Vyeo kama hivi katika Nchi yetu bado vina ulazima wowote ?

Vyeo kama hivi katika Nchi yetu bado vina ulazima wowote ?

Zanzibar kulikuwa hkn manaibu makatibu wakuu jana mwinyi amewarejesha tena manaibu makatibu wakuu

Ujinga snaa hawana kaz za kufanya kaz kuendeleza fitina na majungu
 
Habari JF ,Ukiachana na Suala la Udiwani na Ubunge wa viti maalumu bado kuna vyeo vingi sana ambavyo kuna haja ya kuvipitia na kuona kama kuna umuhimu kuendelea kuwepo.

Mfano Wilaya inawakilishwa na watu wafuatao
1. DC
2. DED
3. DAS
4. MP

Hivi hakuna namna ya kupunguza watu kwa kuongeza majukumu katika nafasi nyingine ?
matumizi mabaya ya resources na ni mzigo mzito kwa watanzania kuwalisha na kuwatunza hawa jamaa.
 
Hii nchi kuendelea itakua ngumu sana tumejaza ma vyeo mengi yanayotumia hela nyingi za walipa kodi kulipa mishahara na miposho mingi kwa nafasi zisizo kuwa na mana.

Angalia bunge linavyokamua fedha za walipa kodi.

Kwa nchi yetu hii wabunge walipasawa wasizidi 150.


#MaendeleoHayanaChama
Na vyeo vyote hivyo, madaraka ya kumuondoa au kumuweka mtu kwenye cheo fulani anayo mtu mmoja..!!!
 
Habari JF ,Ukiachana na Suala la Udiwani na Ubunge wa viti maalumu bado kuna vyeo vingi sana ambavyo kuna haja ya kuvipitia na kuona kama kuna umuhimu kuendelea kuwepo.

Mfano Wilaya inawakilishwa na watu wafuatao
1. DC
2. DED
3. DAS
4. MP

Hivi hakuna namna ya kupunguza watu kwa kuongeza majukumu katika nafasi nyingine ?
No. 1-3 wote ni wateule wa raisi. Hata U DED JPM kaamua kutuwekea watia nia wa ubunge walio shindwa na wengi hawatoki sehemu hizo.
 
Ata mawaziri na ma naibu wake hawatakiwi kuwapo. Katibu mkuu na katibu mkuu wa kila wizara wanatosha.

Wabunge wabaki na kazi ya kuwakilisha wananchi na kukosoa na kusimamia matumizi ya serikali.

Swala la hotuba na bajeti litakua linasomwa na makatibu kwa kila wizara. Wabunge wanabaki kuchambua na kuamua vya kupitisha. Hii ya kua mbunge na waziri inatengeneza loop fulani ya kupendeleana na wizi pasipo kuwajibishwa.
Yap ni kweli
 
Habari JF ,Ukiachana na Suala la Udiwani na Ubunge wa viti maalumu bado kuna vyeo vingi sana ambavyo kuna haja ya kuvipitia na kuona kama kuna umuhimu kuendelea kuwepo.

Mfano Wilaya inawakilishwa na watu wafuatao
1. DC
2. DED
3. DAS
4. MP

Hivi hakuna namna ya kupunguza watu kwa kuongeza majukumu katika nafasi nyingine ?
Mbinu thabiti ya kuongeza ajila. Nyie si ndiyo mnapiga kelele ya ajila!!
 
Zanzibar kulikuwa hkn manaibu makatibu wakuu jana mwinyi amewarejesha tena manaibu makatibu wakuu

Ujinga snaa hawana kaz za kufanya kaz kuendeleza fitina na majungu
Ni kutafutiana ulaji tu
 
Hata mikoa Tanzania inabidi ibaki 22 tu.
Tanzania bara mikoa 20 na Zanzibar mikoa 2 tu,
tutapunguza sana gharama.
Mawaziri na wizara zisizidi 12 kwa nchi yetu kuna mambo mengi yanatakiwa yawe na idara tu zinazosimamiwa kisheria mfano hakuna haja ya wazara ya mazingira,wizara ya uvuvi na maji sijui na umwagiliaji hayo mambo yawekewe idara na wataaalam wakusimamia kwisha kazi.
Hakuna haja ya manaibu waziri,mawaziri na makatibu wa wizara wanatosha.
Hakuna haja ya wakuu wa mikoa mikoa iwe na magavana tu kwa iyo tuwe na magavana 22 tena wakuchagaliwa kila muhula.
Wilaya zipunguzwe.
Wabunge wasizidi 120 nchi hii sio kubwa kihivyo,wabunge na madiwani wa viti maalumu na wakuteuliwa ni upotezaji wa muda na rasilimali tu hakuna tija.


Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Ata mawaziri na ma naibu wake hawatakiwi kuwapo. Katibu mkuu na katibu mkuu wa kila wizara wanatosha.

Wabunge wabaki na kazi ya kuwakilisha wananchi na kukosoa na kusimamia matumizi ya serikali.

Swala la hotuba na bajeti litakua linasomwa na makatibu kwa kila wizara. Wabunge wanabaki kuchambua na kuamua vya kupitisha. Hii ya kua mbunge na waziri inatengeneza loop fulani ya kupendeleana na wizi pasipo kuwajibishwa.
Kudos
 
Habari JF ,Ukiachana na Suala la Udiwani na Ubunge wa viti maalumu bado kuna vyeo vingi sana ambavyo kuna haja ya kuvipitia na kuona kama kuna umuhimu kuendelea kuwepo.

Mfano Wilaya inawakilishwa na watu wafuatao
1. DC
2. DED
3. DAS
4. MP

Lakini pia kuna nafasi za unaibu waziri ,mi nadhani waziri na Katibu wanatosha .

Hivi hakuna namna ya kupunguza watu kwa kuongeza majukumu katika nafasi nyingine ? Itasaidia kupunguza Matumizi .
Ubunge viti maalum unaineemesha sana CCM kuliko tunavyojua, ni sawa na mtu kulipwa mshahara mara mbili.
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Hata mikoa Tanzania inabidi ibaki 22 tu.
Tanzania bara mikoa 20 na Zanzibar mikoa 2 tu,
tutapunguza sana gharama.
Mawaziri na wizara zisizidi 12 kwa nchi yetu kuna mambo mengi yanatakiwa yawe na idara tu zinazosimamiwa kisheria mfano hakuna haja ya wazara ya mazingira,wizara ya uvuvi na maji sijui na umwagiliaji hayo mambo yawekewe idara na wataaalam wakusimamia kwisha kazi.
Hakuna haja ya manaibu waziri,mawaziri na makatibu wa wizara wanatosha.
Hakuna haja ya wakuu wa mikoa mikoa iwe na magavana tu kwa iyo tuwe na magavana 22 tena wakuchagaliwa kila muhula.
Wilaya zipunguzwe.
Wabunge wasizidi 120 nchi hii sio kubwa kihivyo,wabunge na madiwani wa viti maalumu na wakuteuliwa ni upotezaji wa muda na rasilimali tu hakuna tija.


Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Nchi Maskini ila viongozi wengi
 
Back
Top Bottom