Vyama vya upinzani Tanzania vijifunze ulaya na Marekani kunapokuwa na suala la kitaifa huwa wamoja na Chama tawala

Vyama vya upinzani Tanzania vijifunze ulaya na Marekani kunapokuwa na suala la kitaifa huwa wamoja na Chama tawala

Huwa vikiongea wanangaza mapema agenda wataongelea nini

Hapa kwetu vyama vya upinzani ni aibu wanaita press conference bila hata kutaja agenda
Wana utoto na ujinga mwingi hata hawajui kanuni za vikao

Ni aibu kwa kweli kwa proffession ya uandishi wa habari Tanzania

Ndio maana kuna wakati ilipendekezwa wawe na digrii


Hiyo inakuhusu nini wewe . Kila chama kina uhuru wa kuongea mambo yao ilimradi wanafuata sheria. Huwezi kupangia watu cha kuongea. Yaani Chama kiweke agenda zake kwa serikali kabla ya mkutano kwa sheria zipi.

Nyie vijana mna mazoea ya kunyanyashwa na kufanya machawa hata haki zetu hamzijui. Cha ajabu nyie ndiyo wa kwanza kujididimiza wenyewe halafu mna kuwa wakwanza kulalamikia umasikini wenu!. Kuna shida gani watu kuongea tena kwenye ofisi. Je wangefanyia nyumbani !
 
Vyama vya upinzani vijifunze ulaya na Marekani kunapokuwa na swala la kitaifa wamoja na Chama tawala

Mfano nchi za ulaya na marekani wakiamua kuinyonya Africa au nchi ikishambuliwa vyama vyote tawala na upinzani huwa kitu kimoja

Pia ikitokea mfano kuna mkutano mkubbwa wa kimataifa unafanyika kwao hoteli zao wakijua zitajaza watu huwa kitu kimoja ndio maana mfano Iran imewekewa vikwazo lakini Raisi wao na ujumbe wao huruhusiwa kuhudhuria vikao vya umoja wa mataifa

Sisi mfano unakuta mkutano mkubwa unafanyika nchini mahoteli yanajaza wajumbe hayo mahoteli yanamilikiwa na wanachama wa vyama vyote au yana wafanyakazi wa vyama.vyote

Pia wanachama wa vyama vyote watafaidi ujio wa ugeni wa kimataifa

Hivyo kuwapa hata uwezo wa kuchangia vyama vyao

Vyama vya upinzani wajifunze kuwa upinzani sio maana yake kupinga kila kitu ni kuwa tu na sera mbadala lakini kwenye issue serious za kitaifa lazima kuwa wamoja
Umesema ulaya , sasa Tz ni ulaya, tusipangiane maisha
 
Vyama vya upinzani vijifunze ulaya na Marekani kunapokuwa na swala la kitaifa wamoja na Chama tawala

Mfano nchi za ulaya na marekani wakiamua kuinyonya Africa au nchi ikishambuliwa vyama vyote tawala na upinzani huwa kitu kimoja

Pia ikitokea mfano kuna mkutano mkubbwa wa kimataifa unafanyika kwao hoteli zao wakijua zitajaza watu huwa kitu kimoja ndio maana mfano Iran imewekewa vikwazo lakini Raisi wao na ujumbe wao huruhusiwa kuhudhuria vikao vya umoja wa mataifa

Sisi mfano unakuta mkutano mkubwa unafanyika nchini mahoteli yanajaza wajumbe hayo mahoteli yanamilikiwa na wanachama wa vyama vyote au yana wafanyakazi wa vyama.vyote

Pia wanachama wa vyama vyote watafaidi ujio wa ugeni wa kimataifa

Hivyo kuwapa hata uwezo wa kuchangia vyama vyao

Vyama vya upinzani wajifunze kuwa upinzani sio maana yake kupinga kila kitu ni kuwa tu na sera mbadala lakini kwenye issue serious za kitaifa lazima kuwa wamoja

Ccm nayo ijifunze kwamba Chama tawala USA kinavyo treat vyama upinzani
 
Vyama vya upinzani vijifunze ulaya na Marekani kunapokuwa na swala la kitaifa wamoja na Chama tawala

Mfano nchi za ulaya na marekani wakiamua kuinyonya Africa au nchi ikishambuliwa vyama vyote tawala na upinzani huwa kitu kimoja

Pia ikitokea mfano kuna mkutano mkubbwa wa kimataifa unafanyika kwao hoteli zao wakijua zitajaza watu huwa kitu kimoja ndio maana mfano Iran imewekewa vikwazo lakini Raisi wao na ujumbe wao huruhusiwa kuhudhuria vikao vya umoja wa mataifa

Sisi mfano unakuta mkutano mkubwa unafanyika nchini mahoteli yanajaza wajumbe hayo mahoteli yanamilikiwa na wanachama wa vyama vyote au yana wafanyakazi wa vyama.vyote

Pia wanachama wa vyama vyote watafaidi ujio wa ugeni wa kimataifa

Hivyo kuwapa hata uwezo wa kuchangia vyama vyao

Vyama vya upinzani wajifunze kuwa upinzani sio maana yake kupinga kila kitu ni kuwa tu na sera mbadala lakini kwenye issue serious za kitaifa lazima kuwa wamoja
Wawe wamoja na watu wanaowanyanyasa,kuwatenga,kuwatesa,kuwateka,kuwatisha/blackmailing na hata kuwaua?Uzalendo unaouhubiri watautoa wapi kwa madhila hayo?Una utani wewe!Huko Ulaya na America esp.USA & Canada uliwahi kusikia wakinzani wanatendewa unyama huo?
 
