Vyombo vya habari vya Kizayuni vinaripoti siku ngumu kaskazini mwa nchi, roketi zanaruka kama ndege

Israhell ipo nyuchi sanaaa
Hizbollah Wana test maroketi Yao mapya kuona kama yanafanya kazi ipqsavyo🤣🤣🤣...Biden nadhani anaomba hata kesho aachie ofisi maana huku kwa watoto wake wa kambo Hali Tete kule kwa comedian wake Put iiiinnnn naye anapiga makonzi ya ulimi...watamuua hyu babau kwa depression
 
Mwisho wa lebanon ndio umefika hyo lebanoni itaangamizwa yote hv karibuni.
 
Mwisho wa lebanon ndio umefika hyo lebanoni itaangamizwa yote hv karibuni.
Kipindi Lebanon inakuwa magofu basi na asilimia 50% ya hcho kinchi cha mchongo nacho kitakuwa hoi bin taabani....haya mashambulizi ya Hezbollah sometimes unaona ni kama kuna kahujuma pia kwa upande wa Israel....tangu yule waziri mwenye sura mbaya alovyotenguliwa mambo yamezidi kuwa mabaya zaidi....yule Babu anauza mchoro kwa Hawa wahuni
 
Hilo nakubali kuna hujuma na watamkamata tu ila maandiko ya Biblia yanasema lebanoni itaangamizwa.
 
Wanajeshi wa Israel wanaeleza vipi askari wawili wa Hezbullah wameweza kuwauwa askari 6 na kuwajeruhi 14 katika mapambono yalio tokea week tatu za nyuma. Ilibidi waited drone ije kuvunja nyumba hio na walipo enda kuhakikisha kama wamemuwa yule askari wao na officer wao, yule mwanajeshi akamtwanga risasi Commander wao. Wanacho sema yule Commander wao Emmad Mughniya aliwapa training babkubwa hao Radhwan force, si rahisi kuwashinda hao kwenye vita.


View: https://youtu.be/1RvZoYp9LFw?si=xaxYZV-8proJVa3M
 
Mji wao mkuu ukipigwa ivi haaa watakimbia jamaaa na kifo sawa na simba n yanga awaivi hiii vita tamu piga nikupige sio kuoneana kama Gaza watu umewafungia ndani afu unatangaza vitanao mbona utangazi vita na IRAN mfadhili mkuu. ULaya yote inamuogopa mjuba.
 
Huna akili mfuasi wa muddy yaan unaokoteza viclip huko X kwa huyo shehe ubwabwa afu unatuletea huku pumbafuuu
Ningekuwa sina akili bi mkubwa wako nisingekuwa namtafuna.

JF ni jukwa huru siyo forum ya basha wako kama hupendi ninachopost pita kule kasome majukwa mengine wewe utakuwa upo kwenye period una hasira sana kumbuka ukiacha uzi kunishambulia utakutana na bakora.


View: https://x.com/marionawfal/status/1860718287463530631?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Kweli kabisa maneno ya Netayahu siku Hamas ingekuwa imefutwa🤣


View: https://x.com/silentlysirs/status/1860696526407795165?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…