Vyombo vya ulinzi vya Tanzania jiandaeni na uvamizi wa majasusi wa Rwanda. Sababu ni hii hapa...

Vyombo vya ulinzi vya Tanzania jiandaeni na uvamizi wa majasusi wa Rwanda. Sababu ni hii hapa...

kama tulimsikiliza kagame na jeshi lake la RPA in 1994 alipokuwa anavamia na kuua watu Rwanda toka 1990, kwa nini tusimsikilize Twagiramungu asiye na bunduki hata moja, na anayeongea amani kwanza?

JMali kiongozi wangu kuna tofauti kubwa kati ya kumsikiliza na hosting a dangerous man like Twagiramungu. A man who has vowed to remove a democratically elected government (Rwanda) through violent means i.e. an armed invasion. Huyu ni mtu hatari sana kwa mustakabali wa amani ya maziwa makuu kwa ujumla. Yeyote anayejumuika na wauaji wa FDLR (hili halina ubishi) ni muuaji pia. Twagiramungu hana shukrani na hakubaliki nchini Rwanda. Aligombea na kuambulia asilimia 3 tu ya kura zote, akakimbia. Bosi wake Bizimungu akaleta siasa zake za ukabila, akafungwa kwa mujibu wa sheria.

Bizimungu was pardoned unconditionally by Pres Kagame in the spirit of nation building, forgiveness and reconciliation (ah baba Kagame, uendelee na moyo huo huo wa kusamehe). Bizimungu karudi nyumbani kwake Kigali anaishi vizuri tu. Sipendi kuona raisi wangu akimkirimu dhalimu mnafiki mbinafsi na mkabila kama Twagiramungu. Sasa hivi mtaelewa ni kwanini Rais Kagame alikasirishwa na maneno ya Rais wangu Kikwete kuhusu mazungumzo na FDLR. Huwezi ukakaa na wauaji wanaopanga na kuendeleza mashambulizi dhidi yako na wananchi wako mkaongea. Hakuna cha kuongea. Mbona refugees majority wamerudi Rwanda and are now prospering and basking in the sweet ambiance of non-tribal based success. Hao FDLR ni remnants wa ex-FAR and interahamwe with blood in their hands ndio maana hawawezi kurudi nyumbani ila kwa njia ya mtutu, wameumia RPA, RDF wako makini sana.
 
Mpenda amani hutakia na wenzake amani. Kama kweli kiongozi wetu anapokea wapinzania wa majirani, itakuwa si kitu chema na cha busara.
 
Mkuu inaonekana hujui serikali zinavyoendeshwa ...Tanzania imekuwa ina hosts watu Kama hawa miaka nenda rudi bila mwananchi wa kawaida kujua mtaani ,Museveni kakulia Hapa , kuna wakati kiongozi wa waasi Burundi alikuwa Hapa for several months akaja rais wa Burundi ikabidi jamaa wamtoe nchini hao wa rwanda pia ni kawaida sana ni vizuri kutoingiza bla bla bla na lawama kwenye vitu ambavyo usivyovijua especially ulinzi na usalama na uendeshaji wa serikali

Tanzania ina track record ya kuwahifadhi na kuwasaidia Hutu extremists and rebels. Hata wakati wa vita vya Burundi Tanzania ilitumika sana kama rear base for Hutu rebels. If my memory serves me well, I recall CNDD-FDD using parts of Kigoma as rear bases. Ndio maana Maj Buyoya alitaka kuanzisha vita kabisa. Vile vile kuna shutuma kuwa waasi na magaidi wa ki-Hutu wanapokea silaha kupitia bandari za Tanzania. Haya mambo tusiyaangalie juu juu tu. Siding with Hutu extremists is a bad move which could cost us big time.
 
Tanzania ina track record ya kuwahifadhi na kuwasaidia Hutu extremists and rebels. Hata wakati wa vita vya Burundi Tanzania ilitumika sana kama rear base for Hutu rebels. If my memory serves me well, I recall CNDD-FDD using parts of Kigoma as rear bases. Ndio maana Maj Buyoya alitaka kuanzisha vita kabisa. Vile vile kuna shutuma kuwa waasi na magaidi wa ki-Hutu wanapokea silaha kupitia bandari za Tanzania. Haya mambo tusiyaangalie juu juu tu. Siding with Hutu extremists is a bad move which could cost us big time.

