Vyombo vya Kimataifa vinakuja, tujiandae kuvipokea na kuvipa ushirikiano

Siku hizi umekuwa na hasira sana!

Lakini ninakuunga mkono kuhusu ngonjera hizi mpya tunazoziona sasa.
Kwa sababu kuna pumba nyingi zinasambaa ambazo hazina facts kuzisupport no matter facts hizo ni flawed au la, lakini ziwepo.
 
Tanzania ni nchi pekee ambayo mtu yeyote anaweza kuwa rais na mambo yakaenda shikopa tu.
 
Kwa sababu kuna pumba nyingi zinasambaa ambazo hazina facts kuzisupport no matter facts hizo ni flawed au la, lakini ziwepo.
Kwa mara nyingine nakubaliana na hilo la "uwepo wa pumba nyingi"; lakini hizi hazikuanza leo. JF ndilo limekuwa dimbwi la kila aina ya pumba zinazoibuliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…