Yohana Kilimba
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 8,105
- 5,629
Naomba kuuliza:
kwa mtu anayesoma>
1.certificate of law
2.diploma of law
3.bachelor of law
a)anakuwa na cheo gani?
b)anasoma kozi namba 1,2 na 3 kwa muda gani?
c)ni kipi kima cha chini cha mshahara kwa kila mhitimu kwa kozi 1,2, na 3?
d)nahitaji ufaulu gani kusoma kozi 1,2 na 3?
kwa mtu anayesoma>
1.certificate of law
2.diploma of law
3.bachelor of law
a)anakuwa na cheo gani?
b)anasoma kozi namba 1,2 na 3 kwa muda gani?
c)ni kipi kima cha chini cha mshahara kwa kila mhitimu kwa kozi 1,2, na 3?
d)nahitaji ufaulu gani kusoma kozi 1,2 na 3?