Ni vizuri mambo ya ukabila yakamalizwa na nchi husika vinginevyo pindua pindua haiji kwisha.Na njia moja ya kumaliza ni ya kisiasa ya mazungumzo ambayo Kikwete kapendekeza.Kukataa njia hiyo ni kujiweka katika matatizo.Kagame akubali mazungumzo na waasi.Vinginevyo hawataisha.

Tanzania wote wahutu watusi wameishi na wote wamesaidiwa na Tanzania kwa namna moja au nyingine.Hata Kagame mwenyewe wahutu walitaka atiwe pingu apelekwe ufaranza Mahakamani Tanzania ikamsaidia kuepuka pingu.Tanzania haiko kuegemea kabila fulani iko kwa ajili ya Wanyarwanda wote.Kila kona watu wanajiuliza Rwanda baada ya Kagame itakuwaje lazima jibu lipatikane .Na laweza patikani mezani kwenye mazungumzo sasa kuliko kusubiri jibu lipatikane baadaye kwa wahutu na watusi kutwangana misituni.Kwa staili ya utawala wa Kagame kama hataweza kukaa na wapinzani sasa atakuwa hajaitendea haki Rwanda ya baadaye baada ya yeye kuondoka.Atakuwa anamwachia zigo la kutisha mrithi wake asiyejulikana wala kuonekana hata kwenye darubini ya kukisia.
 
JMali kiongozi wangu kuna tofauti kubwa kati ya kumsikiliza na hosting a dangerous man like Twagiramungu. A man who has vowed to remove a democratically elected government (Rwanda) through violent means i.e. an armed invasion. Huyu ni mtu hatari sana kwa mustakabali wa amani ya maziwa makuu kwa ujumla. Yeyote anayejumuika na wauaji wa FDLR (hili halina ubishi) ni muuaji pia. Twagiramungu hana shukrani na hakubaliki nchini Rwanda. Aligombea na kuambulia asilimia 3 tu ya kura zote, akakimbia. Bosi wake Bizimungu akaleta siasa zake za ukabila, akafungwa kwa mujibu wa sheria.

Bizimungu was pardoned unconditionally by Pres Kagame in the spirit of nation building, forgiveness and reconciliation (ah baba Kagame, uendelee na moyo huo huo wa kusamehe). Bizimungu karudi nyumbani kwake Kigali anaishi vizuri tu. Sipendi kuona raisi wangu akimkirimu dhalimu mnafiki mbinafsi na mkabila kama Twagiramungu. Sasa hivi mtaelewa ni kwanini Rais Kagame alikasirishwa na maneno ya Rais wangu Kikwete kuhusu mazungumzo na FDLR. Huwezi ukakaa na wauaji wanaopanga na kuendeleza mashambulizi dhidi yako na wananchi wako mkaongea. Hakuna cha kuongea. Mbona refugees majority wamerudi Rwanda and are now prospering and basking in the sweet ambiance of non-tribal based success. Hao FDLR ni remnants wa ex-FAR and interahamwe with blood in their hands ndio maana hawawezi kurudi nyumbani ila kwa njia ya mtutu, wameumia RPA, RDF wako makini sana.

Ninarudia tena, ule wakati wa kutuaminisha kuwa FDLR simply ni wauaji tu umeshapitwa na wakati, we know the truth. Kulikuwa na vita vya miaka minne kati ya waasi wa RPA (wakiongozwa na kagame/Rwigema) vs Taifa huru la Rwanda (jeshi la FAR). Sasa ukiondoa habari ya 'genocide', vile vita bado havikuisha! Kagame alipindua nchi na jeshi la FAR likahamia congo na kuji-reinvent kuwa FDLR (ikiwa both a political party +jeshi). Wananchi wa Rwanda hawakumchagua kagame, kagame imposed himself! Jeshi la kitutsi la RPF halire-present wanyarwanda wote, lina-represent watutsi tu ambao hawavuki 15%. Kwa majority ya wanyarwanda serikali ya RPF ni serikali ya kikoloni tu, serikali yao ni FDLR! Of course tatizo ni kuwa right now Kagame ameshikilia mpini (support of international (read america) community), so the Hutus are silent for now. lakini let me tell you, if a day should come jeshi la FDLR likaingia Rwanda, utashangaa jinsi majority watavyolisupport!