Yanaendelea lakini sio ya vyama siasa

Huwezi kukuta mfano kuna mkutano mkubwa wa kimataifa unafanyika halafu chama cha siasa kinaitisha hata prezz conference ya mambo yake

Hata vyombo vyote vya habari utakuta vina concentrate kwenye huo mkutano tu viwe vya serikali au binafsi

Upinzani wa Tanzania una utoto mwingi sana
We unakaa huko Marekani au Ulaya?
So kila kitu kinachoendelea Ulaya au Marekani wewe unakijua? Mifano yako haina mashiko mkuu
 
Vyama vya upinzani vijifunze ulaya na Marekani kunapokuwa na swala la kitaifa wamoja na Chama tawala

Mfano nchi za ulaya na marekani wakiamua kuinyonya Africa au nchi ikishambuliwa vyama vyote tawala na upinzani huwa kitu kimoja

Pia ikitokea mfano kuna mkutano mkubbwa wa kimataifa unafanyika kwao hoteli zao wakijua zitajaza watu huwa kitu kimoja ndio maana mfano Iran imewekewa vikwazo lakini Raisi wao na ujumbe wao huruhusiwa kuhudhuria vikao vya umoja wa mataifa

Sisi mfano unakuta mkutano mkubwa unafanyika nchini mahoteli yanajaza wajumbe hayo mahoteli yanamilikiwa na wanachama wa vyama vyote au yana wafanyakazi wa vyama.vyote

Pia wanachama wa vyama vyote watafaidi ujio wa ugeni wa kimataifa

Hivyo kuwapa hata uwezo wa kuchangia vyama vyao

Vyama vya upinzani wajifunze kuwa upinzani sio maana yake kupinga kila kitu ni kuwa tu na sera mbadala lakini kwenye issue serious za kitaifa lazima kuwa wamoja

Una uhakika na unachokiongea au ni hisia zako tu. Yaani London, Paris au New York zisimame kwa ajili ya mkutano!?

POLICCM ningeelewa kama Chadema wangekuwa mtaani. Watu wako ofisini wanaendelea na shughuli zao unawaingilia?
 
Huko ulaya na Marekani police na Usalama wa taifawao huaga ni wa wote, sio wa chama tawala, ulaya na Marekani pia, television za taifa hua kweli mali ya taifa na wapinzani wakiwamo, mahakama za kule na majaji wao hua hawaangalii huyu ni wa chama gani, hawajali kama huyu ni wa chama tawala au mpinzani, yaani kule inaangaliwa sheria, Trump na Biden wote wameipata bungeni na mahakamani, ni kule Marekani; kule TRA inadai kodi bila kujali wewe unasaidiaga wapinzani au chama tawala, mfano wq Elon Musk nadhani unaujua vizuri..., sijui tuendelee au tuachie hapa kwa muda?
 
Huko ulaya na Marekani police na Usalama wa taifawao huaga ni wa wote, sio wa chama tawala, ulaya na Marekani pia, television za taifa hua kweli mali ya taifa na wapinzani wakiwamo, mahakama za kule na majaji wao hua hawaangalii huyu ni wa chama gani, hawajali kama huyu ni wa chama tawala au mpinzani, yaani kule inaangaliwa sheria, Trump na Biden wote wameipata bungeni na mahakamani, ni kule Marekani; kule TRA inadai kodi bila kujali wewe unasaidiaga wapinzani au chama tawala, mfano wq Elon Musk nadhani unaujua vizuri..., sijui tuendelee au tuachie hapa kwa muda?
Kumbe CCM niwabaguzi na wataendelea kuwa hivyo hadi hapo mafuvu yatakapo rudishiwa akili kwenye jamii yetu,

Jamii ya kanyaga twende yaani jamii ya bora liende jamii ambayo unaweza kuisafisha ubongo ikafikiri unavyotaka taka wewe

Jamii ambayo haiwezi kuchakata fikra chanya na has, jamii ambayo ina watu wanaofurahia wengine wakipata changamoto ama matatizo, (pessimistic people)

Unyumbu wa kisiasa ni tabia ya wanaopewa dhamana huahirisha kufikiri kwa nafsi kwasababu ya kujipendekeza ama kulitumikia kundi fulani kwa masilahi binafsi na uoga wa kuigiza kwa viongozi wao, (unafiki), a.k.a kujizima data kwasasa uchawa, tuseme kuahirisha kufikiri kizalendo
 
Back
Top Bottom