BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 5,950
- 11,295
Kuna Tetesi Tanzania watumishi wa uma na Hata wewe unaesoma uzi Huu inawezekana uliiba cheti chako ukapata kazi,Hasa Waalimu Wengi na Mapolisi Kazi zenu si Halali ni Suala ambalo liko wazi.Je unadhani kuna umuhimu wa Vyeti kukaguliwa.Na endapo zoezi hili likisimamiwa bila uchakachuaji ni wangapi watabaki kazini leo.