Vyama vya upinzani Tanzania vijifunze ulaya na Marekani kunapokuwa na suala la kitaifa huwa wamoja na Chama tawala

Vyama vya upinzani Tanzania vijifunze ulaya na Marekani kunapokuwa na suala la kitaifa huwa wamoja na Chama tawala

Shotocan

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2023
Posts
6,650
Reaction score
12,711
Vyama vya upinzani vijifunze ulaya na Marekani kunapokuwa na swala la kitaifa wamoja na Chama tawala

Mfano nchi za ulaya na marekani wakiamua kuinyonya Africa au nchi ikishambuliwa vyama vyote tawala na upinzani huwa kitu kimoja

Pia ikitokea mfano kuna mkutano mkubbwa wa kimataifa unafanyika kwao hoteli zao wakijua zitajaza watu huwa kitu kimoja ndio maana mfano Iran imewekewa vikwazo lakini Raisi wao na ujumbe wao huruhusiwa kuhudhuria vikao vya umoja wa mataifa

Sisi mfano unakuta mkutano mkubwa unafanyika nchini mahoteli yanajaza wajumbe hayo mahoteli yanamilikiwa na wanachama wa vyama vyote au yana wafanyakazi wa vyama.vyote

Pia wanachama wa vyama vyote watafaidi ujio wa ugeni wa kimataifa

Hivyo kuwapa hata uwezo wa kuchangia vyama vyao

Vyama vya upinzani wajifunze kuwa upinzani sio maana yake kupinga kila kitu ni kuwa tu na sera mbadala lakini kwenye issue serious za kitaifa lazima kuwa wamoja
 
Vyama vya upinzani vijifunze ulaya na Marekani kunapokuwa na swala la kitaifa wamoja na Chama tawala

Mfano nchi za ulaya na marekani wakiamua kuinyonya Africa au nchi ikishambuliwa vyama vyote tawala na upinzani huwa kitu kimoja

Pia ikitokea mfano kuna mkutano mkubbwa wa kimataifa unafanyika kwao hoteli zao wakijua zitajaza watu huwa kitu kimoja ndio maana mfano Iran imewekewa vikwazo lakini Raisi wao na ujumbe wao huruhusiwa kuhudhuria vikao vya umoja wa mataifa

Sisi mfano unakuta mkutano mkubwa unafanyika nchini mahoteli yanajaza wajumbe hayo mahoteli yanamilikiwa na wanachama wa vyama vyote au yana wafanyakazi wa vyama.vyote

Pia wanachama wa vyama vyote watafaidi ujio wa ugeni wa kimataifa

Hivyo kuwapa hata uwezo wa kuchangia vyama vyao

Vyama vya upinzani wajifunze kuwa upinzani sio maana yake kupinga kila kitu ni kuwa tu na sera mbadala lakini kwenye issue serious za kitaifa lazima kuwa wamoja

Mikutano ya kitaifa haina maana shughuli nyingine za kawaida za nchi zisifanyike. Sio kweli kwamba wenzetu ulaya wakiwa na mikutano mambo yote yanasimama
 
Vyama vya upinzani vijifunze ulaya na Marekani kunapokuwa na swala la kitaifa wamoja na Chama tawala

Mfano nchi za ulaya na marekani wakiamua kuinyonya Africa au nchi ikishambuliwa vyama vyote tawala na upinzani huwa kitu kimoja

Pia ikitokea mfano kuna mkutano mkubbwa wa kimataifa unafanyika kwao hoteli zao wakijua zitajaza watu huwa kitu kimoja ndio maana mfano Iran imewekewa vikwazo lakini Raisi wao na ujumbe wao huruhusiwa kuhudhuria vikao vya umoja wa mataifa

Sisi mfano unakuta mkutano mkubwa unafanyika nchini mahoteli yanajaza wajumbe hayo mahoteli yanamilikiwa na wanachama wa vyama vyote au yana wafanyakazi wa vyama.vyote

Pia wanachama wa vyama vyote watafaidi ujio wa ugeni wa kimataifa

Hivyo kuwapa hata uwezo wa kuchangia vyama vyao

Vyama vya upinzani wajifunze kuwa upinzani sio maana yake kupinga kila kitu ni kuwa tu na sera mbadala lakini kwenye issue serious za kitaifa lazima kuwa wamoja
Hebu Tuambie CHADEMA walitaka kusema Nini mpaka wawazuie? Kama walitaka kupongeza mkutano, Kwa Nini wazuie? Je kama walitaka kutoa maelekezo Kwa wanachama wao ambayo hayahusiani na mkutano huo Kwa Nini wazuie?

