Wafike marangapi, Kama walikuwa na kijana makao makuu ya jeshi akiwafundisha mabigi jinsi ya Kubofya Komputa unategemea nini?
In short wakati TISS ipo busy na upinzani, Kagame anaendelea kutafuta siku ya kum-HIT MKULU.
Hope TISS ya Jeshi inafanya kazi vizuri, japo pia nashaka na yenyewe ipo Busy na uchaguzi kama huko kenya tulivyosikia odinga akililaumu jeshi kushiriki wizi wa Kura.
Tuacheni mawazo ya vita watanzania wenzangu,kwani ikitokea madhara lazima yawepo pande zote.
Pili sisi sio wasemaji wa masuala ya usalama ya nchi,wenyewe wameshapita hapa na kujua kama hii ni pumba,propaganda ama chochote kila na kujua wafanye nini.
Mwisho hao mnaoita watutsi,wahutu nk ndani ya vyombo vyetu vua usalama ni watanzania wenzetu wa asili hivyo tuache ubaguzi.na kwa maoni yangu kuna faida nyingi kuwa nao kuliko hasara,angalia vyombo vya usalama vya usa utanielewa.
This is just a trick to know how angry and sensitive we are!
Hizi ni chokochoko za kike, kwann wasifanye ambush zen waone moto wetu?!
PK somo la DRC halijamwingia vzr.
Je unazijua sera za usalama wa taifa za marekani ? Au unaongea tu?
Hakuna cha trick hapo rwanda wana full information kwamba kikwete hajaachana na mpango wake wakuleta vurugu rwanda,na ndio maana baada ya TWAGIRAMUNGU kutangaza kujiunga na FDLR alialikwa na jk,na hapo hapo UN na congo watoa report kwamba M23 ina fundishwa rwanda,mara MUNUSCO inaombwa kupambana na FDLR wanasema eti hawawezi kuwashambulia,nafikiri unaweza kuona jinsi haya yote yalivyo na uhusiano wa kutaka kuleta matatizo rwanda,sasa nachoweza kukuambia pindi tz itajaribu kuingia rwanda huo ndio utakua mwanzo wa kusambaratika kwa taifa la tanzania,bora muangalie yenu zaidi ya kujitafutia matatizo kwani mliyonayo nayo si mepesi.
Hahahahaha, tena kitengo cha propaganda za kwenye media peke yake kisingenitosha; ningetamani sana nipate kile cha ku-frame sababu za kumchapa Kagame hadi kila mtu duniani aridhike pasipo na shaka yoyote kwamba Tanzania ilikuwa na kila sababu ya kumchapa Kagame kama ambavyo Hayati Mwalimu alivyokuwa amepata sababu za kumchapa Amin hadi kila mmoja duniani akaridhika kwamba Amin had to go whether voluntarily or otherwise!!!Mkuu upo saw a Kabisa. Ningekuwa mkurugenzi kule usalama wa nchi ningekupa kitengo cha propaganda. You're very intelligent.
Hakuna cha trick hapo rwanda wana full information kwamba kikwete hajaachana na mpango wake wakuleta vurugu rwanda,na ndio maana baada ya TWAGIRAMUNGU kutangaza kujiunga na FDLR alialikwa na jk,na hapo hapo UN na congo watoa report kwamba M23 ina fundishwa rwanda,mara MUNUSCO inaombwa kupambana na FDLR wanasema eti hawawezi kuwashambulia,nafikiri unaweza kuona jinsi haya yote yalivyo na uhusiano wa kutaka kuleta matatizo rwanda,sasa nachoweza kukuambia pindi tz itajaribu kuingia rwanda huo ndio utakua mwanzo wa kusambaratika kwa taifa la tanzania,bora muangalie yenu zaidi ya kujitafutia matatizo kwani mliyonayo nayo si mepesi.
Nyinyi mnafanya nini katika security council ya hiyo hiyo UN unayoilalamikia? Hizo report za Twagiramungu na FDLR na Kikwete zinathibitishwa wapi pengine zaidi ya vigazeti vyenu vya RPF?
Watanzania, wale 100% natural tuwaogope Watutsi kwa lipi hasa?! Binafsi wala hawanisumbui. Lakini labda tu nikuambie kwamba binafsi nakerwa sana tena sana na hizi reference zenu za Watutsi na Wahutu. Binafsi nimetoa michango mingi sana humu jamvini kuhusu siasa za Rwanda, TZ na DRC. Ukiona nimetaja makabila basi ujue nililazimika kufanya hivyo na hapakuwa na muda otherwise niwe nimeghafirika. Kwa mfano, kuna wakati nililazimika kutaja Watutsi mara kadhaa kwavile nilikuwa naisimulia historia yao from back 17 centuries hadi wanaingia Rwanda na kuwakuta wenyeji Wahutu mpaka kufikia kipindi cha ukoloni kuingia Afrika! Katika mazingira kama hayo, utagundua sikuwa na jinsi zaidi ya kutaja Watutsi, watutsi, watutsi! Kwa mtu anayeifahamu historia ya Rwanda, anafahamu wazi kwamba Rwanda hakuna wa kumnyooshea kidole mwenzake hususani linapokuja suala la racial/tribunal discrimination. Watutsi wamewa-harass Wahutu na Wahutu wamewa-harass Watutsi kila kabila moja wapo linapopata nafasi hiyo.
