Black Legend
Senior Member
- Jul 28, 2015
- 174
- 301
Kwa muda mrefu nimefanya personal study kuhusu ubora na dhima ya vyama vya wafanyakazi Tanzania vikiongozwa na chama mama TUKTA na kuja na hitimisho kuwa , VYAMA VYA WAFANYAKAZI TANZANIA NI KANSA KWA WAFANYAKAZI. Kwa kuangalia haya machache ni dhahiri kuwa msaada wake kwa wafanyakazi ni sawa unafki, unyonyaji na ulaghai mkubwa.
1. Wafanyakazi Wana madai ya miaka Mingi lakini vyama hivyo havioneshi msaada katika kushughurikia hilo.
2. Kukusanya fedha viwango vikubwa toka kwa wafanyakazi pasipokuwa na ajenda zenye matokeo chanya kwa wafanyakazi(Mfano CWT, TUGHE....nk).
3. Kujitokeza kudai HAKI za wafanyakazi kwa siku moja tu (MEI MOSI)...hapa ndipo utaona unafiki wa vyama hivi.
4. Viongozi wake kutumika kisiasa.
5. nk.
1. Wafanyakazi Wana madai ya miaka Mingi lakini vyama hivyo havioneshi msaada katika kushughurikia hilo.
2. Kukusanya fedha viwango vikubwa toka kwa wafanyakazi pasipokuwa na ajenda zenye matokeo chanya kwa wafanyakazi(Mfano CWT, TUGHE....nk).
3. Kujitokeza kudai HAKI za wafanyakazi kwa siku moja tu (MEI MOSI)...hapa ndipo utaona unafiki wa vyama hivi.
4. Viongozi wake kutumika kisiasa.
5. nk.