Vyombo vya habari vya Marekani na Ulaya ni wanafiki sana

Vyombo vya habari vya Marekani na Ulaya ni wanafiki sana

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,017
Reaction score
19,506
Nawaza, hivi ingekua Taliban wamechukua nchi kipindi cha Trump sijui ingekuaje, hiyo bado image ambayo Trump angepewa haina mfano.

Lakini kwa kuwa alieko madarakani ni kibaraka wao, wanajitahidi kwa kila namna kuficha udhaifu huu mkubwa aliouleta na kuitia aibu Marekani kwa kuachia nchi kwa Taliban kirahisi namna hiyo.

Biden badala ajitathmini mwenyewe, anahamisha zigo la lawama kwa serikali zilizopita.

Biden kaonyesha udhaifu mkubwa sana na ameitia sana aibu Marekani.
 
Watanzania acheni unafiki.

Unakerwa nn na AFGHANISTAN kujipatia Uhuru wake kutoka mikononi mwa wakoloni wao Marekani.

Inafaida gani kukaa kwenye nchi ambayo serikali imewekwa kimabavu na wageni.

Kilichokua kinaendelea Afghanistan,
Kinana tofauti gani ukoloni wa kina Edward twinning.
 
Waenjoy nchi kwa wanawake kunyimwa elimu? Hivi wewe uwezo wa kujenga logic unao?
Jana baada ya hawa magaidi kuingia kabul yakaanza kupita kila nyumba kuchukua mabinti wadogo ili wakawatumikishe kingono hivi ndivyo dini inawataka mfanye hivyo?
Biden anapataje aibu?

Kwani umeambiwa Afghanistan Ni Jimbo la marekani Lile?

Acheni waafghanistan waenjoyna nchi yao.
 
Wananchi Wana enjoy nini km hadi TV hawaruhusiwa kuangalia?
 
TBC, UHURU , CHANNEL ten ni vya India eeh, maana huwa havitangazi wala kuonyesha habari za wapinzani, na siku wakio yehs wanaonyesha kama mpinzani amekufa ama amesingiziwa ugaidi, kwao ndio pumb* zinapata hewa.
 
Nawaza, hivi ingekua Taliban wamechukua nchi kipindi cha Trump sijui ingekuaje, hiyo bado image ambayo Trump angepewa haina mfano.

Lakini kwa kuwa alieko madarakani ni kibaraka wao, wanajitahidi kwa kila namna kuficha udhaifu huu mkubwa aliouleta na kuitia aibu Marekani kwa kuachia nchi kwa Taliban kirahisi namna hiyo.

Biden badala ajitathmini mwenyewe, anahamisha zigo la lawama kwa serikali zilizopita.

Biden kaonyesha udhaifu mkubwa sana na ameitia sana aibu Marekani.
Ya kwako yamekushinda kazi kufuatilia ya wenzako! Rubish
 
Female journalists returned to work on the second day of the Taliban rule. So far, women are seen conducting live broadcasts from the streets of Kabul. Traffic is back to normal and Taliban is patrolling the streets. People are going back at work. https://t.co/EoEdUNykBM
 
BREAKING: China’s state media ‘Global Times’ warns Taiwan against acting as “pawns of the US” - saying that “the US abandonment of Afghan allies should be a lesson, Taiwan would be left to fend for itself and collapse in hours in a war with China.”
 
Nawaza, hivi ingekua Taliban wamechukua nchi kipindi cha Trump sijui ingekuaje, hiyo bado image ambayo Trump angepewa haina mfano.

Lakini kwa kuwa alieko madarakani ni kibaraka wao, wanajitahidi kwa kila namna kuficha udhaifu huu mkubwa aliouleta na kuitia aibu Marekani kwa kuachia nchi kwa Taliban kirahisi namna hiyo.

Biden badala ajitathmini mwenyewe, anahamisha zigo la lawama kwa serikali zilizopita.

Biden kaonyesha udhaifu mkubwa sana na ameitia sana aibu Marekani.
Unaeza ukawa unajua wajua kumbe hujui, mpango wa mmarekan kujitoa afghanistan ulikuwa wa trump, biden kakamilisha tu mpango aloukuta mezan
 
Trump ndiyo aliyezingua hapo.Yeye ndiye aliyeingia nao hao jamaa mkataba wa hovyo.Alikubali kuwaachia mateka wa Taliban zaidi ya 5k kwa aharti la Taliban kutojihusisha na Alqaeda na kutoshambulia askari wa Marekani.

Pia wakakubaliana wanajeshi wa Marekani kuondoka Afghanistan kabla ya mwezi wa 5 Biden akasogeza hadi August.

Vyovyote vile Afghanistan inatakiwa ijisimamie yenyewe.
 
Watanzania bwana.
Tunavoijadili talibani na afghan utazani ndo raia.

Hapa kwetu tumekandamizwa na mifumo mibovu ya serekali,mpo kimya wananchi
 
Hii mishe ilikuwa calculated long time! Kumbuka:
1. Presha ya Wamarekani dhidi ya Obama kuwa US inabeba mzigo mkubwa kuhudumia wanajeshi wake waliopo Afghanistan.
2. Mara kadhaa sera ya US dhidi ya Afghan ilihojiwa vikali kwenye seneti.
3. Mpango wa Obama kupunguza bajeti na wanajeshi Afghanistan.
4. Mpango wa Trump kupunguza majukumu ya wanajeshi wa US, walibakia kulinda maeneo muhimu kwa US tu.
5. Je wajua kwa mini western Media wanasema Taliban gained control earlier than expected?
6. Biden amehitimisha tu long term plan ya US baada ya US KUPATA FAIDA.
N. B Ndio maana Blinken anasema US HAS ACHIEVED IT'S MISSION IN AFGHANISTAN.
 
Back
Top Bottom