Labda nikupe msimamo wangu linapokuja suala la Rwanda....sina tatizo na Wanywarwanda kama Wanywarwanda bila kujali makabila yao; tatizo langu mimi ni Kagame Regime. Huyu sipendi kumuona akiwa madarakani japo kwa dakika moja ya ziada. Kwangu Kagame ni Man of War, along with Museven....kwa mtazamo wangu hawa wote ni watu wasiopaswa kabisa kuwamo madarakani angalau kwa cku moja ya ziada.
Ni ukweli usiopingika kwamba Tanzania kuna Wanywarwanda wengi wanaoshika nafasi serikalini lakini wala siamini kwamba hilo linatokana na ujasusi wa "Watutsi" wa kutaka kujichomeka hapa na pale ili kufikia malengo yao! Hili limetokea kutokana na historia ya Rwanda. Wakoloni waliwapendelea sana Watutsi wakati wa utawala wao, Watutsi wakaitumia nafasi hiyo kuwakandamiza Wahutu. Wakoloni walipojiona wanataka kuondoka Rwanda, wakaacha madaraka mikononi mwa Wahutu...Wahutu wakaamua kulipiza kisasi na kuanza kuwakandamiza Watutsi. Usalama wa Watutsi wengi ukawa mashakani na hivyo kuwalazimisha kuikimbia Rwanda na wengi kuja Tanzania. Walipokuwa Tanzania, hawakubaguliwa kutokana na status yao ya ukimbizi....wengi walienda shule na kupata ajira sehemu mbalimbali ikiwamo serikalini. Hiki ndiyo ninayoamini ni sababu ya Wanyarwanda kuwamo kwenye taasisi zetu. Tanzania iliamua kuwa waungwana kwa kuwaona kwamba ni ndugu zetu. Humu ndani kuna watu sehemu hii na ile, inawezekana wapo wenye ushahidi kwamba kuna baadhi ya Wanyarwanda, hususani Watutsi ambao wana-betray ukarimu wetu! Na watu wanapowasema sio kwamba Watanzani wanawaogopa Watutsi; hatuna cha kuwahofia! Inawezekana vipi watu 46 million wawaogope 2 million?
Lakini kwa upande mwingine, mtu aliye makini anaweza kubaini kwamba humu jamvini kuna siasa za chuki kati ya Wahutu na Watutsi. Si kila anayemshambulia Kagame na Watusti humu ndani ni Mtanzania, nimegundua wengine ni Wahutu wanaojivika Utanzania. Na kutokana na siasa za Kagame zinazowakera wengi, Kagame amejikuta akiwa si kipenzi cha Watanzania( kuna juha mmoja akadai eti tunaionea wivu Rwanda, cjui wivu kwa lipi!!). Kwahiyo anapokuja Mhutu katika sura ya Mtanzania na kuanza kumshambulia Kagame na Watutsi; some fellow Tanzanians huwa wanajikuta wakiunga mkono bila kufahamu kwamba wana-support siasa zilezile za chuki za Watutsi na Wahutu! Am afraid hata wewe, bado una ka-element kale kale! Nitakaa kusubiri comment zenu siku Rwanda itakapokuja kuongozwa na Muhutu...nasema hayo kwa sababu nina mashaka ikiwa hata nyinyi mnachokifanya ni kuitetea Rwanda inayoongozwa na Mnyarwanda au mnaitetea Rwanda inayoongozwa na Mtutsi! Ikiwa mnaitetea Rwanda inayoongozwa na Mnyarwanda, well done; bravo and keep it up! Naichukia Kagame Regime but you have all rights to defend it IF and ONLY IF mnasukumwa na Unyarwanda wenu, otherwise am very sorry for y'all!
