Vyombo vya habari Tanzania vimekufa na sasa wachekeshaji na wanamziki ndio watangazaji wanaosikilizwa

Vyombo vya habari Tanzania vimekufa na sasa wachekeshaji na wanamziki ndio watangazaji wanaosikilizwa

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
Wamiliki wa vyombo vya habari hasa ITV, TBC na Star TV mlikuwa wapi hadi vyombo vyenu vimepoteza mvuto kiasi hiki?

Leo watu wanasikiliza vipindi na kuangalia wasafi, clouds, TV E, na media mpya mpya ambazo asilimia kubwa ya watangazaji si wanataaluma ya habari niwasanii na wanamziki waliobadilisha fani kuwahi fursa iliyoachwa wazi na wanahabari. Mishahara ya wanataaluma wa habari na ya Hawa comedian au wanamziki inatofautiana sana.

Lini mtabadilisha mfumo wenu wa ajira na aina ya watu wakuwaajiri? Wekezeni kwenye talent siyo GPA au undugu.

Huwa nasikiliza TBC ya kiingereza natamani hata kuwapigia simu wasiongee wabaki na mziki...kiingereza kinachoongelewa huko utadhani waliofanyisha usahili walisahili kwa Kiswahili .shame
 
Wamiliki wa vyombo vya habari hasa ITV, TBC na Star TV mlikuwa wapi hadi vyombo vyenu vimepoteza mvuto kiasi hiki?

Leo watu wanasikiliza vipindi na kuangalia wasafi, clouds, TV E, na media mpya mpya ambazo asilimia kubwa ya watangazaji si wanataaluma ya habari niwasanii na wanamziki waliobadilisha fani kuwahi fursa iliyoachwa wazi na wanahabari. Mishahara ya wanataaluma wa habari na ya Hawa comedian au wanamziki inatofautiana sana.

Lini mtabadilisha mfumo wenu wa ajira na aina ya watu wakuwaajiri? Wekezeni kwenye talent siyo GPA au undugu.......

Huwa nasikiliza TBC ya kiingereza natamani hata kuwapigia simu wasiongee wabaki na mziki...kiingereza kinachoongelewa huko utadhani waliofanyisha usahili walisahili kwa Kiswahili .shame

Mazezeta ya kalamu
 
Inasikitisha sana hakika...
Matokeo yake ndo haya...
IMG-20210326-WA0008.jpg
 
Siku hizi tunavyozipata kwa uhakika tv ni
Mpira matangazo na uchambuzi
Dini....nasaha,shuhuda na mitume nabii
Muziki bongo fleva....

Redio,tv,magazeti taaban...
 
Back
Top Bottom