Vyombo vya habari Malawi vyajiwinda kumsubiri balozi Polepole aanze kusakata sebene, vimuandike, viuze magazeti

Vyombo vya habari Malawi vyajiwinda kumsubiri balozi Polepole aanze kusakata sebene, vimuandike, viuze magazeti

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Waandishi wa habari za udaku wa Malawi wanajiwinda kuanza kuandika habari za vituko ambazo balozi wa Tanzania Malawi atakuwa akiweka katika mitandao yake ya kijamii

Balozi Polepole, ambaye atakuwa sura ya Tanzania na Rais wa Tanzania, ana tabia ya kushangaza ya kukata mauno akicheza sebene, jbo ambalo litaiweka diplomasia ya Tanzania katika wakati mgumu, na ya kustaajabisha dunia kwa fedheha.

Anaweza kuwa mwanadiplomasia wa kwanza afrika na duniani kufanya vituko hivyo.
 
Japokuwa habari yako haina chanzo ila hakuna tatizo akicheza na kujipa raha mwenyewe, kama anatimiza majukumu yake vizuri na kwa weledi basi wacha ajipe burudani. Maisha si serious kama unavyotaka wewe yawe
 
Japokuwa habari yako haina chanzo ila hakuna tatizo akicheza na kujipa raha mwenyewe, kama anatimiza majukumu yake vizuri na kwa weledi basi wacha ajipe burudani. Maisha si serious kama unavyotaka wewe yawe
Maisha binafsi sio serious, ana ruksa kutokuwa serious kama hafanyi kazi ya umma ya hadhi ya ubalozi. Mabalozi wa nchi hii wameleta heshima kubwa sana, Angalia akina Salim Ahmed Salim na wengine, Sasa balozi anaenda kuzungusha uno, hiyo hatutaki, tunamtaka aachane na stages za ukuaji kwa wa umri wanaostahili, aondoke katika hatua za akina baba levo na Konde boy
 
Back
Top Bottom