Vyeo vya Maafisa Jeshi vilivyopo na ambavyo havitumiki katika Jeshi la taifa kwa sasa

Vyeo vya Maafisa Jeshi vilivyopo na ambavyo havitumiki katika Jeshi la taifa kwa sasa

Kichuguu

Platinum Member
Joined
Oct 11, 2006
Posts
17,048
Reaction score
22,790
Kuna watu wengi wasioelewa mtililiko wa vyeo vya maafisa wa jeshi hasa kwa vile Jeshi letu (na majeshi mengi yaliyorithi kutoka Uingereza) huruka baadhi ya vyeo na havitumiki kabisa katika jeshi letu. Nimeona niweke mtililiko kamili wa vyeo hivyo ili kuelewesha ni vyeo gani ambavyo havitumiki kwenye jeshi letu.

Kwenye mtililiko huu, vyeo nilivyowekea rangi nyekundu havitumiki Tanzania lakini vinaweza kuwa vinatumika katika nchi nyingine ambako pia unaweza kukuta wamevigeuza; kwa mfano kwa Urusi Colonel General yuko juu ya Major General. Nchi nyingine zinatumia majina tofauti kwa vyeo hivyo, kwa mfano China ambayo haina cheo cha Brigadier au Brigadier General inakitambua cheo cha Colonel General kama Senior Colonel; cheo hicho huko Brazil kinajulikana kama Division General.
  1. Cadet officer
  2. 2nd Lieutenant
  3. Lieutenant
  4. Captain
  5. Major
  6. Major Colonel
  7. Captain Colonel
  8. Lieutenant Colonel
  9. Colonel
  10. Brigadier
  11. Brigadier General
  12. Colonel General
  13. Major General
  14. Captain General
  15. Lieutenant General
  16. General
  17. Field Marshall
Kuna swali?

Soma Pia: Mpangilio wa vyeo vya JWTZ. Mwenye nyongeza tujuzane
 
Hivi unaweza ukaingia jeshini na kupanda cheo moja kwa moja na kuwa Captain bila kupitia hivyo vyeo vitatu? Luteni 1, na 2
 
Hivi unaweza ukaingia jeshini na kupanda cheo moja kwa moja na kuwa Captain bila kupitia hivyo vyeo vitatu? Luteni 1, na 2
Zamani za Nyerere makada wa Chama jeshini walikuwa wanaweza kuruka vyeo, kwa mfano Nsa kaisi alipelekwa jeshini akiwa mkuu wa mkoa, hivyo alipomaliza mafunzo Monduli alianza na cheo cha Luteni Kanali moja kwa moja.
 
Zamani za Nyerere makada wa Chama jeshini walikuwa wanaweza kuruka vyeo, kwa mfano Nsa kaisi alipelekwa jeshini akiwa mkuu wa mkoa, hivyo alipomaliza mafunzo Monduli alianza na cheo cha Luteni Kanali moja kwa moja.
Kaisi nasikia alifanya na kozi ya ukomandoo, rectify me if I am headless here!
 
Kaisi nasikia alifanya na kozi ya ukomandoo, rectify me if I am headless here!
Kaisi alikuwa mwandishi wa habari kabla hajateuliwa kuwa mkuu wa wilaya nadhani ya Rungwe au ya Kyela hivi. Kulipotokea janga la panya kuharibu mazao wilayani pale, akaanzisha operesheni ya kupambana na panya hao kwa kununua kila mzoga wa panya unaoletwa kwakwe. Operesheni hiyo ya kununua mizoga ya panya ilifanikiwa sana kumaliza balaa hilo la Panya kwani raia waliwawinda panya kwa nguvu sana, ndipo Nyerere akampandisha kuwa mkuu wa mkoa wa Tabora. Alipotoka Tabora alipelekwa jeshini nadhani ili awe mkuu wa mkoa wa Kagera kwa sababu alipotoka Monduli akawa mkuu wa mkoa wa Kagera akiwa Luteni Kanali kabla hajapandishwa tena kuwa Kanali kamili.
 
Kuna watu wengi wasioelewa mtililiko wa vyeo vya maafisa wa jeshi hasa kwa vile Jeshi letu (na majeshi mengi yaliyorithi kutoka Uingereza) huruka baadhi ya vyeo na havitumiki kabisa katika jeshi letu. Nimeona niweke mtililiko kamili wa vyeo hivyo ili kuelewesha ni vyeo gani ambavyo havitumiki kwenye jeshi letu.

Kwenye mtililiko huu, vyeo nilivyowekea rangi nyekundu havitumiki Tanzania lakini vinaweza kuwa vinatumika katika nchi nyingine ambako pia unaweza kukuta wamevigeuza; kwa mfano kwa Urusi Colonel General yuko juu ya Major General. Nchi nyingine zinatumia majina tofauti kwa vyeo hivyo, kwa mfano China ambayo haina cheo cha Brigadier au Brigadier General inakitambua cheo cha Colonel General kama Senior Colonel; cheo hicho huko Brazil kinajulikana kama Division General.
  1. Cadet officer
  2. 2nd Lieutenant
  3. Lieutenant
  4. Captain
  5. Major
  6. Major Colonel
  7. Captain Colonel
  8. Lieutenant Colonel
  9. Colonel
  10. Brigadier
  11. Brigadier General
  12. Colonel General
  13. Major General
  14. Captain General
  15. Lieutenant General
  16. General
  17. Field Marshall
Kuna swali?

