Vyombo vya habari Tanzania havijui misimamo ya kuendana na soko

Vyombo vya habari Tanzania havijui misimamo ya kuendana na soko

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Vyombo vya habari kwa tanzania havijui nini misimamo katika kuendana na soko.

Mfano wenzetu ukikuta kama BBC basi utakuta BBC habari imejikita kuwa makini na habari sio kuleta ujinga, ndio maana kuna BBC chaneli nyingine zisipoteze muelekeo.

Ukija mfano National Geographic, Discovery, CNN, TMZ, Cartoon Network na n.k hapa kila mmoja hata fanya kulingana na nini ili kuwa tofauti.

Kwa tanzania ni tatizo sana mfano EATV wao ndio wanatangaza habari za serekali wao wanaonyesha kazi za mziki wajiulize au wajifunze mbona channel O au MTV au BET uwezi kukuta tabia kama walizo nazo.

Sasa hapa kuanzia redio na tv naona pamekuwa sehemu ya kutoa life zao na majigambo yao.

Wasafi tunaona kama mnashindwa semeni hii ni redio ya wasanii na wapuuzi kuja kutumia ujinga.

IMG_6504.jpg
 
😁😁🤣🤣 binafsi mimi siwalaumu ila nalaumu walaji(wasikilizaji) 70%ya watz wanapenda Habari za kijinga na usipopost hupati watu. Watu makini wako wachache sana kuliko wazembe
 
Kilichonikuta huko YouTube ni ushahidi tosha wa watanzania wanataka nini? Fungua Chanel ya udaku afu nyingine fungua ya kutoa elimu fulani utaona ipi itakayokuwa haraka na kuacha nyingine nyuma
 
😁😁🤣🤣 binafsi mimi siwalaumu ila nalaumu walaji(wasikilizaji) 70%ya watz wanapenda Habari za kijinga na usipopost hupati watu. Watu makini wako wachache sana kuliko wazembe
Waliharibiwa saana na Magufuli maana hakutaka vyombo vya habari vijadili mambo ya maendeleo zaid ya kulazimisha Yale anayoyataka, hivyo vyombo vya habari vimejikuta wamebakiwa na ushuzi tuu ndo unaotugharimu hadi leo
 
Waliharibiwa saana na Magufuli maana hakutaka vyombo vya habari vijadili mambo ya maendeleo zaid ya kulazimisha Yale anayoyataka, hivyo vyombo vya habari vimejikuta wamebakiwa na ushuzi tuu ndo unaotugharimu hadi leo
Mwangalie milardayo alivyowaacha watu mbali,sababu hachagui habari.
Wapenda ujinga twende...
Wapenda spoti twende...
Wapenda udaku umo....
Wapenda music sawa...

Afu kingine kabla ya Magufuli watu walikua wanapenda sana habari opposition,angalia magazeti kama Mawio, Tanzania daima n.k sasa Magu walipopiga pini ndio kila mtu akaacha kufatilia habari
 
😁😁🤣🤣 binafsi mimi siwalaumu ila nalaumu walaji(wasikilizaji) 70%ya watz wanapenda Habari za kijinga na usipopost hupati watu. Watu makini wako wachache sana kuliko wazembe
Hivi hili tatizo ni tumerithi au ndo utandawazi?
 
Alikuwa na dharau radio stations nyingine alipokuwa Clouds, sasa baada ya kuona mtaani kugumu, wakamwambia msifie Domo kila siku [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Mwangalie milardayo alivyowaacha watu mbali,sababu hachagui habari.
Wapenda ujinga twende...
Wapenda spoti twende...
Wapenda udaku umo....
Wapenda music sawa...

Afu kingine kabla ya Magufuli watu walikua wanapenda sana habari opposition,angalia magazeti kama Mawio, Tanzania daima n.k sasa Magu walipopiga pini ndio kila mtu akaacha kufatilia habari
Milard kilicho msaidia ni style tuu ila ni habari zile zile ambazo sio zakukufanya uwe interested kama zamani
 
Back
Top Bottom