Tetesi: Vyeti feki , Serikali imesalimu amri ? Waliondolewa bandari warejeshwa !

Tetesi: Vyeti feki , Serikali imesalimu amri ? Waliondolewa bandari warejeshwa !

Acha upuuzi wako unaoleta hapa au na wewe una cheti feki au?seeikali aiwezi kufanya upuuzi wa namna hiyo
 
Hii taarifa sio tetesi ni kweli kabsa mafisadi wa elimu wameshaiweka mfukoni serikali..........

Nimeipata pia Kwa rafiki yangu IT anafanya kazi hapo TPA
 
Kuna mtakatifu wa Ikulu mzuri sana kwa kukurupuka SERA SIFURI nchi imeshamshinda kabaki kuonea wanyonge tu. Hmmmmm Phd ......

Hii ni taarifa niliyomegewa na msamalia mwema , kwamba baada ya matenki ya fikra ya serikali kutumia darubini kuangalia maeneo mengine ya utumishi yanayoitwa nyeti , wakashauri mchezo uishie hapohapo.

Sasa ili kuua soo ikabidi wote walioondolewa Bandarini warejeshwe kazini , tena bila masharti yoyote , wakiwemo hata wale waliobainika kutokujua kusoma wala kuandika .

Wito wa kwa serikali , tuwe makini tunapoamua kutangaza mambo kama haya ambayo huunguza NYUMBA na MASHAMBA .

Nakulilia Tanzania .
 
Hii taarifa sio tetesi ni kweli kabsa mafisadi wa elimu wameshaiweka mfukoni serikali..........

Nimeipata pia Kwa rafiki yangu IT anafanya kazi hapo TPA
Walishakosea tangu mwanzo kwa kuzembea haya yakatokea hivyo huwezi kufukuza wafanyakazi wengi kwa mpigo na hapo hapo ukaajiri wengine wengi wasio na uzoefu ukatarajia kuwe na tija.Ndio maana hata huko jeshini wanapata kigugumizi.Wao wajikite kudhibiti kuanzia sasa viginevyo tujiandae kwa faida na hasara ya watakachoamua.

Ni kweli vyeti feki ni tatizo ila tatizo la miaka zaidi ya 50 huwezi kulimaliza ndani ya miaka 5 bila kuleta madhara.
 
Hii taarifa sio tetesi ni kweli kabsa mafisadi wa elimu wameshaiweka mfukoni serikali..........

Nimeipata pia Kwa rafiki yangu IT anafanya kazi hapo TPA
Mungu akulinde sana mkuu.
 
Hii ni taarifa niliyomegewa na msamalia mwema , kwamba baada ya matenki ya fikra ya serikali kutumia darubini kuangalia maeneo mengine ya utumishi yanayoitwa nyeti , wakashauri mchezo uishie hapohapo.

Sasa ili kuua soo ikabidi wote walioondolewa Bandarini warejeshwe kazini , tena bila masharti yoyote , wakiwemo hata wale waliobainika kutokujua kusoma wala kuandika .

Wito wa kwa serikali , tuwe makini tunapoamua kutangaza mambo kama haya ambayo huunguza NYUMBA na MASHAMBA .

Nakulilia Tanzania .
Sie tuna watoto wako huko Bandari wanafanya kazi , uhakiki unaendelea na atakayepatikana atashughulikiwa kwa mujibu wa sheria . Usikae nyuma ya keyboard na kutengeneza maneno. Uzu
Hii ni taarifa niliyomegewa na msamalia mwema , kwamba baada ya matenki ya fikra ya serikali kutumia darubini kuangalia maeneo mengine ya utumishi yanayoitwa nyeti , wakashauri mchezo uishie hapohapo.

Sasa ili kuua soo ikabidi wote walioondolewa Bandarini warejeshwe kazini , tena bila masharti yoyote , wakiwemo hata wale waliobainika kutokujua kusoma wala kuandika .

Wito wa kwa serikali , tuwe makini tunapoamua kutangaza mambo kama haya ambayo huunguza NYUMBA na MASHAMBA .

Nakulilia Tanzania .
Acha ketengeneza maneno ukiwa kwenye keyboard ., hakuna kitu kama hicho uhakiki unaendelea .
 
Huku bado tunasubiri waje kutukagua yaani polisi, magereza, tiss, jwtz etc
 
Hakuna mtu bandarini aliyefukuzwa juu ya vyeti feki. Hiyo habari ni ya upotoshaji. Zoezi la kuhakiki vyeti linaendelea, na bado watu wanapewa barua ambayo ni tofauti na mwanzo ambapo watu walikuwa wanaanikwa hadharini kwenye mbao za matangazo (jambo ambalo si sahihi kiutendaji). Tena wale ambao hawajajibu barua za awali wamepewa barua nyingine ya kuwataka wajieleze kwa nini hawakutii maagizo. Kiufupi zoezi linaendelea la kukagua vyeti, wikimaliza vya form four, watakuja kukagua vyeti vya taaluma. Hapa tena bado zoezi la kukagua na kushirikiana na NIDA kuweka kumbu kumbu vizuri za mtumishi halijaanza. Serikali bado inaweka kumbu kumbu zake vizuri. (habari imetoka kwenye chanzo muhimu)
 
Back
Top Bottom