Kagame anaogopa FDLR kwa kuwa bado kwenye international community especially African countries zenye akili kama Tanzania, tunafahamu kuwa FDLR (formerly FAR) ndio kundi lenye uhalali wa kuongoza Rwanda. Kagame alikuwa puppet tu wa Marekani kwa ajili ya kuondoa influence ya France nchini congo (kumpindua Mobutu), ili ihamie marekani (installing L. kabila). So you can't simply wish FDLR away, ni serikali halali iliyopinduliwa na waasi wa RPA.

Ndio maana kwa upande mwingine wako members wa FDLR waliokuwa bribed na kagame na sasa wamerudi Rwanda kushirikiana na serikali. Hii inawezekana vipi kama FDLR walikuwa kundi la wauaji tu? si wangeshtakiwa? Ukweli ni kuwa FDLR is a very strong political force. Ndio maana hata RPF wanaotofautiana na kagame wanaunda alliance na FDLR, kwani wanajua kuwa propaganda zao walizokuwa wanapiga dhidi ya FDLR zilikuwa uongo mtupu. Inakuingia akilini mtu kama Nyamwasa au karegeya kujiunga na FDLR kirahisi rahisi tu kama definition ya FDLR ndio hiyo uliyonayo wewe? Inaingia akilini hao FDLR wenyewe kukubali kujiunga na ex-RPF members kama hao, ikiwa FDLR are simply "tutsi killers/genocidaires"? Hii inawezekana tu, pale ambapo FDLR ni tofauti na unavyodai wewe.
FDLR sasa inaungwa mkono hata na watutsi ex-RPF kama marehemu karegeya, nyamwasa, rudasingwa na wengineo hili ndilo tatizo kwa Kagame. Propaganda za kwamba FDLR ni hutu extremists sasa zinaanza kuonekana kuwa ni uongo, FDLR inaanza kuwa ya wote.

Kwa upande wetu Tanzania whether we are hosting or listening to anybody, it shouldn't matter to anybody else, especially Kagame. Uganda hosted Kagame did you say anything? we hosted L. Kabila did you say anything? all these went on to remove democratically elected governments didn't they? Tanzania ina haki ya kuamua uhalali wa kumu-host whoever we like. Kwa nini ilikuwa halali kwetu kumu-host muasi L.kabila? Tuliona kuwa kwa mawazo yetu his fight was legitimate.
Vivyo hivyo kama tumeamua kuwasikiliza FDLR (and i dont say we do) it is entirely our business, unless ni kinyume na international law. Lakini hili la ku-act as if Twagiramungu ni Osama bin Laden hatukubaliani nalo. Ubaya wake au uzuri wake tutaamua sisi, tutawapima FDLR kwa akili zetu.
 
Tanzania ina track record ya kuwahifadhi na kuwasaidia Hutu extremists and rebels. Hata wakati wa vita vya Burundi Tanzania ilitumika sana kama rear base for Hutu rebels. If my memory serves me well, I recall CNDD-FDD using parts of Kigoma as rear bases. Ndio maana Maj Buyoya alitaka kuanzisha vita kabisa. Vile vile kuna shutuma kuwa waasi na magaidi wa ki-Hutu wanapokea silaha kupitia bandari za Tanzania. Haya mambo tusiyaangalie juu juu tu. Siding with Hutu extremists is a bad move which could cost us big time.

Na usisahau pia track record yetu hii:

1. tulimuhifadhi mfalme wa kitutsi king kigeli kwa miaka miwili alipopinduliwa.
2. tulihifadhi kama wakimbizi na kuwapa uraia watutsi wengi tu baada ya ufalme kupinduliwa.
3. tuli-host mazungumzo ya amani Arusha na kumpa nafasi paul kagame na RPA (jeshi la watutsi) wakati ambapo walikuwa ni waasi na walikuwa wanashambulia nchi huru ya Rwanda kwa miaka minne, wakisababisha vifo na uharibifu mkubwa. Lakini bado tulimpa nafasi ya kuja mezani kama equal partner wa serikali ya kihutu. Sijui kwa nini sasa hivi tunalaumiwa kwa kushauri tu mazungumzo ya FDLR ambayo ndio ilikuwa serikali halali iliyopinduliwa wakati ule.
4. Mahakama ya mauaji ya Kimbari ipo Tanzania. Mahakama hii so far inahukumu wahutu tu. so if sisi tunapendelea wahutu sioni hii inawezekana vipi.
5. Quote: "Siding with Hutu extremists is a bad move which could cost us big time" answer: we sided with tutsi-extremists led by Kagame all this time, what did we get in return? threats of being hit! Maybe its time we side we the other side and see how that goes.
 
