Vyombo vya ulinzi vya Tanzania jiandaeni na uvamizi wa majasusi wa Rwanda. Sababu ni hii hapa...

propaganda tu hizo.wanahamu tukawachape. Wakileta ujinga ndani ya siku moja tunakunywa chai kigali,we waache tu!
 
Tatizo ndani ya system kumejaa watusi... hata JK analifahamu hilo...

Hiyo chuki dhidi ya watusi itawapeleka pabaya,mbona hamsemi wahutu waliojaa serikalini? au nyie mnajisikia kua wahutu zaidi ya watusi? kwataarifa yenu tz hizo tabaka mbili zipo tena sio hao waliopewa uraia bali katika makabila ya waha,wahangaza,wahaya wamo watusi na wahutu sasa sijui hao mtawatimuaje,pole sana mnacho chokonoa mtakiona,mtakua nyuma ya DRC,it is matter of time.
 
PK amewekwa kwenye list ya Most wanted na CIA
 
propaganda tu hizo.wanahamu tukawachape. Wakileta ujinga ndani ya siku moja tunakunywa chai kigali,we waache tu!

Hakuna cha propaganda hapo,tatizo wanyarwanda inteligensi yao iko juu,wanajua kinachoendelea tz,sasa kama nyie hamkuzikamata ni uwezo wenu mdogo,habari ndio hiyo,kingine nikwamba rwanda haina haja ya kuanzisha vita na taifa kubwa lenye nguvu kama tanzania wanalijua hilo,sasa mkiambiwa ukweli eti propaganda.
 
Nawashangaa watanzania mbona povu linawatoka wakati ingetakiwa wanyarwanda kuchukia kitendo cha jk kumkaribisha FDLR tz,sasa ingekuaje kama pk angemualika adui yenu watanzania?
MUKAMASIMBA,
Unashangaa kwanini Watanzania wanahemuka kwa jazba? Hivi unafahamu maana ya propaganda? Leo hii Tanzania ikitaka kuishambulia Rwanda au nchi yoyote ile, kitu cha kwanza ni ku-frame propaganda! Wakati George Bush anataka kuivamia Iraq, alianza kwanza kutangaza kwamba Iraq wana Weapons of Mass Destruction (WMD). Wakati Amin anataka kuivamia Tanzania alianza kwanza kutangaza kwamba Mkoa wa Kagera ni sehemu ya Uganda! Sisemi kwamba hiyo habari ya News of Rwanda nayo ni propaganda ya Rwanda dhidi ya Tanzania but no one peace of information need to be ignored in any way provided it's interest in national security! Media inapoandika kwamba J.K amemkaribisha mbaya wa Kagame tena kama special guest huku akipewa hifadhi ya siri, hapo ni kwamba panatengenezwa kitu. Na kwa jinsi haya mambo yalivyo, watengenezaji kila cku watakaa pembeni kusubiri reaction. Na kwa kumfahamu jinsi Kagame alivyo, hatutashangaa hata siku moja akija kutoa kauli za hovyo hovyo dhidi ya Tanzania/JK. So, shouldn't Tanzanians be curious about the news?
 
Last edited by a moderator:
they say what goes around comes around.jambo la msingi hapa si tanzania pekee ya kuchukua tahadhali bali hata rwanda yenyewe ichukue tahadhari ya kuvamiwa na majasusi toka tanzania.ni sawa na kusema wakati vijana wa kagame wapo kwetu kukusanya taarifa za kijasusi and assassinations,vijana wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania(JMT) wapo kigali kwa kazi hiyohiyo.
 

bora umekiri mwenyewe kuwa rwanda haiwezi tz
 
EEEEH

Yupo Tanzania...
Njooni majasusi ya Kitutsi....
Watutsi wanapenda ugomvi wa mawe huku wanaishi kwenye nyumba ya vioo

Waje mara ngapi wakati wamo wamejaa katika serikali hii tena wengi wan vyeo vya juu?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Watutsi bhana...hivi hii jamii mbona ni watu wachokozi sana halafu nguvu hamna???
Usauri wangu kwenu msiendekeze ukorofi kwa waTz, ni wakarimu sana ila wakikugeukia kwa hasira dunia mtaiona chungu na jumuiya ya kimataifa itawageuka pia...karibuni majasusi uchwara.
 
hahahaha RWANDA RWANDA, you guys are ubeliavable...ni sawa na msanii mdogo kutafuta umaarufu kupitia jina la msanii mkubwa...toka lini intelijensia ya RWANDA kawa juu ya CIA wa Afrika????
 
Wafike marangapi, Kama walikuwa na kijana makao makuu ya jeshi akiwafundisha mabigi jinsi ya Kubofya Komputa unategemea nini?

In short wakati TISS ipo busy na upinzani, Kagame anaendelea kutafuta siku ya kum-HIT MKULU.

Hope TISS ya Jeshi inafanya kazi vizuri, japo pia nashaka na yenyewe ipo Busy na uchaguzi kama huko kenya tulivyosikia odinga akililaumu jeshi kushiriki wizi wa Kura.
 
Ndugu yangu, hapa nchini wamejaa watutsi kibao; wengine wapo kwenye sehemu nyeti za serikali, hadi benki kuu wapo. Sasa usione ajabu akitokea mtu anayetoa mawazo kama hayo kwamba uzi kama huu ufutwe. Ujue mtu wa aina hiyo ni mtutsi; hawa watu ni kuwa makini nao sana; hatuhitaji kuwa naive tena; vinginevyo tutakuwa kama Mashariki ya Kongo.... anayeona uzi haumfai akae pembeni.. usalama wa nchi yetu kwanza
 
Mkuu, upo sahihi kabisa; HATUHITAJI KUCHUKULIA EASY TU HABARI KAMA HII!... as you said, this is propaganda, watutsi ni wazuri sana wa ku frame habari ili wapate "HURUMA" kutoka kwa mataifa mengine na pia naona wanatafuta sababu za kuichokoza TZ kwa sababu tulichangia TROOPS huko Eastern DRC ambako hao watutsi (M23) nduguze kagame na museveni wapo wakitafuta uwezekano wa kutimiza ndoto zao za kutengeneza 'bahima empire"!
 
hahahaha RWANDA RWANDA, you guys are ubeliavable...ni sawa na msanii mdogo kutafuta umaarufu kupitia jina la msanii mkubwa...toka lini intelijensia ya RWANDA kawa juu ya CIA wa Afrika????

Aahahha acha na mimi nikucheke CIA ya Afrika? pole we game iliishabadilika wewe bado uko 1970s.
 
Hatutaki vita na nchi yoyote jirani iwe Malawi, Rwanda, Burundi, DRC, Uganda Kenya na yeyote ile. Tuna vita kubwa iliyotushinda ya kuondoa ujinga na umaskini kwa mamilioni ya ndugu zetu watanganyika na ndiyo inayopaswa kutusumbua akili kwa sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…