Vyombo vya ulinzi vya Tanzania jiandaeni na uvamizi wa majasusi wa Rwanda. Sababu ni hii hapa...

Vyombo vya ulinzi vya Tanzania jiandaeni na uvamizi wa majasusi wa Rwanda. Sababu ni hii hapa...

This is just a trick to know how angry and sensitive we are!
Hizi ni chokochoko za kike, kwann wasifanye ambush zen waone moto wetu?!
PK somo la DRC halijamwingia vzr.
Mkuu, PK anaweweseka sana. Anajua wazi kuwa Tanzania tupo imara sasa anatafuta namna ya kutuchafua
 
Sisi kwetu habari yoyote ni habari hivyo hatuwezi kuipuuza najua vyombo husika vitafanyia kazi kwani JF ni sehemu idara husika zinashinda humu hivyo umakini kwakila jambo linalotoka Kigali kwetu huwa tunaliona ni Heading news na kwa Tanzania na vyombo vyake zina make headlines.
 
Kwenye hili siasa pembeni,nipo tayari kuifia nchi yangu pendwa tanzania.


"onyo paul kagame ni mtusi mmbaya sana! ,
ukifuatilia historia ya watusi utagundua agenda yao ya "hima empire" iliyokuwepo hapo zama.

Tatizo kubwa walilonalo hawa watusi hawajui kusamehe au kuzidiwa kwa na lolote na wakati wowote.

"tahadhari"
hawa watusi wa kinyarwanda ni wazuri kwa ujumla,hivyo hutuma mabinti kuja kusoma vyuo mbalimbali tanzania na africa mashriki nzima, lengo lao kuu ni kuwatega kwa mbinu zozote watoto wa wakubwa wa nchi ili kuolewa nao au kuzaa nao tu.
Na haya yote hufanywa chini y a makubaliano na serikali ya kagame.
Unaweza kujiuliza anawezaje kuua marafiki zake wa karibu?
Hii ni kutokana na viapo na mikakati waliyijipangia ili kabila dogo (tutsi) waweze kutawala wahutu na africa mashariki yote.

Niwaase watanzania tuwaepuke wanyarwanda kama ukoma.

'siyo chuki ila huo ndio ukweli wenyewe'.
 
Ex-PM Twagiramungu is special guest of Tanzanian President Kikwete

January 22, 2014


The ex-PM Faustin Twagiramungu is the current face of the extremist political views on the Rwandan political scene

Days after announcing a coalition with Rwandan FDLR rebels based in DR Congo, former prime minister Faustin Twagiramungu is a special guest of Tanzania's president Jakaya Kikwete, according to sources in Dodoma, Tanzania. Twagiramungu arrived in Tanzania on Sunday 19[SUP]th[/SUP] January and has been hosted at secret locations under the direct protection of President Kikwete's official detail, say the sources.

The former prime minister has been living in Belgium since 1995, and returned to contest in the 2003 Rwanda presidential polls in which he got 3.62 percent. After the humiliating defeat at the hands of incumbent President Paul Kagame, Twagiramungu immediately left the country and has never set foot in Rwanda.

Over the years, he has formed different political groups, from which he has become a fierce critic of the government of Rwanda. Twagiramungu's current political organization is RDI-RWANDA RWIZA. Most of its members have abandoned the group, choosing to return to Rwanda. On January 14[SUP]th[/SUP], Twagiramungu announced that he was going into coalition with Rwandan FDLR rebels who are accused of executing the genocide in Rwanda and fled to DR Congo back in 1994.

Twagiramungu's move followed that of another group PS Imberakuri days earlier, based inside Rwanda. Twagiramungu's presence in Tanzania is not surprising, said our sources in Tanzania. President Kikwete is the only world leader who has come out with a public endorsement of the FDLR. The group has been vilified world over for being unapologetic about the genocide against Tutsis in Rwanda.

On 26[SUP]th[/SUP] June 2013, President Kikwete made the unthinkable. During a closed-door African Union heads of state special summit on DRC in Ethiopia, President Kikwete called for talks between the government of Rwanda and the FDLR. The months that followed saw a near-complete breakdown of relations between Kigali and Dodoma, as Rwandan officials and ordinary population believed they had a serious large enemy on its eastern border. Rwanda foreign affairs minister Louise Mushikiwabo was so angry that she described President Kikwete in subsequent media interviews, as "spokesman" of FDLR. However, Tanzania's connections with the FDLR are not new.

Around mid-last year, FDLR deputy commander General Stanislas Nzeyimana (aka Izabayo Bigaruka) was announced to be in Tanzania. But weeks later, news surfaced that he had disappeared – prompting questions as to why he was in Tanzania in the first place. In Twagiramungu forming alliance with the FDLR, the rowdy politician said in a statement last week that he wants to force the government in Rwanda out by use of arms. Before January 2014, no Rwandan political organization or international group has ever given public backing to the FDLR.

Twagiramungu now falls within the FDLR agenda which does not agree with existing global agreement that Tutsis were targeted in Rwanda, in a clearly planned mass slaughter set in motion by the government at the time. The FDLR agenda is to return the extremist politicking in which Rwanda lived through for years before 1994.


http://www.kigalishining.com/ex-pm-twagiramungu-is-special-guest-of-tanzanian-president-kikwete/
 
Sio wanyarwanda, sema tuwaepuke WATUTSI (Hapa wanajiita waha, wahangaza, washubi nk) kama ukoma. Wapo wengi km mwal mmoja pale UD anaitwa Rubindamayugi (sijui bado yupo), wabunge km ntukamazina na serukamba... tuache kuwa naive, hawa watu waangaliwe kwa makini sana. Wengine wanajiita Senior Citizens kumbe wapasha habari wa kagame!
 