Labda walitaka kuomba wanachama wao wajitokeze Kwa wingi kuwalaki wageni Kwa Nini wamekatazwa?
 
Ulitaka uone nini ndio ujue ni wamoja? Fikiria mtu aliyejiajiri unamwambia siku mbili asifike kazini kwake, utafidia hasara atakayopita?
 
Mikutano ya kitaifa haina maana shughuli nyingine za kawaida za nchi zisifanyike. Sio kweli kwamba wenzetu ulaya wakiwa na mikutano mambo yote yanasimama
Yanaendelea lakini sio ya vyama siasa

Huwezi kukuta mfano kuna mkutano mkubwa wa kimataifa unafanyika halafu chama cha siasa kinaitisha hata prezz conference ya mambo yake

Hata vyombo vyote vya habari utakuta vina concentrate kwenye huo mkutano tu viwe vya serikali au binafsi

Upinzani wa Tanzania una utoto mwingi sana
 
Vyama vya upinzani vijifunze ulaya na Marekani kunapokuwa na swala la kitaifa wamoja na Chama tawala

Mfano nchi za ulaya na marekani wakiamua kuinyonya Africa au nchi ikishambuliwa vyama vyote tawala na upinzani huwa kitu kimoja

Pia ikitokea mfano kuna mkutano mkubbwa wa kimataifa unafanyika kwao hoteli zao wakijua zitajaza watu huwa kitu kimoja ndio maana mfano Iran imewekewa vikwazo lakini Raisi wao na ujumbe wao huruhusiwa kuhudhuria vikao vya umoja wa mataifa

Sisi mfano unakuta mkutano mkubwa unafanyika nchini mahoteli yanajaza wajumbe hayo mahoteli yanamilikiwa na wanachama wa vyama vyote au yana wafanyakazi wa vyama.vyote

Pia wanachama wa vyama vyote watafaidi ujio wa ugeni wa kimataifa

Hivyo kuwapa hata uwezo wa kuchangia vyama vyao

Vyama vya upinzani wajifunze kuwa upinzani sio maana yake kupinga kila kitu ni kuwa tu na sera mbadala lakini kwenye issue serious za kitaifa lazima kuwa wamoja
Waulize watu wasiojulikana kwanini hawatakiwi wajulikane wakati kumbe wanajulikana
 
Yanaendelea lakini sio ya vyama siasa

Huwezi kukuta mfano kuna mkutano mkubwa wa kimataifa unafanyika halafu chama cha siasa kinaitisha hata prezz conference ya mambo yake

Hata vyombo vyote vya habari utakuta vina concentrate kwenye huo mkutano tu viwe vya serikali au binafsi

Upinzani wa Tanzania una utoto mwingi sana


Tatizo nyie mnaongea vitu ambavyo hamfamu mimi nipo hapa USA hakuna huo ujinga wa kuzuia vyama kuongea. Kwani vyama vikiongea kuna ubaya gani. Yaani eti ulaya Polisi wazuie press ya chama kimoja kwasababu ya mkutano si kweli na haitatokea
 
Hebu Tuambie CHADEMA walitaka kusema Nini mpaka wawazuie? Kama walitaka kupongeza mkutano, Kwa Nini wazuie? Je kama walitaka kutoa maelekezo Kwa wanachama wao ambayo hayahusiani na mkutano huo Kwa Nini wazuie?

Labda walitaka kuomba wanachama wao wajitokeze Kwa wingi kuwalaki wageni Kwa Nini wamekatazwa?
Unaitishaje mkutano bila kueleza agenda itakuwa nini?

Chadema wawe serious .Wakiitisha mkutano waweke agenda .Huwezi ita press conference kama mswahili wa uswahilini

Hata uswahilini ukiambiwa kuna kikao agenda huwekwa wazi

Chadema waache utoto wana miaka zaidi ya 20 bado hawajui kuwa ukiitisha mkutano au press conference inahitaji kutaja agenda kuwa utaongelea nini?

