OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona waandishi wandani nao wapo na wamekuwa waki link na azam mediaHivi mnajuwa kwamba hata chawa Mwijaku kila siku anaita press conference wa waandishi wanajazana?
Kazi ya waandishi ni kupata habari hapo kipi cha ajabu?
Kwanza kwa ukubwa wa Simba ilitakiwa isafiri na waandishi wa Tanzania iwagharamie ili waweze kucover story zote za pre season hata yule zeruzure mgonjwa wa akili asingepata nafasi ya kusema Simba imecheza na madereva tax wa Ismailia.
Nimemuona Patrick Nyembela yupo kuleHivi mnajuwa kwamba hata chawa Mwijaku kila siku anaita press conference wa waandishi wanajazana?
Kazi ya waandishi ni kupata habari hapo kipi cha ajabu?
Kwanza kwa ukubwa wa Simba ilitakiwa isafiri na waandishi wa Tanzania iwagharamie ili waweze kucover story zote za pre season hata yule zeruzure mgonjwa wa akili asingepata nafasi ya kusema Simba imecheza na madereva tax wa Ismailia.
Sasa amekwenda kufanya nini kama anamuacha mwehu ambaye yupo kariakoo kupotosha?Nimemuona Patrick Nyembela yupo kule
Hujui tu mbona wapo wamesafiri wakiwemo wa Azam TV.Hivi mnajuwa kwamba hata chawa Mwijaku kila siku anaita press conference wa waandishi wanajazana?
Kazi ya waandishi ni kupata habari hapo kipi cha ajabu?
Kwanza kwa ukubwa wa Simba ilitakiwa isafiri na waandishi wa Tanzania iwagharamie ili waweze kucover story zote za pre season hata yule zeruzure mgonjwa wa akili asingepata nafasi ya kusema Simba imecheza na madereva tax wa Ismailia.
Amewekwa pale kwa ajili ya propaganda na ili aonekane anafanya kazi lazima apotoshe, kama aliweza kusema kuwa Yanga itaanza First Round kwa sababu ya UbingwaSasa amekwenda kufanya nini kama anamuacha mwehu ambaye yupo kariakoo kupotosha?
Huyu swala lake inabidi limalizwe na TFF ili GSM wampe kazi kwenye maroli yao au kwenye maduka yao.Amewekwa pale kwa ajili ya propaganda na ili aonekane anafanya kazi lazima apotoshe, kama aliweza kusema kuwa Yanga itaanza First Round kwa sababu ya Ubingwa
Huku waandishi wa vyombo vya habari wapo kimya tena wengi, itakuwa kufua dafu kwa mwandishi mmoja wa Azam TV..!
umenikumbusha jamaa wanaochangiaga mada bila kusoma wala kuona videoHivi mnajuwa kwamba hata chawa Mwijaku kila siku anaita press conference wa waandishi wanajazana?
Kazi ya waandishi ni kupata habari hapo kipi cha ajabu?
Kwanza kwa ukubwa wa Simba ilitakiwa isafiri na waandishi wa Tanzania iwagharamie ili waweze kucover story zote za pre season hata yule zeruzure mgonjwa wa akili asingepata nafasi ya kusema Simba imecheza na madereva tax wa Ismailia.
Hivi mnajuwa kwamba hata chawa Mwijaku kila siku anaita press conference wa waandishi wanajazana?
Kazi ya waandishi ni kupata habari hapo kipi cha ajabu?
Kwanza kwa ukubwa wa Simba ilitakiwa isafiri na waandishi wa Tanzania iwagharamie ili waweze kucover story zote za pre season hata yule zeruzure mgonjwa wa akili asingepata nafasi ya kusema Simba imecheza na madereva tax wa Ismailia.
Na nyie mkole wenu tarehe hiyo hiyoJilisheni tu upepo, jando lenu liko palepale tarehe 13 August
Huyo nyani wa pori la Utopolo hawaelewi hiliMbona waandishi wandani nao wapo na wamekuwa waki link na azam media
Mwaka jana waliweka kambi wapi vileeeee??? Na matokeo ya msimu yalikuwaje vileeeeeeeImeonyesha Kweli Kambi Yao Ina Vitu Vya Ziada
One Team, One Dream
Acha Walioko Matombo, Morogoro Wafute Kambi Za Nje Ya Tanzania
Uzuri ni kuwa kila mwenye akili timamu anampuuza huyu sope,hata Yanga wenye kujitambua wanamdharau sana kwani ni kama anaitia doa brand yaoSasa amekwenda kufanya nini kama anamuacha mwehu ambaye yupo kariakoo kupotosha?
Takadini unaumia ukiwa pori gani?Mwaka jana waliweka kambi wapi vileeeee??? Na matokeo ya msimu yalikuwaje vileeeeeee