MtuHabari
JF-Expert Member
- Oct 16, 2020
- 321
- 1,019
Katika kipindi hiki ambacho tunakiita cha ukombozi kutoka katika udikteta wa miaka 7 tunachokiona ni Vyombo vya habari na waandishi wa habari kutuangusha kwa kujikita kwenye habari za kijinga na mizaha badala ya kutoa nafasi za kusikia hoja za msingi na kuwapa nafasi wananchi kuipata elimu ya uraia.
Ni maajabu magazeti na Radio huoni wakiripoti kuhusu mikutano ya wanasiasa wa upinzani hata kama hoja zao ni nzito, lakini wanajikita kusifia mafanikio hewa kwa sababu za bahasha.
Kuna hoja za Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi hawajihusishi kabisa kuweka mkazo utadhani hayawahusu.
Je, bado kuna vitisho vya chini kwa chini toka serikalini? Kama hakuna nini shida ya wao kujitenga na wananchi? Au na wao yakiwafika tuwasusie kama tulivyo msusa Musiba?
Ni maajabu magazeti na Radio huoni wakiripoti kuhusu mikutano ya wanasiasa wa upinzani hata kama hoja zao ni nzito, lakini wanajikita kusifia mafanikio hewa kwa sababu za bahasha.
Kuna hoja za Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi hawajihusishi kabisa kuweka mkazo utadhani hayawahusu.
Je, bado kuna vitisho vya chini kwa chini toka serikalini? Kama hakuna nini shida ya wao kujitenga na wananchi? Au na wao yakiwafika tuwasusie kama tulivyo msusa Musiba?