thats ok ! we can give ccm a head start ! sure, why not ! anza ! na tutajimwaga kwa wingi kuchangia..
...Soma previous post ya Ben ambaye amenisaidia church work (true visual) ya CCM.
Na ufeki huu wa CCM ndio unaopelekea vyama Makini vionekane havina maana kwani havishabikii sera potofu za kimazingaombwe za CCM...
Then Mkuu Kada jitahidi kupunguza matumiza ya PR za enzi za Mohamed Ali... Yaani usidhani kumtukana mtu ili kumpandisha jazba halafu uweze kupindisha mada humu...... shekhe tafuta mbinu mbadala
...Soma previous post ya Ben ambaye amenisaidia church work (true visual) ya CCM.
Na ufeki huu wa CCM ndio unaopelekea vyama Makini vionekane havina maana kwani havishabikii sera potofu za kimazingaombwe za CCM...
Then Mkuu Kada jitahidi kupunguza matumiza ya PR za enzi za Mohamed Ally... Yaani usidhani kumtukana mtu ili kumpandisha jazba halafu uweze kupindisha mada humu...... shekhe tafuta mbinu mbadala
Mkuu umenena! Cha ajabu utawaona watakavyokuja na jazba hapa kama vile CCM haihusiki na hayo movu machache kati ya mengi hapo juu.
quite a good discussion, keep it up.
Lakini kwa kuwa hamtakubaliana sisi tutapigia filimbi ya kumaliza mjadala.
Sera: Kwa ufupi vyama vyote sawa kwa uzuri,
utekelezaji: CCM feki kwa utekelezaji, Wengine hatujawapima hatuwezi kusema (tunataka kujaribu)
Vionngozi: ccm feki, serikalini, feki kamati kuu ya chama, wengnine wachache, angalao kamati kuu za chama chao.
utashi: ccm wapo wachache, wengine wapo wengi.
Amefisadi nini wewe Mapambano?Asha, website ya CUF ndio ilikua ikitolewa makosa, lakini baadala yake watu wakataka kurukia mambo mengine. Lakini naona hukuziona statements zingine ambazo hazikua juu ya huu mjadala isipokua hii. Huyu Mbowe ni Fisadi period, kama mafisadi wengine tunaowapiga vita, Chenge, Mr clean nk. Mwanachama hapo juu yeye ukimgusa Mbowe basi ugomvi. Ukweli ni kwamba website ya CUF haijatulia hata kidogo...sasa hasira za nini kama watu wakisema?
wewe unafikiri uko sahihi?Wrong.........tena DEAD WRONG !
wewe unafikiri uko sahihi?
ccm ni genge la wahuni tu.
...samaki mmoja akioza......
Msanii mzee, unaweza ukaniambia ni wapi nilipokutukana ?? i take this very seriously !...Soma previous post ya Ben ambaye amenisaidia church work (true visual) ya CCM.
Na ufeki huu wa CCM ndio unaopelekea vyama Makini vionekane havina maana kwani havishabikii sera potofu za kimazingaombwe za CCM...
Then Mkuu Kada jitahidi kupunguza matumiza ya PR za enzi za Mohamed Ali... Yaani usidhani kumtukana mtu ili kumpandisha jazba halafu uweze kupindisha mada humu...... shekhe tafuta mbinu mbadala
nilifikiri utaanza kuichambua ccm kama ulivyoahidi mzee !
... Mkuu nadhani umesoma post ya Ben ambayo ameelezea how fake CCM is, ambapo nilipokuwa naingia online niweze kuchangia nikaona tayari someone alikuwa ana-read ktk akili zangu....
Bajet ambayo serikali ya ccm wanaiandaa ni feki kwani haijawahi hata siku moja kukidhi matakwa ya hali halisi tofauti na inavyopigiwa debe (tupu) ktk kuiwasilisha... Ufeki mwingine ktk sera, chama kinatoa ahadi ya kuongeza ajira milion lakini in reality hakuna hata hayo maandalizi ya hata mazingira ya hizo ajira... bado wapishi ktk restaurant za bongo ni trespasser (wageni) ukiachilia mbali ajira ktk mashirika ambazo zinashikwa na wageni ilhali kuna watanzania wamebobea ktk fani hizo na kuzidi...Ufeki ktk mipango na ushirikishaji jamii ambapo kila kukicha unasikia biff kibao kati ya wananchi dhidi ya serikali inayowalazimisha kuhama maeneo wanayowapora ili wapewe wawekezaji halafu hata hiyo fidia ni kiduchu au huko ambako wananchi wanapaswa kuhamia utakuta vigogo (magogo) wameshawahi kujinyakulia maeneo... Angalia ccm inavyowakumbatia machinga kipindi cha uchaguzi na ahadi lukuki lakini ni vita baada ya matokeo kutangazwa....
Viongozi wote waliojiuzulu kwa ujasiri wa kifisadi ni viongozi waandamizi ktk chama ambapo pamoja na kujiuzulu kwa umma bado wanaonekana safi mbele ya chama, je utaniambia hiki ni chama makini kweli????
Ni mengi ila kwa hayo machache yanaweza kukupa picha ya mahala uliposimama...
Kuhusu kutukana ninaamini nilighafilika, haujawahi kunioffend and accept my appology
Vyama feki ni vile ambavyo vinajua kuwa havina uwezo wala mikakati ya kuongoza nchi lakini kila siku wanapiga kelele za kujifanya wanaomba dhamana ya kuongoza nchi.
Kwa Tanzania ya sasa vyama vyote vya upinzani isipokuwa CUF upande wa visiwani ni FEKI. Hakuna hata chama kimoja kinachoamini kuwa kitapata dhamana ya kuongoza nchi anytime soon na wala hakuna chama chenye mikakati ya kweli ya kisera na human resourse ya kuongoza nchi.
Mzee Zemarcopolo,
umesahau kwamba kuna ile kitu inaitwa "RUZUKU" ambayo hutolewa kila mwezi kwa vyama vya siasa nchini....nafikiri "wazee" hupata mkwasu wa kupiga sop sop si unajua tena wengine wamekimbia shule na biashara inaenda kombo....sasa bila ya siasa sijui watakula wapi !
tupo pamoja mzee, hamna ubishi hapo ! tunaendelee na kazi, kazi na dawa yakhe !
Vyama feki ni vile ambavyo vinajua kuwa havina uwezo wala mikakati ya kuongoza nchi lakini kila siku wanapiga kelele za kujifanya wanaomba dhamana ya kuongoza nchi.
Kwa Tanzania ya sasa vyama vyote vya upinzani isipokuwa CUF upande wa visiwani ni FEKI. Hakuna hata chama kimoja kinachoamini kuwa kitapata dhamana ya kuongoza nchi anytime soon na wala hakuna chama chenye mikakati ya kweli ya kisera na human resourse ya kuongoza nchi.
Na huo ndio hapa ninauita u- FEKI.
Vyama feki ni vile ambavyo vinajua kuwa havina uwezo wala mikakati ya kuongoza nchi lakini kila siku wanapiga kelele za kujifanya wanaomba dhamana ya kuongoza nchi.
Kwa Tanzania ya sasa vyama vyote vya upinzani isipokuwa CUF upande wa visiwani ni FEKI. Hakuna hata chama kimoja kinachoamini kuwa kitapata dhamana ya kuongoza nchi anytime soon na wala hakuna chama chenye mikakati ya kweli ya kisera na human resourse ya kuongoza nchi.
Mbona hata hiyo CCM ni chama feki kinawadanganya sana wananchi na kuwapumbaza waamini kuwa ni chama bora pekee kumbe uozo mtupu.