Ninarudia tena, ule wakati wa kutuaminisha kuwa FDLR simply ni wauaji tu umeshapitwa na wakati, we know the truth. Kulikuwa na vita vya miaka minne kati ya waasi wa RPA (wakiongozwa na kagame/Rwigema) vs Taifa huru la Rwanda (jeshi la FAR). Sasa ukiondoa habari ya 'genocide', vile vita bado havikuisha! Kagame alipindua nchi na jeshi la FAR likahamia congo na kuji-reinvent kuwa FDLR (ikiwa both a political party +jeshi). Wananchi wa Rwanda hawakumchagua kagame, kagame imposed himself! Jeshi la kitutsi la RPF halire-present wanyarwanda wote, lina-represent watutsi tu ambao hawavuki 15%. Kwa majority ya wanyarwanda serikali ya RPF ni serikali ya kikoloni tu, serikali yao ni FDLR! Of course tatizo ni kuwa right now Kagame ameshikilia mpini (support of international (read america) community), so the Hutus are silent for now. lakini let me tell you, if a day should come jeshi la FDLR likaingia Rwanda, utashangaa jinsi majority watavyolisupport!

Kagame anaogopa FDLR kwa kuwa bado kwenye international community especially African countries zenye akili kama Tanzania, tunafahamu kuwa FDLR (formerly FAR) ndio kundi lenye uhalali wa kuongoza Rwanda. Kagame alikuwa puppet tu wa Marekani kwa ajili ya kuondoa influence ya France nchini congo (kumpindua Mobutu), ili ihamie marekani (installing L. kabila). So you can't simply wish FDLR away, ni serikali halali iliyopinduliwa na waasi wa RPA.

Ndio maana kwa upande mwingine wako members wa FDLR waliokuwa bribed na kagame na sasa wamerudi Rwanda kushirikiana na serikali. Hii inawezekana vipi kama FDLR walikuwa kundi la wauaji tu? si wangeshtakiwa? Ukweli ni kuwa FDLR is a very strong political force. Ndio maana hata RPF wanaotofautiana na kagame wanaunda alliance na FDLR, kwani wanajua kuwa propaganda zao walizokuwa wanapiga dhidi ya FDLR zilikuwa uongo mtupu. Inakuingia akilini mtu kama Nyamwasa au karegeya kujiunga na FDLR kirahisi rahisi tu kama definition ya FDLR ndio hiyo uliyonayo wewe? Inaingia akilini hao FDLR wenyewe kukubali kujiunga na ex-RPF members kama hao, ikiwa FDLR are simply "tutsi killers/genocidaires"? Hii inawezekana tu, pale ambapo FDLR ni tofauti na unavyodai wewe.
FDLR sasa inaungwa mkono hata na watutsi ex-RPF kama marehemu karegeya, nyamwasa, rudasingwa na wengineo hili ndilo tatizo kwa Kagame. Propaganda za kwamba FDLR ni hutu extremists sasa zinaanza kuonekana kuwa ni uongo, FDLR inaanza kuwa ya wote.

Kwa upande wetu Tanzania whether we are hosting or listening to anybody, it shouldn't matter to anybody else, especially Kagame. Uganda hosted Kagame did you say anything? we hosted L. Kabila did you say anything? all these went on to remove democratically elected governments didn't they? Tanzania ina haki ya kuamua uhalali wa kumu-host whoever we like. Kwa nini ilikuwa halali kwetu kumu-host muasi L.kabila? Tuliona kuwa kwa mawazo yetu his fight was legitimate.
Vivyo hivyo kama tumeamua kuwasikiliza FDLR (and i dont say we do) it is entirely our business, unless ni kinyume na international law. Lakini hili la ku-act as if Twagiramungu ni Osama bin Laden hatukubaliani nalo. Ubaya wake au uzuri wake tutaamua sisi, tutawapima FDLR kwa akili zetu.

