Pre GE2025 Vyama vya upinzani Tanzania na siasa za maigizo ya kukipinga chama Tawala

Pre GE2025 Vyama vya upinzani Tanzania na siasa za maigizo ya kukipinga chama Tawala

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Siasa za vyama vingi zilianza mwaka 1992 baada ya IMF na WB kutoa vipaumbele na masharti kwa nchi zitakazotaka kukopeshwa kwa wakati huo, masharti hayo ni pamoja na kuwa na soko huria na kuwa na demokrasia ya vyama vingi
Hapa Tanzania vikaundwa vyama siasa vikiwemo CUF, CHADEMA, UDP, NCCR kwaajiri ya uchaguzi wa mwaka 1995
Kwakuwa vyama vya upinzani viliundwa kwa shinikizo na si mahitaji ya raia ikapelekea waasisi na viongozi wa vyama hivyo kupandikizwa ili ionekane demokrasia ipo nchini
mfano
Mwasisi wa CHADEMA, ndg Edwin Mtei huyu alishakua waziri wa fedha enz za Nyerere
CUF ikawa na Maalim Seif ambaye naye alishawahi kuwa waziri kule Zanzibar NCCR kulikuwa na Lytonga Mrema ambaye alikuwa waziri wa mambo ya ndani
Kwahiyo wapinzani wa kisiasa walikua ni mamluki kutoka ktk serikali ya ccm

Siasa za maigizo na upinzani wa kutengenezwa ulianza 1992 na hadi leo upo

watanzania kama wanategemea CCM kuondolewa na vyama upinzani hilo jambo haliwezi kutokea hadi upinzani wa kweli wa siasa uwepo

itaendelea...
Lyatonga Mrema hakuwa mwanzilishi wa NCCR alidandia tu mwaka 1995.
 
Lyatonga Mrema hakuwa mwanzilishi wa NCCR alidandia tu mwaka 1995.

nani alianzisha hicho chama kipindi hicho?

kwa faida ya wengne, NCCR Ilikuwa na mamluki wa kisiasa waliotumwa kwa kazi maalum
hivi na wewe bado ujajua Mbatia alikuwa nan kabla ya kuwa mwanasiasa
 
nani alianzisha hicho chama kipindi hicho?

kwa faida ya wengne, NCCR Ilikuwa na mamluki wa kisiasa waliotumwa kwa kazi maalum
hivi na wewe bado ujajua Mbatia alikuwa nan kabla ya kuwa mwanasiasa
Mimi nimekurekebisha tu kuwa Mrema hakuwa mmoja wa waanzilishi wa NCCR na kama asingekuwa na tofauti na uongozi wa serikali na CCM asingekwenda NCCR hiyo dhana yako ya uanzishwaji wa vyama vya upinzani sijaigusa, nilitaka kuweka tu record sawa.
 
Mkuu ww ulienda mahakamani kumuunga mkono Mtikila, au ww ni mchambuzi tu usiyekuwa na mbinu yoyote?

Mbinu kwaajiri ya nini?
Mtikila namkubali sana japo marehemu

unamkumbuka deus malyah yule aliyefuzu mafunzo kule sudan?
 
na id, moja tu mkuu
nitagombea urais kama kutakuwa na nafasi kwa mgombea binafsi, maana hv vyama vilivyopo ni mamluki wa kisiasa na wengne wapo kazini kuhakikisha lengo lao la kuwachanganya raia ili kuipa ushindi chama tawala
Nenda mahakamani mkuu ukadai mgombea binafsi, au unasubiri vyama vya siasa vikusaidie kudai hilo tamanio lako?
 
Nenda mahakamani mkuu ukadai mgombea binafsi, au unasubiri vyama vya siasa vikusaidie kudai hilo tamanio lako?

kama sijakosea, mahakama ilishatoa tamko\hukumu kwa mgombea binafsi ni haki ya msingi ya kuwa na mgombea binafsi na kwa mpiga kura kuwa na uhuru wa kumchagua mgombea binafsi

za chinichi nikupe, upo mpango wa kusogezwa mbele uchaguzi hii yote ni usanii tu ili waendelee kuwepo madarakani muda mrefu na waonekane wanazngatia demokrasia
 
Kumbe WB na IMF wakisema Rais akiwa chama tawala lazima Spika atokee upinzani hilo litakuwa ikiwa ni sharti ya kukopa. Masikini Hana uhuru.
 
CCM si chama.cha siasa tena bali ni kundi la Wapigaji

Wanaona nchi ni yao na watatawala milele

wajifunze kupitia Arab spring na mapinguzi ya kijeshi afrika magharibi
 
Hali ni mbaya sana, makosa aliyoyafanya Nyerere sasa yameanza kuleta matokeo.

