Mlizompiga lisu mlikuwa mnathibiti nini mpaka mtake kuuwa? Miuwaji utaijuwa tu damu za watu zinawafanya muweweseke sanaRisasi hutumika pale ambapo hakuna namna nyingine ya kuthibiti hali na hiyo ipo kwa mujibu wa sheria hakuna anayefurahia kifo ila ni jukumu la kila mmoja kijitahidi kuepukana na mazingira ambayo yanaweza msababishia kifo.
Haumhitaji weweKwa muda mrefu sana kutunga uwongo na sio propaganda ndio imekuwa njia ya kuendesha vyama vya upinzani, muda wa hesabu umefika tutaanza kufanya siasa za ushindani wa kweli.
Mbowe biashara imekuwa ngumu na haitajiki tena kwenye siasa za upinzani.
Unataja Mola bila aibu.kwa hiyo watu wanavyopigwa risasi ni haki?.kama Kamola kenu kamepanga kuuwa watu Kwa risasi ndiyo maana mnapiga watu risasi na kuwauwa na mkitekeleza maagizo ya kamola kashenzi. Sikia MOLA AMBAYE NI MTAKATIFU HAUSIKI NA UNYAMA MNAOUFANYAKufa Akhy
Tutakufa sote,imma kwa njia hii au njia nyengine
Kila jambo Mola wetu amelipanga kwa makusudio
Hili si jambo la kufanyia mzaha kabisa
Ni muda sio mrefu tumepata taarifa juu ya mauaji ya watu watatu huko Pemba na kikosi cha polisi.
Na hivi sasa vyombo vya habari vya kimataifa vimeanza kuripoti juu ya tukio hili ambalo kwa vyovyote litatia doa nchi na kupelekea waangalizi wakubwa wa kimataifa kujiridhisha kua kuna uminywaji wa Demokrasia na haki za binadamu, watu wanataka madaraka kwa nguvu japo watu wameamua kupiga kura ya mabadiliko lakini inavyoelekea chama tawala hawawezi kukubali hilo.
Hii itoshe tu kusema kua habari zimeanza kusambaa dunia nzima.
Watu wameanza kupigwa risasi baba yako hajazaliwa na watapigwa tuu hata miaka 50 baada ya wewe kufa. Nilifikiria kupewa Urais kumbe kupigwa risasi? Kichwa ngumu piga nondo mpaka wanyooke.Unataja Mola bila aibu.kwa hiyo watu wanavyopigwa risasi ni haki?.kama Kamola kenu kamepanga kuuwa watu Kwa risasi ndiyo maana mnapiga watu risasi na kuwauwa na mkitekeleza maagizo ya kamola kashenzi. Sikia MOLA AMBAYE NI MTAKATIFU HAUSIKI NA UNYAMA MNAOUFANYA
Lakini kwanini wa zanzibar wako tayari kwa lolote kuliko watu wa bara? Ukisikiliza Aljazeera na CNN unaweza akadhani uchaguzi uko zanzibar tu na wazanzibari ndo wanaochukia ukandamizaji wa CCM peke yao, kumbe Bara ni mara mbili yake ila tuko kimya sanaa
Utakufa Bure ety kisa hutak ujinga "" ingia road kaandamane kesho cha Moto utakiona. acha uchama na uwe ufikirie logically"Utaona ya Tanzania Bara kuanzia kesho. Hatutaki ujinga mwaka huu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] mkuuu, mi naona akunye afu akawapakae kinyesi chake yeyeDogo kachukue mawe uwapopoe FFU wasituchukulie poa mzee
Utakufa Bure ety kisa hutak ujinga "" ingia road kaandamane kesho cha Moto utakiona. acha uchama na uwe ufikirie logically"
Mapinduzi unayajuwa wew izo ni kelele za chura Mzee" temba akiwa anakunywa maji hata hatishiki ... isitoshe ukikaa vibaya tembo anakukanyaga anatembea zake mbeleee.Sawasawa, siogopi, nitapiga kura na kulinda yangu. Hata nikiuawa najua siku moja watoto wangu watakuwa na maisha mazuri kwa sababu nilitoa mchango katika Mapinduzi ya kweli nchini
Mapinduzi unayajuwa wew izo ni kelele za chura Mzee" temba akiwa anakunywa maji hata hatishiki ... isitoshe ukikaa vibaya tembo anakukanyaga anatembea zake mbeleee....
N.B/ Sina chama ila Kura yangu kwa JOHN PM.
siwez nikachagua raisi mjuaji na shoga Kama Lissu Mimi[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]naannzaje Sasa kwanza ni laana ata kwa Mungu aiseee..."
LISSU MZALENDO???? UKO DUNIA YA WAPI? KIBARAKA ANAYETAKA KUUZA MALI ZETU KWA KUWEKA REHANI ATAKUWAJE MZALENDO? BADO MASAA MACHACHE TUU TUNAENDA KUWAONYESHA KUWA TANZANIA NI YA WATANZANIA NA SIYO YA TRIPPI, AMSTERDAM, SMITH. HATUDANGANYIKI KAMWE.Bara kuna wajinga na wachumia tumbo wengi sana. Ujinga na uchumia tumbo unasababisha uoga
Hizi shamra-shamra kiasi tunazoona bara wakati huu ni kwa sababu ya ujio wa mbeba maono, mzalendo na jasiri LISU.
Hicho kinachoendelea zanzibar kingewezekana kama kila mkoa Bara kungepatikana LISU wawili hivi