Watakua lini?

Na waandishi wa habari kwenda kwenye press conference ambayo hata hawajaambiwa agenda wanakuwa akili hawana kabissa vichwani

Fani ya uandishi wa habari imevamiwa na makanjanja.Hakuna mwandishi wa habari serous proffesonal aweza kwenda press conference ambayo hajaambiwa agenda
 
Tatizo nyie mnaongea vitu ambavyo hamfamu mimi nipo hapa USA hakuna huo ujinga wa kuzuia vyama kuongea. Kwani vyama vikiongea kuna ubaya gani. Yaani eti ulaya Polisi wazuie press ya chama kimoja kwasababu ya mkutano si kweli na haitatokea
They're self-centered
 
Tatizo nyie mnaongea vitu ambavyo hamfamu mimi nipo hapa USA hakuna huo ujinga wa kuzuia vyama kuongea. Kwani vyama vikiongea kuna ubaya gani. Yaani eti ulaya Polisi wazuie press ya chama kimoja kwasababu ya mkutano si kweli na haitatokea
Huwa vikiongea wanangaza mapema agenda wataongelea nini

Hapa kwetu vyama vya upinzani ni aibu wanaita press conference bila hata kutaja agenda
Wana utoto na ujinga mwingi hata hawajui kanuni za vikao

Ni aibu kwa kweli kwa proffession ya uandishi wa habari Tanzania

Ndio maana kuna wakati ilipendekezwa wawe na digrii
 
Unaitishaje mkutano bila kueleza agenda itakuwa nini?

Chadema wawe serious .Wakiitisha mkutano waweke agenda .Huwezi ita press conference kama mswahili wa uswahilini

Hata uswahilini ukiambiwa kuna kikao agenda huwekwa wazi

Chadema waache utoto wana miaka zaidi ya 20 bado hawajui kuwa ukiitisha mkutano au press conference inahitaji kutaja agenda kuwa utaongelea nini?

Watakua lini?

Na waandishi wa habari kwenda kwenye press conference ambayo hata hawajaambiwa agenda wanakuwa akili hawana kabissa vichwani

Fani ya uandishi wa habari imevamiwa na makanjanja.Hakuna mwandishi wa habari serous proffesinal aweza kwenda press conference ambayo hajaambiwa agenda
Mimi spendi pia kuhudhuria vikao ambavyo hakuna agenda
 
Yanaendelea lakini sio ya vyama siasa

Huwezi kukuta mfano kuna mkutano mkubwa wa kimataifa unafanyika halafu chama cha siasa kinaitisha hata prezz conference ya mambo yake

Hata vyombo vyote vya habari utakuta vina concentrate kwenye huo mkutano tu viwe vya serikali au binafsi

Upinzani wa Tanzania una utoto mwingi sana
Ujinga nao ni kipaji!
 
Yanaendelea lakini sio ya vyama siasa

Huwezi kukuta mfano kuna mkutano mkubwa wa kimataifa unafanyika halafu chama cha siasa kinaitisha hata prezz conference ya mambo yake

Hata vyombo vyote vya habari utakuta vina concentrate kwenye huo mkutano tu viwe vya serikali au binafsi

Upinzani wa Tanzania una utoto mwingi sana
Hii umeitoa wapi. Mnapenda kuzusha mambo bila ya sababu.
 
Vyama vya upinzani vijifunze ulaya na Marekani kunapokuwa na swala la kitaifa wamoja na Chama tawala

Mfano nchi za ulaya na marekani wakiamua kuinyonya Africa au nchi ikishambuliwa vyama vyote tawala na upinzani huwa kitu kimoja

Pia ikitokea mfano kuna mkutano mkubbwa wa kimataifa unafanyika kwao hoteli zao wakijua zitajaza watu huwa kitu kimoja ndio maana mfano Iran imewekewa vikwazo lakini Raisi wao na ujumbe wao huruhusiwa kuhudhuria vikao vya umoja wa mataifa

Sisi mfano unakuta mkutano mkubwa unafanyika nchini mahoteli yanajaza wajumbe hayo mahoteli yanamilikiwa na wanachama wa vyama vyote au yana wafanyakazi wa vyama.vyote

Pia wanachama wa vyama vyote watafaidi ujio wa ugeni wa kimataifa

Hivyo kuwapa hata uwezo wa kuchangia vyama vyao

Vyama vya upinzani wajifunze kuwa upinzani sio maana yake kupinga kila kitu ni kuwa tu na sera mbadala lakini kwenye issue serious za kitaifa lazima kuwa wamoja
Labda Ulaya na Marekani ya Manzese. Ulaya ya kweli hawana mambo hayo ya kijinga tunayofanya Afrika.
 
