Vyombo vya habari vya Kizayuni vinaripoti siku ngumu kaskazini mwa nchi, roketi zanaruka kama ndege

Vyombo vya habari vya Kizayuni vinaripoti siku ngumu kaskazini mwa nchi, roketi zanaruka kama ndege

Hisbollah wameomba poo wamekubali kusimamisha vita na kurudi nyuma ya litani river
 
Hisbollah wameomba poo wamekubali kusimamisha vita na kurudi nyuma ya litani river
Ukiona ceasefire USA kaipitisha ujue hali ilikua ngumu ww jiulize kwanini ceasefire ya Gaza anaipinga aikubali ya Lebanon na imepita fasta tu
 
Yahudi jeusi la Iramba hata alijui linataka kusema nini kuna Gaidi zaidi ya Netanyahu, watu wana RB yake.
Io mihemuko Mzee WA kobasi mbona hauliwi Tu uyo gaidi😂😂😂mtu analinda taifa lake eti gaidi kila mnapolia kaua watoto kuna kiongozi wa magaidi kafa
 
Sasa Hezbullah awana hofu wanajua yahudi kuja Lebanon asubutu zaid kesho utasikia majengo kayashusha mji mkuu ana akili mpya kama zamani kipindi ichi ndio tungeona tungesema makomando wanaenda safisha kusini ya Lebanon lkn wapi zile story ilikuwa mapichapicha uyo komando mwenyewe miaka 18 au 22 chembamba japo kavaa makoti manene lkn mtu nyama ana kitoto cha form 1 et ndio komando la ISRAEL wakupigana n Dunia!!!
Hahaha umesikia wameshaomba poo au bado umelala?
 
Hapana Israel anatembezewa kichapo sema haruhusu media zichukue, we video na picture unazo ona ni 1/10 ya kipigo original.

Hezbullah leo katumia Rocket mpya ambazo warhead yake ni karibuMajibu ya kupiga watoto na wanawake au kuvunja majumba 😆 Hezbullah anasema sio USA au Nato wanaweza kuvunja silaha zao, achana na yule Israel.

Kwa tarifa yako Israel analia eti Yemen wapo kwenye border yao wana mlaumu USA 😄


View: https://youtu.be/qYWkgv8lqA8?si=HBvTWm0HxP0uQs5r

Hahahah nimesikia Hezbullah wameomba Poo, wakajikande kwanza au aliyeomba ni Israel?
 
Ukiona ceasefire USA kaipitisha ujue hali ilikua ngumu ww jiulize kwanini ceasefire ya Gaza anaipinga aikubali ya Lebanon na imepita fasta tu
Hahahaha 🤣 🤣 🤣 kwa unadhani hali ya Israel ni ngumu na ya Hisbollah ni nzuri!!?? Tricky hii Israel aweze kufucus kwa iran maana damage iliyopata Hisbollah haielezeke na watapaswa kuhama kusini mwa Lebanon ndio jeshi la Israel 🇮🇱 liondoke over
 
Lete ushahidi.
Hisbollah Watahama hadi kaskazini mwa litani river,
Jeshi la kitaifa linasogea upande wa kusini mwa Lebanon na Israel kuanza ku withdraw.
Israel ina haki ya kijibu vikali uchokozi wowote utakaofanywa na Hisbollah wakati wa ceasefire.
Hamas kwao hali itakuwa ngumu zaidi maana sasa Israel ita focus kuwasafisha kabisa Hamas Gaza hadi kuwe na utulivu
 
Aibu Sana 🤣 🤣

Mtu anayejidai kuwa Ni baunsa akipigwa makofi na kimbambau ni fedheha
 
Hisbollah Watahama hadi kaskazini mwa litani river,
Jeshi la kitaifa linasogea upande wa kusini mwa Lebanon na Israel kuanza ku withdraw.
Israel ina haki ya kijibu vikali uchokozi wowote utakaofanywa na Hisbollah wakati wa ceasefire.
Hamas kwao hali itakuwa ngumu zaidi maana sasa Israel ita focus kuwasafisha kabisa Hamas Gaza hadi kuwe na utulivu
Those are wishful thinkings and alot of bleee bleee bleee.
Hizbollah bado hajatoa kauli juu ya hilo.

Na hata kama atakubali kuondoka Litani river itakua ni vizuri kwasababu atakua ameisikiliza serikali yake na sio kwasababu anaiogopa Israel.
Tunasubiri Hizbollah atoe tamko bado hajatoa tamko.
 
Ukiona ceasefire USA kaipitisha ujue hali ilikua ngumu ww jiulize kwanini ceasefire ya Gaza anaipinga aikubali ya Lebanon na imepita fasta tu
Gaza hawana silaha kule kwa
Lebanon wanakula kipondo cha kimya kimya wanajeshi wamemalizika
 
Those are wishful thinkings and alot of bleee bleee bleee.
Hizbollah bado hajatoa kauli juu ya hilo.

Na hata kama atakubali kuondoka Litani river itakua ni vizuri kwasababu atakua ameisikiliza serikali yake na sio kwasababu anaiogopa Israel.
Tunasubiri Hizbollah atoe tamko bado hajatoa tamko.
Hahahaha 🤣 🤣 kipigo heavy alichopewa sio mchezo viongozi wake na makamanda wote walifukiwa kama panya
 
Back
Top Bottom