Vyombo vya habari vyamshukia Pep Gudiola kumsaidia Arteta jinsi ya kushinda mechi mwenyewe afura

Nitajie mchezaji moja wa arsenal ambaye angeweza kuweka bench starting eleven ya leicester city 2015/16
Arteta, ozil, sanches, chambalaine, walcot, mtakatifu cazola, giroud, chec petr etc ndio uwafananishe naitopolo wa leista? Mpira umeujua wakari nabi ni kocha wa yanga wewe
 
Waingereza washamba sana, wengi hawampendi Pep kisa anafunika rekodi zote za Ferguson EPL, na mpira anaoupiga Arteta roho zinawauma, hawataki iwe kwa Arsenal, wanapenda kama ingekuwa Liverpool au Man Utd.
 
Unawajua wachezaji waliobeba ubingwa wa leicester city au naongea na hii mishabiki ya simba na yanga usiyojua mpira
Arteta, ozil, sanches, chambalaine, walcot, mtakatifu cazola, giroud, chec petr etc ndio uwafananishe naitopolo wa leista? Mpira umeujua wakari nabi ni kocha wa yanga wewe
 
Kwahiyo Pep amsaidie Arteta ku win mechi na wakati huo huo na yeye atake kushinda EPL?

Na mbona hizi taarifa hazipo Sky Sports au source nyengine za kueleweka badala yake unazo wewe tu?

Mashabiki wa Man Utd siku zote nawaambieni akili zenu zipo matakoni!

Mnaumia sana, mnakosa hadi usingizi kuiona Arsenal iko juu. Na tukichukua EPL msimu huu kuna baadhi yenu mtajinyonga kwa stress.
 
Hua nashangaaga sana nyie watu, haya we mtoa mada unataka nn yaan .
Hua ni wivu au ni Nini.
 
Hivi ni kwanini waTanzania walio wengi (sio wote) ni wapumbav na wajinga namna hii. Kwa mtindo huu nchi hii itaendelea kuwa maskini ikiwa tu wanamitizamo ya namna yako
 
Umeona jinsi ulivyo kuwa wa hovyo huna akili ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…