Mkuu FDLR inaundwa na ex-FAR na interahamwe ambao dunia nzima inajua na ina ushahidi usiopingika kuwa waliratibu, kuhamasisha na kuendeleza mauaji ya watu wasio na hatia zaidi ya milioni moja. Wengi wa waathirika wakiwa ni wa-Tutsi na pia wa-Hutu wenye mrengo wa kati (au waliochukizwa na kukataa siasa za chuki na ukabila).

Hivi unajua ni kiasi gani wasio wa-Hutu walikuwa persecuted under your so called legitimate government of Pres Habyarimana? Unaelewa mazingira yalivyokuwa kwa wakati huo? Unafikiri RPF, RPA ilianzishwa kwa kupenda madaraka?La hasha. RPF/A ilianzishwa ili wakimbizi waliofukuzwa Rwanda waweze kurudi nyumbani kama raia wa daraja la kwanza kama wenzao wa ki-Hutu. FAR/Interamwe ndio walianzisha kwa kupanga kwa makusudi kutungua ndege ya Rais Habyarimana (m-Hutu mwenzao) baada ya kuona power sharing agreement itawahusisha wa-Tutsi kwenye utawala. RPF/A hawakuwa na faida yoyote kumuua Rais Habyarimana ambaye baada ya kushindwa kwenye uwanja wa mapambano alikubali matokeo na kutaka kuunda serikali ya umoja wa ki-taifa. Ndege ya Rais Habyarimana ilitunguliwa na mzinga wa kifaransa (mmoja kati ya mizinga 20 iliyotolewa na Ufaransa kwa jeshi la FAR). Mzinga huo ulirushwa kutokea kambi ya jeshi ya FAR pembezoni mwa airport ya Kigali. Unaongea kana kwamba Rais Habyarimana aliingia madarakani kwa boxi la kura, si kweli. Anyway, RPF/A ilibidi wainusuru nchi ya Rwanda baada ya FAR na wanamgambo wa interahamwe kutekeleza azma yao ya kuwamaliza waTutsi na waHutu wastaarabu kwa chuki za kikabila. Tokea kuanzishwa kwake RPF/A imekuwa na lengo kutetea wanyarwanda wote walionyanyasika. Ndio maana leo hii ni kosa kisheria kuzungumzia ukabila.

Pili, si kweli kuwa FDLR wanaungwa mkono au wana sura ya kitaifa nchini Rwanda. RNC ya kina Nyamwasa, Rudasingwa na marehemu Karegeya ni kikundi cha wabinafsi wahaini wasio na shukrani. Hawa mabwana wana chuki binafsi na Rais Kagame na walijaribu kumuua na kumpindua ili wajiweke wao. Ushahidi upo. Unajua kuwa m-tutsi haina maana by default unamuunga mkono Rais Kagame na RPF/A, si vivyo. I keep telling people, the complexities of Rwandese politics are more mishmashed than this supposed Hutu vs Tutsi facade. RNC kuungana na FDLR is a smokescreen, pretty much a "my enemy is your enemy" kinda arrangement. But rest assured that these people deep inside hate each others' guts manake wote wana tuhuma za ukabila; FDLR u-Hutu mrengo mkali na RNC u-Tutsi mrengo mkali. Leo hii waseme wanaungana, kwi kwi kwi. This "union" is only fooling those unfamiliar with the situation in Rwanda. To me both FDLR and RNC are criminal entities unworthy of existence anywhere on this earth kwa kuwa wana malengo dhalimu ya kumwaga damu za watu wasio na hatia.
 
:"Siding with Hutu extremists is a bad move which could cost us big time"
answer:
we sided with tutsi-extremists led by Kagame all this time, what did we get in return? threats of being hit! Maybe its time we side we the other side and see how that goes.

Watusi wamewaangusha watu wengi waliowa-groom nchi mbalimbali ikiwemo Tanzania.Na kama kuna mtusi aliyeharibu image ya watusi kwa machoni pa mataifa mengi ni Kagame.

Nchi kama Tanzania,Kongo na uganda iliwalea ikawapa nafasi nyingi serikalini na kadhalika ili wajifunze uongozi kisha waende kwao wakatawale nchi yao vizuri.Walisomeshwa bure kwa kodi za watu wa nchi hizo wala sio za shirika la wakimbizi la umoja wa mataifa.