Soma Pia: Mpangilio wa vyeo vya JWTZ. Mwenye nyongeza tujuzane
#17 hicho cheo kipo Jwtz, sema hakuna afisa aliyewahi kutunukiwa kutokana na muundo.
 
Kuna watu wengi wasioelewa mtililiko wa vyeo vya maafisa wa jeshi hasa kwa vile Jeshi letu (na majeshi mengi yaliyorithi kutoka Uingereza) huruka baadhi ya vyeo na havitumiki kabisa katika jeshi letu. Nimeona niweke mtililiko kamili wa vyeo hivyo ili kuelewesha ni vyeo gani ambavyo havitumiki kwenye jeshi letu.

Kwenye mtililiko huu, vyeo nilivyowekea rangi nyekundu havitumiki Tanzania lakini vinaweza kuwa vinatumika katika nchi nyingine ambako pia unaweza kukuta wamevigeuza; kwa mfano kwa Urusi Colonel General yuko juu ya Major General. Nchi nyingine zinatumia majina tofauti kwa vyeo hivyo, kwa mfano China ambayo haina cheo cha Brigadier au Brigadier General inakitambua cheo cha Colonel General kama Senior Colonel; cheo hicho huko Brazil kinajulikana kama Division General.
  1. Cadet officer
  2. 2nd Lieutenant
  3. Lieutenant
  4. Captain
  5. Major
  6. Major Colonel
  7. Captain Colonel
  8. Lieutenant Colonel
  9. Colonel
  10. Brigadier
  11. Brigadier General
  12. Colonel General
  13. Major General
  14. Captain General
  15. Lieutenant General
  16. General
  17. Field Marshall
Kuna swali?

Soma Pia: Mpangilio wa vyeo vya JWTZ. Mwenye nyongeza tujuzane
Elimu,
Elimu,
Elimu.
Mtililiko ❌❌
Mtiririko ✅✅

RIP Edward N. L
 
Kuna watu wengi wasioelewa mtililiko wa vyeo vya maafisa wa jeshi hasa kwa vile Jeshi letu (na majeshi mengi yaliyorithi kutoka Uingereza) huruka baadhi ya vyeo na havitumiki kabisa katika jeshi letu. Nimeona niweke mtililiko kamili wa vyeo hivyo ili kuelewesha ni vyeo gani ambavyo havitumiki kwenye jeshi letu.

Kwenye mtililiko huu, vyeo nilivyowekea rangi nyekundu havitumiki Tanzania lakini vinaweza kuwa vinatumika katika nchi nyingine ambako pia unaweza kukuta wamevigeuza; kwa mfano kwa Urusi Colonel General yuko juu ya Major General. Nchi nyingine zinatumia majina tofauti kwa vyeo hivyo, kwa mfano China ambayo haina cheo cha Brigadier au Brigadier General inakitambua cheo cha Colonel General kama Senior Colonel; cheo hicho huko Brazil kinajulikana kama Division General.
  1. Cadet officer
  2. 2nd Lieutenant
  3. Lieutenant
  4. Captain
  5. Major
  6. Major Colonel
  7. Captain Colonel
  8. Lieutenant Colonel
  9. Colonel
  10. Brigadier
  11. Brigadier General
  12. Colonel General
  13. Major General
  14. Captain General
  15. Lieutenant General
  16. General
  17. Field Marshall
Kuna swali?

Soma Pia: Mpangilio wa vyeo vya JWTZ. Mwenye nyongeza tujuzane
Hakuna cheo kinachoitwa MSAKILA GENERAL?
 
Kuna watu wengi wasioelewa mtililiko wa vyeo vya maafisa wa jeshi hasa kwa vile Jeshi letu (na majeshi mengi yaliyorithi kutoka Uingereza) huruka baadhi ya vyeo na havitumiki kabisa katika jeshi letu. Nimeona niweke mtililiko kamili wa vyeo hivyo ili kuelewesha ni vyeo gani ambavyo havitumiki kwenye jeshi letu.

Kwenye mtililiko huu, vyeo nilivyowekea rangi nyekundu havitumiki Tanzania lakini vinaweza kuwa vinatumika katika nchi nyingine ambako pia unaweza kukuta wamevigeuza; kwa mfano kwa Urusi Colonel General yuko juu ya Major General. Nchi nyingine zinatumia majina tofauti kwa vyeo hivyo, kwa mfano China ambayo haina cheo cha Brigadier au Brigadier General inakitambua cheo cha Colonel General kama Senior Colonel; cheo hicho huko Brazil kinajulikana kama Division General.
  1. Cadet officer
  2. 2nd Lieutenant
  3. Lieutenant
  4. Captain
  5. Major
  6. Major Colonel
  7. Captain Colonel
  8. Lieutenant Colonel
  9. Colonel
  10. Brigadier
  11. Brigadier General
  12. Colonel General
  13. Major General
  14. Captain General
  15. Lieutenant General
  16. General
  17. Field Marshall
Kuna swali?