Vyama vya upinzani vijifunze ulaya na Marekani kunapokuwa na swala la kitaifa wamoja na Chama tawala

Mfano nchi za ulaya na marekani wakiamua kuinyonya Africa au nchi ikishambuliwa vyama vyote tawala na upinzani huwa kitu kimoja

Pia ikitokea mfano kuna mkutano mkubbwa wa kimataifa unafanyika kwao hoteli zao wakijua zitajaza watu huwa kitu kimoja ndio maana mfano Iran imewekewa vikwazo lakini Raisi wao na ujumbe wao huruhusiwa kuhudhuria vikao vya umoja wa mataifa

Sisi mfano unakuta mkutano mkubwa unafanyika nchini mahoteli yanajaza wajumbe hayo mahoteli yanamilikiwa na wanachama wa vyama vyote au yana wafanyakazi wa vyama.vyote

Pia wanachama wa vyama vyote watafaidi ujio wa ugeni wa kimataifa

Hivyo kuwapa hata uwezo wa kuchangia vyama vyao

Vyama vya upinzani wajifunze kuwa upinzani sio maana yake kupinga kila kitu ni kuwa tu na sera mbadala lakini kwenye issue serious za kitaifa lazima kuwa wamoja
Huu utopolo tafuta vilaza wenzako ndiyo mjadili.
 
Huwa vikiongea wanangaza mapema agenda wataongelea nini

Hapa kwetu vyama vya upinzani ni aibu wanaita press conference bila hata kutaja agenda
Wana utoto na ujinga mwingi hata hawajui kanuni za vikao

Ni aibu kwa kweli kwa proffession ya uandishi wa habari Tanzania

Ndio maana kuna wakati ilipendekezwa wawe na digrii
Kwa hiyo shida ni agenda si kuongea tena?

Unasimamia lipi kijana?

Embu get serious, muda niliosoma nje sikuwahi kukutana na huo ujinga. Wakati uingereza imepata PM mpya , haijawahi kusimamisha shughuli zake kisa kuna mkutana au kiongoz mwingine katembelea. Hawana huo ushamba
 
Vyama vya upinzani vijifunze ulaya na Marekani kunapokuwa na swala la kitaifa wamoja na Chama tawala

Mfano nchi za ulaya na marekani wakiamua kuinyonya Africa au nchi ikishambuliwa vyama vyote tawala na upinzani huwa kitu kimoja

Pia ikitokea mfano kuna mkutano mkubbwa wa kimataifa unafanyika kwao hoteli zao wakijua zitajaza watu huwa kitu kimoja ndio maana mfano Iran imewekewa vikwazo lakini Raisi wao na ujumbe wao huruhusiwa kuhudhuria vikao vya umoja wa mataifa

Sisi mfano unakuta mkutano mkubwa unafanyika nchini mahoteli yanajaza wajumbe hayo mahoteli yanamilikiwa na wanachama wa vyama vyote au yana wafanyakazi wa vyama.vyote

Pia wanachama wa vyama vyote watafaidi ujio wa ugeni wa kimataifa

Hivyo kuwapa hata uwezo wa kuchangia vyama vyao

Vyama vya upinzani wajifunze kuwa upinzani sio maana yake kupinga kila kitu ni kuwa tu na sera mbadala lakini kwenye issue serious za kitaifa lazima kuwa wamoja

..uliwahi kusikia Rais Biden amezuia harakati za Donald Trump kwasababu viongozi wa dunia nzima wako New York kwa ajili ya UNGA?

..mkutano wa Chadema na waandishi wa habari ulikuwa ufanyike mbali na eneo kunakofanyika mkutano wa serikali.

..Hakukuwa na namna yoyote mkutano mmoja ungeathiri, au ungevuruga, mkutano mwingine.

..Polisi / CCM wana tatizo kubwa sana ktk kufikiri na kuchambua mambo.
 
Back
Top Bottom