Toka Kagame Aingie madarakani ameharibu image ya watusi mbele ya wengi ikiwemo watanzania wengi.Kavurugana na kongo na Tanzania makazi yaliyolea watusi kwa miaka.Hivi agenda yake nini nini ya kuchafua image za watusi katika nchi walikokuwa wakikaa kwa amani miaka nenda rudi.Kwa nini anapenda korofisha Tanzania na Kongo? Anataka nini? Anataka likitokea la kutokea watusi wakose pa kukimbilia wafie wote ndani ya Rwanda au anataka nini?
 
JMali unatatizo kubwa sana kimtizamo,kumbuka hizo hosting unazo sema ilikua wakati wa Mwalimu nyerere,sio wakati wa huyu muhutu "kikwete luhanga" anaye endeleza chuki dhidi ya watusi,lakini ninacho kueleza kikwete atailetea tz kiama,mwache aendelee kupanga mambo mabaya dhidi ya watusi na pk time will tell.
 
Watusi wamewaangusha watu wengi waliowa-groom nchi mbalimbali ikiwemo Tanzania.Na kama kuna mtusi aliyeharibu image ya watusi kwa machoni pa mataifa mengi ni Kagame.

Nchi kama Tanzania,Kongo na uganda iliwalea ikawapa nafasi nyingi serikalini na kadhalika ili wajifunze uongozi kisha waende kwao wakatawale nchi yao vizuri.Walisomeshwa bure kwa kodi za watu wa nchi hizo wala sio za shirika la wakimbizi la umoja wa mataifa.

Toka Kagame Aingie madarakani ameharibu image ya watusi mbele ya wengi ikiwemo watanzania wengi.Kavurugana na kongo na Tanzania makazi yaliyolea watusi kwa miaka.Hivi agenda yake nini nini ya kuchafua image za watusi katika nchi walikokuwa wakikaa kwa amani miaka nenda rudi.Kwa nini anapenda korofisha Tanzania na Kongo? Anataka nini? Anataka likitokea la kutokea watusi wakose pa kukimbilia wafie wote ndani ya Rwanda au anataka nini?

Niambie alichafua image ya watusi Tanzania kivipi? au unafikiri kikwete ataongea pumba kagame anyamaze? sorry pk harembeshi hata sikumoja yeye anaamini na kuogopa mtu mmoja tu MUNGU aliye mbinguni wengine atawambia ukweli wakitaka wameze au wateme,cha maana message imewafikia wahusika.
 
We jamaa sijui akili zako kuna wakati zinaruka au vp, huyo unayembeza amefanya kazi kubwa sana kuhakikisha migogoro wenu inaisha japo inaonekana wazi kua nyinyi hamtaki iishe. Siku za karibuni tuliona kundi kubwa la watu maeneo ya Goma wakishangilia kwa tetesi tu za kifo cha kagame. Sauti ya watu ni sauti ya Mungu kama hilo tukio halikumshtua hata kidogo ipo siku akifa ukanda mzima wa Afrika Mashariki na kati watu watasherekea wakisikia amekufa. Dunia hii walikuwepo viongozi wababe tena wenye nguvu kama majabali lakini walikufa vifo vya kidhalili, muache aendelee na mauaji yake laknii mda ukifika nae yatamkuta.

Kufa! Afe mara ngapi? Tufe mara ngapi? Kama ni kufa tulishakufa zamani sana...hatuogopi kifo. Tunachoogopa zaidi ni watoto wetu watarithi Rwanda ipi....rwanda kama failed state kama zilivyo nchi nyingi za kiafrika au tunataka rwanda ambayo itakuwa mfano hai wa nchi yenye maendeleo
 
Kufa! Afe mara ngapi? Tufe mara ngapi? Kama ni kufa tulishakufa zamani sana...hatuogopi kifo. Tunachoogopa zaidi ni watoto wetu watarithi Rwanda ipi....rwanda kama failed state kama zilivyo nchi nyingi za kiafrika au tunataka rwanda ambayo itakuwa mfano hai wa nchi yenye maendeleo

Man sometimes you are talking out of emotions, fear, pride and hatred. These can not real result into common sense. Can you really call Rwanda a succesful state? Kutokana na haya unayoona watu wanazungumzia Rwanda, na kutokana na mafisi walio nje ya Rwanda unadhani kweli Rwanda unayotaja ni ile iliyopo?
 