Mkuu,

Habari kama hizi ni vizuri ku-acknowledge chanzo (source) yake especially kama wewe si mwandishi wake.
 
hawa watusi wanataka nini?hivi nyie mnawajua watanzania?msione tumegawanyika hapa because of politic,mkimgusa kikwete tutashilia break kigali
 
mods hebu toeni huu upuuzi, threads za hv znahamasisha chuki na vurugu
Unajua Watanzania waliowengi akili zao ziko kama za wehu kabisa hasa wewe hapo,unapewa taarifa hamna unachokijua,una shawishi uzi utolewe una akili wewe,?kwanza uache watu waseme wanayoyajua wanaweza kusaidia hata ulinzi wa nchi wewe kwa kutokujua unaanza toeni,toeni,inakusaidia nini wewe,unaweza kuwa wewe ni mmoja wa wavamizi unapaswa uchunguzwe uraia wako.Nimeshuhudia mada nyingi zikitolewa hapa jf kwa madai ya uchochezi kitu ambacho si kweli,badala ya kujadili ili wahusika wajijuwe,na wanaweza kubadilika nyie mnaondoa kama ni maumivu yanazidi kuongezeka,siku yakija kulipuka mtakuja juta,endeleeni na hiyo tabia.
 
so what? Tanzania ni nchi huru inayofanya maamuzi yake bila kuingiliwa. Si kila adui wa Rwanda automatically ni adui wa Tanzania. Hakuna tatizo lolote kwa Twagiramungu kuongea na JK. Mbona 'maadui' wengi tu wa Rwanda ni wageni wa SA? cc: MGOSI132
 
Kwenye hili siasa pembeni,nipo tayari kuifia nchi yangu pendwa tanzania.


"onyo paul kagame ni mtusi mmbaya sana! ,
ukifuatilia historia ya watusi utagundua agenda yao ya "hima empire" iliyokuwepo hapo zama.

Tatizo kubwa walilonalo hawa watusi hawajui kusamehe au kuzidiwa kwa na lolote na wakati wowote.

"tahadhari"
hawa watusi wa kinyarwanda ni wazuri kwa ujumla,hivyo hutuma mabinti kuja kusoma vyuo mbalimbali tanzania na africa mashriki nzima, lengo lao kuu ni kuwatega kwa mbinu zozote watoto wa wakubwa wa nchi ili kuolewa nao au kuzaa nao tu.
Na haya yote hufanywa chini y a makubaliano na serikali ya kagame.
Unaweza kujiuliza anawezaje kuua marafiki zake wa karibu?
Hii ni kutokana na viapo na mikakati waliyijipangia ili kabila dogo (tutsi) waweze kutawala wahutu na africa mashariki yote.

Niwaase watanzania tuwaepuke wanyarwanda kama ukoma.

'siyo chuki ila huo ndio ukweli wenyewe'.

Wewe muhutu wa ngara angalia siasa zako za chuki na majungu dhidi ya watutsi ukaziingiza Chadema,Kuna maelfu ya watutsi watanzania huko kwenu Angara..unatakiwa kuripotiwa na kufukuzwa chadema maana Utaua chama wewe
 
Mkuu,

Habari kama hizi ni vizuri ku-acknowledge chanzo (source) yake especially kama wewe si mwandishi wake.

hawa watutsi huwa wanajifanya kusahau kuweka source. Hii ni kwa sababu source huwa ni magazeti ya chama chao cha RPF, hivyo ukitembelea kwenye source utaona na habari nyingine za kipropaganda-propaganda na hivyo itaathiri hata mtazamo wako juu ya habari waliyotuletea.
Habari hii inapatikana hapa: Ex-PM Twagiramungu is special guest of Tanzanian President Kikwete News Of Rwanda – Rwanda News
 
hawa watutsi huwa wanajifanya kusahau kuweka source. Hii ni kwa sababu source huwa ni magazeti ya chama chao cha RPF, hivyo ukitembelea kwenye source utaona na habari nyingine za kipropaganda-propaganda na hivyo itaathiri hata mtazamo wako juu ya habari waliyotuletea.
Habari hii inapatikana hapa: Ex-PM Twagiramungu is special guest of Tanzanian President Kikwete News Of Rwanda – Rwanda News

Shukrani mkuu,
Sasa kila kitu kiko wazi, kumbe ni propaganda zao as usual....
 
Nawashangaa watanzania mbona povu linawatoka wakati ingetakiwa wanyarwanda kuchukia kitendo cha jk kumkaribisha FDLR tz,sasa ingekuaje kama pk angemualika adui yenu watanzania?
 
Nawashangaa watanzania mbona povu linawatoka wakati ingetakiwa wanyarwanda kuchukia kitendo cha jk kumkaribisha FDLR tz,sasa ingekuaje kama pk angemualika adui yenu watanzania?

Tutajie adui mmoja tu wa Tanzania... ukiiacha malawi, ambayo ni sawa na radio iliyoishiwa betri..
 
Tatizo ndani ya system kumejaa watusi... hata JK analifahamu hilo...
 
Let us continue to pray for our country and our president. Some prayer worries have been seeing what you are saying through visions.

I think intelligence of TZ should not under rate this.

We cover our country and our president by the Precious Blood of Jesus Christ. Rev 12:11

God bless TZ and its people.

Queen Esther
 
Back
Top Bottom