Soma Pia: Mpangilio wa vyeo vya JWTZ. Mwenye nyongeza tujuzane
Umetaja mtiritiko wa vyeo vya majeshi ya nchi mbalimbali kama China, Urusi na Brazil ukiihusianisha na JWTZ.
Ili somo liwe maridhawa, ungetudadavulia kwanza mtiririko wa vyeo kwenye jeshi letu la ulinzi ili tuufahamu; bila kuchanganya na mtiririko wa vyeo vya majeshi mengine ambayo mimi nadhani kweli sisi raia siyo muhimu sana.
Kwa kadri ya ufahahamu wangu kutoka JKT (OP. Nguvu Kazi 835 KJ); mtiririko wa vyeo JWTZ (kama hakuna mabadiliko) ni kama ifuatavyo:-
A: NCOs (Non Commissioned Officers)
1. Recruit
2.Private
3. Lance Corporal
4. Corporal
5. Seargent
6. Staff Seargent
7. Warrant Officer II (Two)
8. Warrant Officer I (One)
B: Commissioned Officers
9. Second Lieutenant
10. Lieutenant
11. Captain
12. Major
13. Lieutenant Colonel
14. Colonel
15. Brigadier General (1 ⭐️ )
16. Major General (2 ⭐️)
17. Lieutenant General (3 ⭐️)
18. General (4 ⭐️)
Inawezekana kuna mahali nimekosea mtiririko wa vyeo hivyo kutokana na muda mrefu yangu nimepitia mambo hayo (1984); anayefahamu uweke usahihi wake.
 
Umetaja mtiritiko wa vyeo vya majeshi ya nchi mbalimbali kama China, Urusi na Brazil ukiihusianisha na JWTZ.
Ili somo liwe maridhawa, ungetudadavulia kwanza mtiririko wa vyeo kwenye jeshi letu la ulinzi ili tuufahamu; bila kuchanganya na mtiririko wa vyeo vya majeshi mengine ambayo mimi nadhani kweli sisi raia siyo muhimu sana.
Kwa kadri ya ufahahamu wangu kutoka JKT (OP. Nguvu Kazi 835 KJ); mtiririko wa vyeo JWTZ (kama hakuna mabadiliko) ni kama ifuatavyo:-
A: NCOs (Non Commissioned Officers)
1. Recruit
2.Private
3. Lance Corporal
4. Corporal
5. Seargent
6. Staff Seargent
7. Warrant Officer II (Two)
8. Warrant Officer I (One)
B: Commissioned Officers
9. Second Lieutenant
10. Lieutenant
11. Captain
12. Major
13. Lieutenant Colonel
14. Colonel
15. Brigadier General (1 ⭐️ )
16. Major General (2 ⭐️)
17. Lieutenant General (3 ⭐️)
18. General (4 ⭐️)
Inawezekana kuna mahali nimekosea mtiririko wa vyeo hivyo kutokana na muda mrefu yangu nimepitia mambo hayo (1984); anayefahamu uweke usahihi wake.
Topic inahusu maafisa wa jeshi kuanzia cadet officer. Haikusema vyeo vyote vya JWTZ

Vyeo vya maafisa wa JWTZ ni vile ambavyo havikuandikwa kwa rangi nyekundu. Soma post kwa makini uielewe kabla ya kuijibu bila kuelewa unachojibu
 
Kuna watu wengi wasioelewa mtililiko wa vyeo vya maafisa wa jeshi hasa kwa vile Jeshi letu (na majeshi mengi yaliyorithi kutoka Uingereza) huruka baadhi ya vyeo na havitumiki kabisa katika jeshi letu. Nimeona niweke mtililiko kamili wa vyeo hivyo ili kuelewesha ni vyeo gani ambavyo havitumiki kwenye jeshi letu.

Kwenye mtililiko huu, vyeo nilivyowekea rangi nyekundu havitumiki Tanzania lakini vinaweza kuwa vinatumika katika nchi nyingine ambako pia unaweza kukuta wamevigeuza; kwa mfano kwa Urusi Colonel General yuko juu ya Major General. Nchi nyingine zinatumia majina tofauti kwa vyeo hivyo, kwa mfano China ambayo haina cheo cha Brigadier au Brigadier General inakitambua cheo cha Colonel General kama Senior Colonel; cheo hicho huko Brazil kinajulikana kama Division General.
  1. Cadet officer
  2. 2nd Lieutenant
  3. Lieutenant
  4. Captain
  5. Major
  6. Major Colonel
  7. Captain Colonel
  8. Lieutenant Colonel
  9. Colonel
  10. Brigadier
  11. Brigadier General
  12. Colonel General
  13. Major General
  14. Captain General
  15. Lieutenant General
  16. General
  17. Field Marshall
Kuna swali?

Soma Pia: Mpangilio wa vyeo vya JWTZ. Mwenye nyongeza tujuzane
Senior master sagent,
 
Back
Top Bottom