JMali unatatizo kubwa sana kimtizamo,kumbuka hizo hosting unazo sema ilikua wakati wa Mwalimu nyerere,sio wakati wa huyu muhutu "kikwete luhanga" anaye endeleza chuki dhidi ya watusi,lakini ninacho kueleza kikwete atailetea tz kiama,mwache aendelee kupanga mambo mabaya dhidi ya watusi na pk time will tell.

maneno mbofu mbofu kama yako ndio chanzo cha watu kuwachukia nyinyi watutsi. Hebu tazama unamvyomuita rais wetu mhutu kana kwamba uhutu ni tusi fulani hivi.
 
Mkuu FDLR inaundwa na ex-FAR na interahamwe ambao dunia nzima inajua na ina ushahidi usiopingika kuwa waliratibu, kuhamasisha na kuendeleza mauaji ya watu wasio na hatia zaidi ya milioni moja. Wengi wa waathirika wakiwa ni wa-Tutsi na pia wa-Hutu wenye mrengo wa kati (au waliochukizwa na kukataa siasa za chuki na ukabila).

Hivi unajua ni kiasi gani wasio wa-Hutu walikuwa persecuted under your so called legitimate government of Pres Habyarimana? Unaelewa mazingira yalivyokuwa kwa wakati huo? Unafikiri RPF, RPA ilianzishwa kwa kupenda madaraka?La hasha. RPF/A ilianzishwa ili wakimbizi waliofukuzwa Rwanda waweze kurudi nyumbani kama raia wa daraja la kwanza kama wenzao wa ki-Hutu. FAR/Interamwe ndio walianzisha kwa kupanga kwa makusudi kutungua ndege ya Rais Habyarimana (m-Hutu mwenzao) baada ya kuona power sharing agreement itawahusisha wa-Tutsi kwenye utawala. RPF/A hawakuwa na faida yoyote kumuua Rais Habyarimana ambaye baada ya kushindwa kwenye uwanja wa mapambano alikubali matokeo na kutaka kuunda serikali ya umoja wa ki-taifa. Ndege ya Rais Habyarimana ilitunguliwa na mzinga wa kifaransa (mmoja kati ya mizinga 20 iliyotolewa na Ufaransa kwa jeshi la FAR). Mzinga huo ulirushwa kutokea kambi ya jeshi ya FAR pembezoni mwa airport ya Kigali. Unaongea kana kwamba Rais Habyarimana aliingia madarakani kwa boxi la kura, si kweli. Anyway, RPF/A ilibidi wainusuru nchi ya Rwanda baada ya FAR na wanamgambo wa interahamwe kutekeleza azma yao ya kuwamaliza waTutsi na waHutu wastaarabu kwa chuki za kikabila. Tokea kuanzishwa kwake RPF/A imekuwa na lengo kutetea wanyarwanda wote walionyanyasika. Ndio maana leo hii ni kosa kisheria kuzungumzia ukabila.

Pili, si kweli kuwa FDLR wanaungwa mkono au wana sura ya kitaifa nchini Rwanda. RNC ya kina Nyamwasa, Rudasingwa na marehemu Karegeya ni kikundi cha wabinafsi wahaini wasio na shukrani. Hawa mabwana wana chuki binafsi na Rais Kagame na walijaribu kumuua na kumpindua ili wajiweke wao. Ushahidi upo. Unajua kuwa m-tutsi haina maana by default unamuunga mkono Rais Kagame na RPF/A, si vivyo. I keep telling people, the complexities of Rwandese politics are more mishmashed than this supposed Hutu vs Tutsi facade. RNC kuungana na FDLR is a smokescreen, pretty much a "my enemy is your enemy" kinda arrangement. But rest assured that these people deep inside hate each others' guts manake wote wana tuhuma za ukabila; FDLR u-Hutu mrengo mkali na RNC u-Tutsi mrengo mkali. Leo hii waseme wanaungana, kwi kwi kwi. This "union" is only fooling those unfamiliar with the situation in Rwanda. To me both FDLR and RNC are criminal entities unworthy of existence anywhere on this earth kwa kuwa wana malengo dhalimu ya kumwaga damu za watu wasio na hatia.

