Research Solutions TZ
Member
- Jul 11, 2020
- 66
- 145
Sakata la vyeti feki na wafanyakazi hewa ni moja kati ya suala ambalo lilishika sana vyombo vya habari mwanzoni mwa mwaka 2017. Katika makala haya naangalia kama yalileta matokeo chanya kwa kudhibiti mishahara kwa wasio stahili na mishahara hewa
Mwaka 2019 waziri Mkuchika alisema Serikali ya Awamu ya Tano ilifanikiwa kuwaondoa kazini watumishi hewa na wenye vyeti feki zaidi ya 40,000, aliyasema hayo Desemba 11, akiwa Dodoma katika kongamano la maadhimisho ya siku ya maadili na haki za binadamu
Serikali inatumia zaidi ya Tsh Bilioni 500 kwa mwezi kulipa mishahara kwa watumishi elfu 40 ambao walifukuzwa kazi tulitegemea kushuka kwa fedha inayotumika kulipa mishahara, kwa takwimu zilizopo fedha za mishahara zilishuka kidogo na kuanza kuongezeka kwa kasi
Graph ya Malipo ya mishahara kwa mwezi
Graph ya mishahara kuanzia mwaka 2015
Takwimu za mwezi zinaonesha fedha inayolipwa kwa mshahara kwa mwezi ilipanda na kushuka ghafla mwaka 2018 na kuongezeka taratibu kiasi ambacho mwaka 2019 serikali ikarudi kwenye kiwango kikubwa cha kulipa mishahara kuliko kilichokuwa awali
Mbali na ongezeko hilo la malipo ya mshahara, si kweli kwamba serikali imeajiri watu kwa kiwango cha watumishi walioondolewa, na kama iliajiri basi kuna shida ya kupanda kwa malipo ya mshahara ikiwa hakukuwa na ongezeko la mishahara kwa watumishi wa umma
Je, vyeti feki na wafanyakazi hewa ilikuwa ni bosheni?
Kwa graph hii inaonesha tofauti ya mishahaa kwa kila mwezi uliofuata ambapo mwaka 2018 ndipo malipo ya mshahara yalishuka kwa kiasi kikubwa kisha yakarudi kuwa chanya kwa maana malipo ya miezi iliyofuiata yalikuwa makubwa kuliko mwezi ulitangulia
POINT YA MSINGI
Data Source: BoT
Mwaka 2019 waziri Mkuchika alisema Serikali ya Awamu ya Tano ilifanikiwa kuwaondoa kazini watumishi hewa na wenye vyeti feki zaidi ya 40,000, aliyasema hayo Desemba 11, akiwa Dodoma katika kongamano la maadhimisho ya siku ya maadili na haki za binadamu
Serikali inatumia zaidi ya Tsh Bilioni 500 kwa mwezi kulipa mishahara kwa watumishi elfu 40 ambao walifukuzwa kazi tulitegemea kushuka kwa fedha inayotumika kulipa mishahara, kwa takwimu zilizopo fedha za mishahara zilishuka kidogo na kuanza kuongezeka kwa kasi
Graph ya Malipo ya mishahara kwa mwezi
Graph ya mishahara kuanzia mwaka 2015
Takwimu za mwezi zinaonesha fedha inayolipwa kwa mshahara kwa mwezi ilipanda na kushuka ghafla mwaka 2018 na kuongezeka taratibu kiasi ambacho mwaka 2019 serikali ikarudi kwenye kiwango kikubwa cha kulipa mishahara kuliko kilichokuwa awali
Mbali na ongezeko hilo la malipo ya mshahara, si kweli kwamba serikali imeajiri watu kwa kiwango cha watumishi walioondolewa, na kama iliajiri basi kuna shida ya kupanda kwa malipo ya mshahara ikiwa hakukuwa na ongezeko la mishahara kwa watumishi wa umma
Je, vyeti feki na wafanyakazi hewa ilikuwa ni bosheni?
Kwa graph hii inaonesha tofauti ya mishahaa kwa kila mwezi uliofuata ambapo mwaka 2018 ndipo malipo ya mshahara yalishuka kwa kiasi kikubwa kisha yakarudi kuwa chanya kwa maana malipo ya miezi iliyofuiata yalikuwa makubwa kuliko mwezi ulitangulia
POINT YA MSINGI
- Mishahara haikupandisha kwa miaka mitano
- Watumishi hewa na wenye vyeti walitimuliwa
- Hakukuwa na ajira mpya kwa wengi
Data Source: BoT