Vyombo vya ulinzi vya Tanzania jiandaeni na uvamizi wa majasusi wa Rwanda. Sababu ni hii hapa...

Vyombo vya ulinzi vya Tanzania jiandaeni na uvamizi wa majasusi wa Rwanda. Sababu ni hii hapa...

[h=2]Rwanda and US vow to strengthen bilateral cooperation[/h]


Kigali, 23 January, 2014 – Government Officials; Minister of Defence, Gen. James Kabarebe , Minister of Trade and Industry, Francois Kanimba and Permanent Secretary in the Ministry of Foreign Affairs and Cooperation , Mary Baine received a delegation of US Senators and Congressmen lead by Senator James Inhofe. The purpose of ther visit was to strengthen bilateral cooperation between Rwanda and the United States of America. Welcoming the delegation, the Permanent Secretary, Mary Baine reiterated the partnership between Rwanda and USA and recommended its sustainability. “Rwanda values the cooperation and the support of USA. We hope we will continue cooperating” Said Baine

During the meeting, the Minister of Defense briefed the US delegation on peace and security in the Great Lakes Region and in Central African Republic.

Addressing the delegation, Minister of Defense, Gen. James Kabarebe also highlighted Rwanda’s position in peacekeeping around the continent especially in Central African Republic, Sudan and South Sudan.

“Rwanda’s contribution is not only to peacekeeping but also to the reconciliation and long term stability in these countries. We thank US and urge them to continue the support to the African Union to tackle issues on the continent. ” Said Gen. Kabarebe

He further briefed the delegation on the situation in Eastern DRC saying that the defeat of M23 did not bring stability in the region since there are still other armed groups including FDRL killing people as well as Congolese refugees who are not yet repatriated.

“The situation in Eastern DRC has improved but still fragile. Silencing guns is one thing but stability is another thing. Rwanda values peace in the region because it is an important pillar to our socio-economic development” Said Gen. Kabarebe

Regarding investment and bilateral trade, the Minister of Trade and Industry, Francois Kanimba reiterated some positive trends of exports between Rwanda and US.

For the mining sector, Minister Kanimba called the US congress to help engaging US companies, given that Rwanda was the first country in the region to meet the traceability requirements.

The delegation was also updated on Rwanda’s efforts to promote local small and medium enterprises as key factor of the country’s economic growth and creation of jobs.

On behalf of the US delegation, Senator James Inhofe appreciated the progress Rwanda has made over the 20 years under the leadership of President Paul Kagame. “President Kagame has shown a model of leadership in sub-Saharan African countries. We have been and we will continue to be his [Paul Kagame] good friends”. Said senator Inhofe

By the end of the meeting, the US delegation pledged advocacy on continued and fruitful cooperation.
On the agenda of this four days visit in Rwanda, the delegation will meet organisers of the prayer’s breakfast and visit the mountain gorillas.
========
Rwanda and US vow to strengthen bilateral cooperation

<- Back to: Home
 
Acha vitisho wewe,upo humu kumwakilisha PK kuitisha Tz,embu jaribuni muone,uyo PK kaanzisha taasisi ambayo inawataka wahutu wote ndani hata nje ya Rwanda kuwaomba msamaha tutsi kwa kuwaua,inamaana watutsi hawakuua?,je ni kila muhutu aliua?,hawa tutsi ni bora kuliko wenzao hutu..

Hapo sio muhutu kuomba msamaha mtusi bali kila mtu kwa upande wake bila kujali ni mtusi au muhutu anaomba msamaha kwa aliye mkosea,hili ndio tatizo la watu kama nyie mnatafuta information upande mmmoja,nenda rwanda uangalie hiyo program inasemaje na inawekwa in action kivipi?kwani hujasikia mtusi akiomba msamaha wahutu adharani?
 
MUKAMASIMBA,

..wewe una chuki na Wahutu. WHY?

..Unafahamu fika kabila la Kikwete lakini umeamua kumpachika Uhutu.

