambavyo vimejaa rundo tanzania na tuvikemee !
 
 
 

Ndiyo kuna member humu ndani ulimwita Ignorant kwenye ile thread ya jana ya 'WANAJF"

Pia kuna mahali ulimtukana mwafrika wa kike.

Ndiyo maana nikafikiria mtu mwenye akili timamu hawezi kutukana hovyo hapa unless unakula Jani.


Kuhusu kujadili vyama feki Tanzania,naanza Na CCM.


CCM ni CHAMA feki kuliko Vyote Tanzania kutokana na kuwa chimbuko la umaskini wetu.Hawa ndio wako responsible kwa

-Huduma duni za afya na elimu

-Ukosefu wa ajira klwa vijana kutokana na sera mbovu za ubinafsishaji
-Chanzo cha maovu yote kamavile Uchangudoa,ujambazi na uharamia kutokana na wananchi kuwa maskini kotokana na sera mbovu za CCM

-Vijana wengi kukosa elimu bora na pia CCM ndio chanzo cha ongezeko la watoto wa mitaani ambao wengi utakuta ni yatima kutokana na wazazi wao kujihusisha na biashara haramu za kujiuza,au wazazi wao kuwatoroka au kuikana familia kutokana na hali duni ya maisha ambyo tumesababishiwa na hicho chama feki kilichokaa madarakani tangu uhuru kupitia Tanu na kisha CCM yenyewe.

- Leo hii Kenya wametugeuza soko lao kutokana na sisi kuwa nyuma kiuchumi,CCM kwa kweli wako responsible kupotea kwa heshima ya taifa letu.

- Mianya mingi ya ukandamizaji katika mfumo wetu wa mahakama umesababishwa na Hiki chama feki CCM kwani ni chama ambacho hata kunyoosha system yetu ya mahakama kilishindwa kwani hiki ni chama ambacho kina hitoria ya Kunakili vitu na kuiga tu.Sanaa yao kubwa hata ktk sera zao wenyewe ni katika COPY and PASTE technology

-Kwa kweli hiki Chama kimeota mizizi ya ufisadi kwani tangu wanachama wake waliopewa dhamana ya kuongoza wizara mbalimbali walipokabiliwa na tuhuma za Rushwa,basi kutokana na ufeki wa hicho chama hakijawahi hata siku moja kujitokeza na kuwahoji hao Mafisadi ili kutufanya sisi wananchi tuamini kwamba hakijahusika na ufisadi.

Hayo hapo juu ni machache tu.Sijui kada na wenzako mko nchi gani kama haya yote hapo hamuyaoni.Najua mtaleta mashambulizi ya kijinga lakini jibuni hoja ili msije kuthibitisha ufeki wenu zaidi hapa.

Heshima mbele!
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…