Wakati tunaingia kwenye mfumo wa vyama vingi Nyerere alikuwa na ushawishi mkubwa sana, licha ya kwamba 80% hawakutaka mfumo wa vyama vingi, Nyerere alilazimisha. Tukaingia kwenye mfumo tukiwa na katiba ya mfumo wa chama kimoja, hili likawa kosa namba moja.

Kosa namba mbili ilikuwa ni kukiacha chama kongwe kishindane na vyama vichanga. Ilitakiwa CCM ifutwe, wote waanze mchakato wakiwa vyama vichanga.

Sasa CCM haitaki kusikia upinzani, kila kukicha wapinzani wanatekwa, wanauliwa na kuteswa.

Wananchi hatutakiwi kukosoa wala kujiunga na upinzani, maana kuwa upinzani ni kujisogeza kaburini.

Tumshauri mama afute vyama vyote vya upinzani, tubaki na CCM tu, hapo ndio salama yetu itarejea.
 
Anafuta kwa kutumia katiba ipi?.
Cha msingi asimame kama rais akikumbuka kuwa dhamana ya damu ya watu hawa ipo mikononi mwake.
Naamini atafanya mabadiliko makubwa sana.
 
Kweli kabisa, kwa mwendo huu Haina maana. Kama mtu anaona kero kukosolewa basi fanya kazi nyingine au Baki na familia nyumbani kuepusha matatizo
 
Hali ni mbaya sana, makosa aliyoyafanya Nyerere sasa yameanza kuleta matokeo.

Wakati tunaingia kwenye mfumo wa vyama vingi Nyerere alikuwa na ushawishi mkubwa sana, licha ya kwamba 80% hawakutaka mfumo wa vyama vingi, Nyerere alilazimisha. Tukaingia kwenye mfumo tukiwa na katiba ya mfumo wa chama kimoja, hili likawa kosa namba moja.

Kosa namba mbili ilikuwa ni kukiacha chama kongwe kishindane na vyama vichanga. Ilitakiwa CCM ifutwe, wote waanze mchakato wakiwa vyama vichanga.

Sasa CCM haitaki kusikia upinzani, kila kukicha wapinzani wanatekwa, wanauliwa na kuteswa.

Wananchi hatutakiwi kukosoa wala kujiunga na upinzani, maana kuwa upinzani ni kujisogeza kaburini.

Tumshauri mama afute vyama vyote vya upinzani, tubaki na CCM tu, hapo ndio salama yetu itarejea.
Umewaza kwa kutumia masaburi
 
Anafuta kwa kutumia katiba ipi?.
Cha msingi asimame kama rais akikumbuka kuwa dhamana ya damu ya watu hawa ipo mikononi mwake.
Naamini atafanya mabadiliko makubwa sana.
Sure kujiepusha na haya MAKANDO KANDO ,avae na ajae vizuri kwenye KITi hicho cha uRAIS...uzuri uRAIS hauna ushirika..yeye ndiye ALFA na OMEGA..

FAnya MAAMUZI magumu Mh Rais kwa faida na maslahi mapana ya nchi;

1.Tupatie KATIBA MPYA ILIYO BORA
2.UNDA TUME HURU NA SHIRIKISHI YA UCHAGUZI
3.TAMBUA WAPINZANI KAMA WADAU WAKO MUHIMU WA UONGoZI NA MAENDELEO
4.RUDISHA UHURU NA UBORA WA BUNGE
5.ACHA MAHAKAMA IWE HURU
6.KAA MBALI NA MANYANG'AU NDANI YA CHAMA..wanakuharibia
7.ONDOA MASAUNI, IGP na huyo fashist Awadhi
 
Hali ni mbaya sana, makosa aliyoyafanya Nyerere sasa yameanza kuleta matokeo.

Wakati tunaingia kwenye mfumo wa vyama vingi Nyerere alikuwa na ushawishi mkubwa sana, licha ya kwamba 80% hawakutaka mfumo wa vyama vingi, Nyerere alilazimisha. Tukaingia kwenye mfumo tukiwa na katiba ya mfumo wa chama kimoja, hili likawa kosa namba moja.

Kosa namba mbili ilikuwa ni kukiacha chama kongwe kishindane na vyama vichanga. Ilitakiwa CCM ifutwe, wote waanze mchakato wakiwa vyama vichanga.

Sasa CCM haitaki kusikia upinzani, kila kukicha wapinzani wanatekwa, wanauliwa na kuteswa.

Wananchi hatutakiwi kukosoa wala kujiunga na upinzani, maana kuwa upinzani ni kujisogeza kaburini.

Tumshauri mama afute vyama vyote vya upinzani, tubaki na CCM tu, hapo ndio salama yetu itarejea.
Huwezi kufuta vyama vya upinzani kwa vile upinzani huvaa ngozi ya Lawyers (TLS) au ya Mpira (Yanga) au Dini (Bagonza), itabidi ufute vingi. The best formula ni kuhakikisha wanatii Sheria bila shurti
 
Back
Top Bottom