Vyeo na Ngazi ya Elimu Kwa Masomo ya Sheria

Vyeo na Ngazi ya Elimu Kwa Masomo ya Sheria

Yohana Kilimba

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
8,105
Reaction score
5,629
Naomba kuuliza:
kwa mtu anayesoma>
1.certificate of law

2.diploma of law

3.bachelor of law

a)anakuwa na cheo gani?

b)anasoma kozi namba 1,2 na 3 kwa muda gani?

c)ni kipi kima cha chini cha mshahara kwa kila mhitimu kwa kozi 1,2, na 3?

d)nahitaji ufaulu gani kusoma kozi 1,2 na 3?
 
Mbona maswali yako hayajataja kazi anayofanya mtu maana unaweza kuwa na level moja ya elimu kazi tofauti na mshahara tofauti pia.
 
hata kusoma hajasoma, anataka kujua vyeo wakati hata buku hajaanza kusoma. huyu naona anataka kukatishwa tamaa. sheria ni course ya wanaume nguli, sio sawa na sociology kwa walemba kucha na wapaka lip stick.
 
hata kusoma hajasoma, anataka kujua vyeo wakati hata buku hajaanza kusoma. huyu naona anataka kukatishwa tamaa. sheria ni course ya wanaume nguli, sio sawa na sociology kwa walemba kucha na wapaka lip stick.

Aisee! kama ni hivyo basi siku hizi mambo yamebadilika.
 
niko sekta ya biashara,na nataka ku branch out into this field...i need your guidance brothers...plz?
 
hata kusoma hajasoma, anataka kujua vyeo wakati hata buku hajaanza kusoma. huyu naona anataka kukatishwa tamaa. sheria ni course ya wanaume nguli, sio sawa na sociology kwa walemba kucha na wapaka lip stick.

at least help a bro...i want to study law from down top...plz?
 
Law ni Ngumu Bt inatemeana na chuo...... ukisoma UDOM na kwngineko law n rahis
bt law iko mzumbe.....
Karibu mzumbe

kwenye sheria hakina majigambo, eti njoo mzumbe, utasoma mzumbe na utakuja kubeba files za maadvocate au state attorneys waliosoma u Dom na kwinginepo.

Mara nyingi hizo kauli huwa Ni za mwaka WA kwanza.
 
Law ni Ngumu Bt inatemeana na chuo...... ukisoma UDOM na kwngineko law n rahis
bt law iko mzumbe.....
Karibu mzumbe

Kweli kaka. Aje Mzumbe ambako semister ya kwanza tu robo darasa inadisco. Sheria imelala pale
 
Kweli kaka. Aje Mzumbe ambako semister ya kwanza tu robo darasa inadisco. Sheria imelala pale

Anatakiwa akasome chuo ambacho sheria imeamka, dunia ya sasa hatulali ninyi vijana!
Unasifia chuo kwa kudisco!? Nani alikuambia ubora wa chuo na kozi hupimwa kwa kufail !?

My take.
Kama kuna mwanafunzi anahitaji kuwa bora katika field yoyote anayoipenda basi hana budi kusoma kwa bidii na maarifa, hizi ngano za Vyuo hazitamfikisha popote.
 
hata kusoma hajasoma, anataka kujua vyeo wakati hata buku hajaanza kusoma. huyu naona anataka kukatishwa tamaa. sheria ni course ya wanaume nguli, sio sawa na sociology kwa walemba kucha na wapaka lip stick.

Hata wanawake tumo humo... acha kutuexclude...
 
Sheria sio ngumu, ukijua kukariri basi umepita... Ngumu Engineering, Bsc Maths, BSc Physics , BSc Chemistry & Biology.. course zingine mbwembwe tu.
 
Hadi sasa jamaa hajapata majibu kutoka kwa wadau, watu wamehama mada na kuanza majigambo ya vyuo na course.
Uje kwa kazi ilokuleta, unaenda mjini kusoma unajiingiza na kuuza chips...are you normal?
Mi cjui ila nilkuwa nawakumbushen tumsaidie mwenzetu.
 
Sheria sio ngumu, ukijua kukariri basi umepita... Ngumu Engineering, Bsc Maths, BSc Physics , BSc Chemistry & Biology.. course zingine mbwembwe tu.

Mkuu umeuwa! course ya sheria unaweza kuisomea ukiwa nyumbani au hata kwenye daladala lakini sio engineering. Watu waache mbwembwe halafu wabongo wengi wanasoma sheria kwa kuwa wamepata div 1 bila kuwa na malengo nayo kabla ya kumalza sec school ndio maana wanasheria wengi wa bongo ni vilaza.
 
Wajuvi wa mambo ya sheria mko wapi tunaomba mrejesho wenu hapa wanasheria wasomi

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
watu matendelea kuwa wajinga mpaka lini? ebu fikiri dunia bila wahisabati ingekuaje maana hata jf isingekuwepo.je bila wataalamu wa afya? sheria?mambo ya kijamii wajenzi?.Nyie wasomi kwenye Taifa maskini kama hili si wakati wa kusema fani gani muhimu na bora bali kuangazia nini mahitaji ya jamii kwa kwa pamoja.hakika yeyote anayepuuza taaluma ya mwenzake bila shaka ya kwake haitambui kabisa maana kila fani inategemea fani nyingine mfano wanasheria wanawategemea madaktari kwenye uchunguzi wa afya pia wizi wa mitandao unategemea majibu ya wataalamu wa kompyuta watoe ushaidi. hivyo dunia haiwezi kuishi kwa kujitegemea bila taaluma zingine.acheni utoto wa kichuo na kujiona nyie ni bora zaidi kuliko wengine.mtoa post kulingana na mada yako hakuna kipimia cha mshara zaidi ya kuangalia unafanya kazi wapi maana wapo walioamua kufanya biashara ingawa wana daraja la chini kabisa la sheria na wapata pesa nyingi kuliko hata phd wa sheria.soma kwa malengo ukijua kuna changamoto ya ajira
 
Back
Top Bottom