1. Unakubali kuwa hao ex-far/fdlr walikuwa wanajeshi wa nchi huru yenye serikali inayotambulika kimataifa?
2. Quote: "FDLR u-Hutu mrengo mkali na RNC u-Tutsi mrengo mkali". Huu mrengo mkali wa RNC walianza lini? toka walipokuwa na Kagame Uganda au baada ya kutofautiana na kagame ndio watu wanageuka mrengo mkali? Pili. wale FDLR waliorudi na ku-join RPF government wao sio genocidaires vile vile?
 
maneno mbofu mbofu kama yako ndio chanzo cha watu kuwachukia nyinyi watutsi. Hebu tazama unamvyomuita rais wetu mhutu kana kwamba uhutu ni tusi fulani hivi.

Maneno mbofu? hivi tukiangalia humu jf 80% ni matusi dhidi ya pk,mbona hamchukiwi? sorry huyo kikwete luhanga samweli" kweli kumita muhutu nimekosea kwanio si wahutu wote wanaowachukia watusi basi nitamuita mwenye msimamo mkali dhidi ya watusi.
 
Hili ni dua la kuku haliwezi mpata mwewe hata siku moja.

Same to you,mbona mnahangaishwa naya rwanda wakati yenu yanayo hitaji kurekebishwa ni mengi? yani watanzania mmekua deviated katika shida zenu mmekalia ya rwanda utafikiri rwanda ni mkoa wa tanzania,hebu acheni wanyarwanda wapumue,he! yani nikiangalia mawazo yenu humu hayana figures wala facts,mara wahutu wanakufa,wananyanyaswa,hawapendi pk,hebu fika rwanda ujionee acha kusoma news online za hao wapinzani wa pk,kama ni kufa mbona tz wasomi wanakufa kila kukicha,unafikiri nikifo cha kawaida? kuna watu wengi wanakufa kwa mkono wa serikali ya jk lakini hamuyaoni mnatumblia macho pk,pk ni wawanyarwanda sio wawatanzania,acheni mzee wawatu apumue.
 
MUKAMASIMBA,

..wewe una chuki na Wahutu. WHY?

..Unafahamu fika kabila la Kikwete lakini umeamua kumpachika Uhutu.

..Kwanini unatumia neno "Mhutu" kama tusi?

..Nakuhakikishia mkiachana na hizi CHUKI mtaishi maisha yenye furaha na amani zaidi.
 
Last edited by a moderator:
JMali unatatizo kubwa sana kimtizamo,kumbuka hizo hosting unazo sema ilikua wakati wa Mwalimu nyerere,sio wakati wa huyu muhutu "kikwete luhanga" anaye endeleza chuki dhidi ya watusi,lakini ninacho kueleza kikwete atailetea tz kiama,mwache aendelee kupanga mambo mabaya dhidi ya watusi na pk time will tell.
Acha vitisho wewe,upo humu kumwakilisha PK kuitisha Tz,embu jaribuni muone,uyo PK kaanzisha taasisi ambayo inawataka wahutu wote ndani hata nje ya Rwanda kuwaomba msamaha tutsi kwa kuwaua,inamaana watutsi hawakuua?,je ni kila muhutu aliua?,hawa tutsi ni bora kuliko wenzao hutu..
 
Same to you,mbona mnahangaishwa naya rwanda wakati yenu yanayo hitaji kurekebishwa ni mengi? yani watanzania mmekua deviated katika shida zenu mmekalia ya rwanda utafikiri rwanda ni mkoa wa tanzania,hebu acheni wanyarwanda wapumue,he! yani nikiangalia mawazo yenu humu hayana figures wala facts,mara wahutu wanakufa,wananyanyaswa,hawapendi pk,hebu fika rwanda ujionee acha kusoma news online za hao wapinzani wa pk,kama ni kufa mbona tz wasomi wanakufa kila kukicha,unafikiri nikifo cha kawaida? kuna watu wengi wanakufa kwa mkono wa serikali ya jk lakini hamuyaoni mnatumblia macho pk,pk ni wawanyarwanda sio wawatanzania,acheni mzee wawatu apumue.
Is a matter of tim mbona ni kama mkoa wa Tz..
 
Back
Top Bottom