..Kwanini unatumia neno "Mhutu" kama tusi?

..Nakuhakikishia mkiachana na hizi CHUKI mtaishi maisha yenye furaha na amani zaidi.

Mbona hukunielewa nimemwita muhutu kwako wewe umeona ni tusi sio mimi,basi ni mwite msukuma nalo ni tusi?,au mtusi nalo nitusi? Mbona mnaniita mtusi wala halinikasirishi? kwanini mtu akiitwa muhutu anakasirika? nikwa sababu mnajua walichofanya.
 
Hapo sio muhutu kuomba msamaha mtusi bali kila mtu kwa upande wake bila kujali ni mtusi au muhutu anaomba msamaha kwa aliye mkosea,hili ndio tatizo la watu kama nyie mnatafuta information upande mmmoja,nenda rwanda uangalie hiyo program inasemaje na inawekwa in action kivipi?kwani hujasikia mtusi akiomba msamaha wahutu adharani?
Acha siasa kwa macho yangu na masikio yangu nimeshuhudia na pia viongozi mbalimbali wameelezea iyo taasisi sio watutsi kuwaomba radhi wahutu bali ni wahutu ndio wanaotakiwa kuomba radhi kwa tuhuma wao ndio walipanga na hatimae kuwaua tutsi,usitake kupotesha hata nilichosikia kutoka kwenye hiyo taasis tena imepingwa vikali na wanyarwanda walio nje ya Rwanda,fatilia makala za BBC
 
Mbona hukunielewa nimemwita muhutu kwako wewe umeona ni tusi sio mimi,basi ni mwite msukuma nalo ni tusi?,au mtusi nalo nitusi? Mbona mnaniita mtusi wala halinikasirishi? kwanini mtu akiitwa muhutu anakasirika? nikwa sababu mnajua walichofanya.

MUKAMASIMBA,

..kwanza mlianza na Mama Salma Kikwete mkadai ni Mhutu, sasa mmehamia kwa Kikwete naye mmempachika Uhutu.

..It is the "tone" u used and the way u called him Mhutu ndiyo iliyonifanya mimi nione kama jina Mhutu kwako wewe ni tusi.

..Huu umwagaji damu baina ya Watutsi na Wahutu utaisha lini? Hili ni swali ambalo majirani zenu ambao tunawatakia mema tunapenda kujua.
 
Last edited by a moderator:
Hahh!nilijua tu uta come up( when some thing is mentioned on Rwanda u have to come up with Hutu-Tutsi argument) nimechukua mda kuvisit politics and International threads am much interested na business threads:
Just for your information hao maadui wa Rwanda unaowasema wako South Africa kama wakimbizi waliomba ukimbizi South Africa, nawa kakubaliwa):

Sijaona any complain from the government of Rwanda,even the vice president of FDRL was in Tanzania, i hope you know the story and what followed:
I don`t see it a threat at all, but i saw it interesting and so it is to many , angalia number yawaliosoma hii thread:
Otherwise nadhani inahitajika Rwandaforum ambako utakutana na ndugu zako it is always a shame to hide your identity:

cc.jMali
 
Hahh!nilijua tu uta come up( when some thing is mentioned on Rwanda u have to come up with Hutu-Tutsi argument) nimechukua mda kuvisit politics and International threads am much interested na business threads:
Just for your information hao maadui wa Rwanda unaowasema wako South Africa kama wakimbizi waliomba ukimbizi South Africa, nawa kakubaliwa):

Sijaona any complain from the government of Rwanda,even the vice president of FDRL was in Tanzania, i hope you know the story and what followed:
I don`t see it a threat at all, but i saw it interesting and so it is to many , angalia number yawaliosoma hii thread:
Otherwise nadhani inahitajika Rwandaforum ambako utakutana na ndugu zako it is always a shame to hide your identity:

cc.jMali

Sasa inakuaje wewe unaejiita mtanzania unajadili masuala ya rwanda? nilifikiri jf niya kimataifa,labda wewe hujui hilo,nafikiri huko nikunyima watu uhuru wa kusema na kunihamisha jf umeonyesha jinsi usivyo penda ukweli kwani ukweli unauma
 
kagame your days are numbered to soon that throne will no longer be yours.
kanchi kenyewe kadogo unataka kushindana na baba yao!
just take a look,chukua population ya wanyaruanda wote,ni sawa na battalion mbili tu za Tz.
jaribu uone cha moto.

