Vyeo vya Jeshi la Polisi Tanzania kwa protocol

INAWEZA KUWA KWELI, MY R.I.P FATHER ALINISIMULIA KUWA ANAFANYA KAZI ALIFUATWA MUHIMBILI NATIONAL HOSPITAL AJIUNGE NA TIS, ILA BOSI WAKE MAMA MTU MZIMA ALIMWAMBIA HIYO KAZI SIO NZURI KWA MAISHA YAKO, YOU ARE SO VERY YOUNG...MZEE AKAPIGA CHINI WITO WAO
Kuna watu waongo acha tu mkuu
 
INAWEZA KUWA KWELI, MY R.I.P FATHER ALINISIMULIA KUWA ANAFANYA KAZI ALIFUATWA MUHIMBILI NATIONAL HOSPITAL AJIUNGE NA TIS, ILA BOSI WAKE MAMA MTU MZIMA ALIMWAMBIA HIYO KAZI SIO NZURI KWA MAISHA YAKO, YOU ARE SO VERY YOUNG...MZEE AKAPIGA CHINI WITO WAO
Tofautisha TISS na Police brother
 
Ni kazi ambayo sintoweza kuifanya katika maisha yangu,,,,,nakumbuka wakati nimenaliza first degree waliniita kujiunga nao baada ya kufanya usaili,,,,lakini nafsi ilikataa kabisaaa nkawapotezea!
Ni vema ukaeleza mafanikio yako baada ya kukataa hiyo kazi, unaweza kukuta sasa hivi wewe huna kazi bali ni mtu wa kutegemea vibarua na baadaye jioni jioni hivi hukosi maeneo ya mataputapu(chimpumu,dadii,kangara,mwisho saa sita,na nyingine zote kama zile zinazopatikana pale manzese kambi ya fisi)
 

Mkuu ungeweka na alama za vyeo vyao.
Kwa mfano PC anakua na mbavu ngapi? Najua Inspector anakua na nyota tatu
 
Ni Assistant Inspector, nyota mbili ndiye Inspector.




hapana, n nyota moja ni inspector
 


Mkuu ungeweka na alama za vyeo vyao.
Kwa mfano PC anakua na mbavu ngapi? Najua Inspector anakua na nyota tatu
 
Ni kazi ambayo sintoweza kuifanya katika maisha yangu,,,,,nakumbuka wakati nimenaliza first degree waliniita kujiunga nao baada ya kufanya usaili,,,,lakini nafsi ilikataa kabisaaa nkawapotezea!
Wacha weee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…