Hivi huyu anagonga keyboard za digital device yake akiwa wapi? Kama yukoTz asakwe awe assassinated haraka. TISS please do the needful , we don't need this clap
hawa watutsi ni janga ndio maana nikiendaga kigali huwa nawagonga sana dada zao wenye ma.ta.ko makubwa bure
Hapa wanyarwanda nawaona wanajitahidi kumtetea Kagame wamesahau Kuwa Operation Kimbunga inakuja tena kwa Mara ingine na Safari hii itaendeshwa kisayansi sana tena jijini Dsm ndipo patalengwa sana Kila Mtanzania atakayeweza kumtaja Mnyarwanda anayeishi kinyume cha sheria atalipwa motisha sasa kaeni mkao wa kuludi Kwenu moja kwa moja si Kama ilivyokuwa ile Operation iliyopita
Watanzania, wale 100% natural tuwaogope Watutsi kwa lipi hasa?! Binafsi wala hawanisumbui. Lakini labda tu nikuambie kwamba binafsi nakerwa sana tena sana na hizi reference zenu za Watutsi na Wahutu. Binafsi nimetoa michango mingi sana humu jamvini kuhusu siasa za Rwanda, TZ na DRC. Ukiona nimetaja makabila basi ujue nililazimika kufanya hivyo na hapakuwa na muda otherwise niwe nimeghafirika. Kwa mfano, kuna wakati nililazimika kutaja Watutsi mara kadhaa kwavile nilikuwa naisimulia historia yao from back 17 centuries hadi wanaingia Rwanda na kuwakuta wenyeji Wahutu mpaka kufikia kipindi cha ukoloni kuingia Afrika! Katika mazingira kama hayo, utagundua sikuwa na jinsi zaidi ya kutaja Watutsi, watutsi, watutsi! Kwa mtu anayeifahamu historia ya Rwanda, anafahamu wazi kwamba Rwanda hakuna wa kumnyooshea kidole mwenzake hususani linapokuja suala la racial/tribunal discrimination. Watutsi wamewa-harass Wahutu na Wahutu wamewa-harass Watutsi kila kabila moja wapo linapopata nafasi hiyo.
Labda nikupe msimamo wangu linapokuja suala la Rwanda....sina tatizo na Wanywarwanda kama Wanywarwanda bila kujali makabila yao; tatizo langu mimi ni Kagame Regime. Huyu sipendi kumuona akiwa madarakani japo kwa dakika moja ya ziada. Kwangu Kagame ni Man of War, along with Museven....kwa mtazamo wangu hawa wote ni watu wasiopaswa kabisa kuwamo madarakani angalau kwa cku moja ya ziada.
Ni ukweli usiopingika kwamba Tanzania kuna Wanywarwanda wengi wanaoshika nafasi serikalini lakini wala siamini kwamba hilo linatokana na ujasusi wa "Watutsi" wa kutaka kujichomeka hapa na pale ili kufikia malengo yao! Hili limetokea kutokana na historia ya Rwanda. Wakoloni waliwapendelea sana Watutsi wakati wa utawala wao, Watutsi wakaitumia nafasi hiyo kuwakandamiza Wahutu. Wakoloni walipojiona wanataka kuondoka Rwanda, wakaacha madaraka mikononi mwa Wahutu...Wahutu wakaamua kulipiza kisasi na kuanza kuwakandamiza Watutsi. Usalama wa Watutsi wengi ukawa mashakani na hivyo kuwalazimisha kuikimbia Rwanda na wengi kuja Tanzania. Walipokuwa Tanzania, hawakubaguliwa kutokana na status yao ya ukimbizi....wengi walienda shule na kupata ajira sehemu mbalimbali ikiwamo serikalini. Hiki ndiyo ninayoamini ni sababu ya Wanyarwanda kuwamo kwenye taasisi zetu. Tanzania iliamua kuwa waungwana kwa kuwaona kwamba ni ndugu zetu. Humu ndani kuna watu sehemu hii na ile, inawezekana wapo wenye ushahidi kwamba kuna baadhi ya Wanyarwanda, hususani Watutsi ambao wana-betray ukarimu wetu! Na watu wanapowasema sio kwamba Watanzani wanawaogopa Watutsi; hatuna cha kuwahofia! Inawezekana vipi watu 46 million wawaogope 2 million?
Lakini kwa upande mwingine, mtu aliye makini anaweza kubaini kwamba humu jamvini kuna siasa za chuki kati ya Wahutu na Watutsi. Si kila anayemshambulia Kagame na Watusti humu ndani ni Mtanzania, nimegundua wengine ni Wahutu wanaojivika Utanzania. Na kutokana na siasa za Kagame zinazowakera wengi, Kagame amejikuta akiwa si kipenzi cha Watanzania( kuna juha mmoja akadai eti tunaionea wivu Rwanda, cjui wivu kwa lipi!!). Kwahiyo anapokuja Mhutu katika sura ya Mtanzania na kuanza kumshambulia Kagame na Watutsi; some fellow Tanzanians huwa wanajikuta wakiunga mkono bila kufahamu kwamba wana-support siasa zilezile za chuki za Watutsi na Wahutu! Am afraid hata wewe, bado una ka-element kale kale! Nitakaa kusubiri comment zenu siku Rwanda itakapokuja kuongozwa na Muhutu...nasema hayo kwa sababu nina mashaka ikiwa hata nyinyi mnachokifanya ni kuitetea Rwanda inayoongozwa na Mnyarwanda au mnaitetea Rwanda inayoongozwa na Mtutsi! Ikiwa mnaitetea Rwanda inayoongozwa na Mnyarwanda, well done; bravo and keep it up! Naichukia Kagame Regime but you have all rights to defend it IF and ONLY IF mnasukumwa na Unyarwanda wenu, otherwise am very sorry for y'all!