Ahhahahaa hata hujui bataliani inajengwa na watu wa ngapi,kingine vita si wingi wa watu bali ni mbinu,vifaa na determination na kwa hayo wanyarwanda wanaweza,kama mnawashwa na vita thubutu uone mziki wake kwani wewe tokea uzaliwe hujawahi kua mkimbizi mlikula ugali wa yanga na uwele wakati vita ilipiganwa uganda na mchovu iddiamin sasa mnataka kujipima na rwanda,hee nakwambi hata huo uwele utaukosa,wewe tulia ujilie kitimoto mambo ya vita huyajui wala huyawezi.
 
Adui wa TZ ni kagame na watu wote wenye tabia kama zake!

Wanyarwanda wapo wengi sana Tz hususani jijini Dsm hata wale waliokumbwa na Oparesheni kimbunga wote tayari wamerejea Kama zamani hivyo ni vigumu sana kuwadhibiti Wanyarwanda Kama ilivyo Vigumu Serikari kuhamia Dodoma
 
Ahhahahaa hata hujui bataliani inajengwa na watu wa ngapi,kingine vita si wingi wa watu bali ni mbinu,vifaa na determination na kwa hayo wanyarwanda wanaweza,kama mnawashwa na vita thubutu uone mziki wake kwani wewe tokea uzaliwe hujawahi kua mkimbizi mlikula ugali wa yanga na uwele wakati vita ilipiganwa uganda na mchovu iddiamin sasa mnataka kujipima na rwanda,hee nakwambi hata huo uwele utaukosa,wewe tulia ujilie kitimoto mambo ya vita huyajui wala huyawezi.

Acha Uongo idd Amin hakuwa Mchovu tambua Amini alikuwa na Lengo la kutawala Eneo kubwa la Africa hivyo alijipanga sana kwa siraha na majeshi .tambua Kuwa Rwanda japo wamejipanga kwa Vita mda wote lakini JWTZ wapo imara sana wakiamua kuichakaza Rwanda hao wanajeshi wa Rwanda watavua magwanda na kuzamia Congo burundi na Uganda usifikiri JWTZ wapo Kama unavyowaza
 
Hapa wanyarwanda nawaona wanajitahidi kumtetea Kagame wamesahau Kuwa Operation Kimbunga inakuja tena kwa Mara ingine na Safari hii itaendeshwa kisayansi sana tena jijini Dsm ndipo patalengwa sana Kila Mtanzania atakayeweza kumtaja Mnyarwanda anayeishi kinyume cha sheria atalipwa motisha sasa kaeni mkao wa kuludi Kwenu moja kwa moja si Kama ilivyokuwa ile Operation iliyopita
 
