DustBin
JF-Expert Member
- Jun 3, 2021
- 609
- 604
Nawasalimu kwa jina la JMT
Moja kwa moja niende kwenye mada.
Leo nimeamkua na kukumbuka namna watumishi wa vyeti feki walivyokua wameziba nafasi za ajira kwa wenye sifa. Dhulma hii ikasawazishwa kwa kuondolewa waliobainika kughushi taarifa za ajira hasa kwenye vyeti vya taaluma.
Heko..! Kwa waliosimamia hili ingawa kuna ambao waliumia na kuendelea kuumia mpaka leo.
Jambo la pili ni namna ambavyo watoa huduma kwenye taasisi za umma mbalimbali walivyokua na nidhamu kazini, na zile dharau zilipungua kwa kiasi kikubwa mno, kiasi mteja kweli alikua mfalme.
Nimeona maeneo fulani kuna viashiria vya baadhi ya watumishi kujiachia na kufanya Business As Usual (BAU). Wito kwa wahusika wawe macho ktk hili, hawa wachache wasije tuharibia mfumo wetu ulioundwa kwa gharama kubwa.
Kwa haya nitamkumbuka daima.
Ndimi
Mpenda haki na uadilifu
DustBin
Moja kwa moja niende kwenye mada.
Leo nimeamkua na kukumbuka namna watumishi wa vyeti feki walivyokua wameziba nafasi za ajira kwa wenye sifa. Dhulma hii ikasawazishwa kwa kuondolewa waliobainika kughushi taarifa za ajira hasa kwenye vyeti vya taaluma.
Heko..! Kwa waliosimamia hili ingawa kuna ambao waliumia na kuendelea kuumia mpaka leo.
Jambo la pili ni namna ambavyo watoa huduma kwenye taasisi za umma mbalimbali walivyokua na nidhamu kazini, na zile dharau zilipungua kwa kiasi kikubwa mno, kiasi mteja kweli alikua mfalme.
Nimeona maeneo fulani kuna viashiria vya baadhi ya watumishi kujiachia na kufanya Business As Usual (BAU). Wito kwa wahusika wawe macho ktk hili, hawa wachache wasije tuharibia mfumo wetu ulioundwa kwa gharama kubwa.
Kwa haya nitamkumbuka daima.
Ndimi
Mpenda haki na uadilifu
DustBin