Nakubaliana na wazo lako,lakini kwanini kwa upande mwingine usiwe ukweli? kwani watu wameanza kuropoka matusi dhidi ya watusi wakati hawaja ujua ukweli,inaonekana watanzania mnawaogopa watusi sana,nakumuogopa mtu maranyingi unakua unayajua maovu uliyo mtendea,ndio maana kila wakati unakua unahisi vita tokea rwanda.
Watanzania, wale 100% natural tuwaogope Watutsi kwa lipi hasa?! Binafsi wala hawanisumbui. Lakini labda tu nikuambie kwamba binafsi nakerwa sana tena sana na hizi reference zenu za Watutsi na Wahutu. Binafsi nimetoa michango mingi sana humu jamvini kuhusu siasa za Rwanda, TZ na DRC. Ukiona nimetaja makabila basi ujue nililazimika kufanya hivyo na hapakuwa na muda otherwise niwe nimeghafirika. Kwa mfano, kuna wakati nililazimika kutaja Watutsi mara kadhaa kwavile nilikuwa naisimulia historia yao from back 17 centuries hadi wanaingia Rwanda na kuwakuta wenyeji Wahutu mpaka kufikia kipindi cha ukoloni kuingia Afrika! Katika mazingira kama hayo, utagundua sikuwa na jinsi zaidi ya kutaja Watutsi, watutsi, watutsi! Kwa mtu anayeifahamu historia ya Rwanda, anafahamu wazi kwamba Rwanda hakuna wa kumnyooshea kidole mwenzake hususani linapokuja suala la racial/tribunal discrimination. Watutsi wamewa-harass Wahutu na Wahutu wamewa-harass Watutsi kila kabila moja wapo linapopata nafasi hiyo.

Labda nikupe msimamo wangu linapokuja suala la Rwanda....sina tatizo na Wanywarwanda kama Wanywarwanda bila kujali makabila yao; tatizo langu mimi ni Kagame Regime. Huyu sipendi kumuona akiwa madarakani japo kwa dakika moja ya ziada. Kwangu Kagame ni Man of War, along with Museven....kwa mtazamo wangu hawa wote ni watu wasiopaswa kabisa kuwamo madarakani angalau kwa cku moja ya ziada.

Ni ukweli usiopingika kwamba Tanzania kuna Wanywarwanda wengi wanaoshika nafasi serikalini lakini wala siamini kwamba hilo linatokana na ujasusi wa "Watutsi" wa kutaka kujichomeka hapa na pale ili kufikia malengo yao! Hili limetokea kutokana na historia ya Rwanda. Wakoloni waliwapendelea sana Watutsi wakati wa utawala wao, Watutsi wakaitumia nafasi hiyo kuwakandamiza Wahutu. Wakoloni walipojiona wanataka kuondoka Rwanda, wakaacha madaraka mikononi mwa Wahutu...Wahutu wakaamua kulipiza kisasi na kuanza kuwakandamiza Watutsi. Usalama wa Watutsi wengi ukawa mashakani na hivyo kuwalazimisha kuikimbia Rwanda na wengi kuja Tanzania. Walipokuwa Tanzania, hawakubaguliwa kutokana na status yao ya ukimbizi....wengi walienda shule na kupata ajira sehemu mbalimbali ikiwamo serikalini. Hiki ndiyo ninayoamini ni sababu ya Wanyarwanda kuwamo kwenye taasisi zetu. Tanzania iliamua kuwa waungwana kwa kuwaona kwamba ni ndugu zetu. Humu ndani kuna watu sehemu hii na ile, inawezekana wapo wenye ushahidi kwamba kuna baadhi ya Wanyarwanda, hususani Watutsi ambao wana-betray ukarimu wetu! Na watu wanapowasema sio kwamba Watanzani wanawaogopa Watutsi; hatuna cha kuwahofia! Inawezekana vipi watu 46 million wawaogope 2 million?

Lakini kwa upande mwingine, mtu aliye makini anaweza kubaini kwamba humu jamvini kuna siasa za chuki kati ya Wahutu na Watutsi. Si kila anayemshambulia Kagame na Watusti humu ndani ni Mtanzania, nimegundua wengine ni Wahutu wanaojivika Utanzania. Na kutokana na siasa za Kagame zinazowakera wengi, Kagame amejikuta akiwa si kipenzi cha Watanzania( kuna juha mmoja akadai eti tunaionea wivu Rwanda, cjui wivu kwa lipi!!). Kwahiyo anapokuja Mhutu katika sura ya Mtanzania na kuanza kumshambulia Kagame na Watutsi; some fellow Tanzanians huwa wanajikuta wakiunga mkono bila kufahamu kwamba wana-support siasa zilezile za chuki za Watutsi na Wahutu! Am afraid hata wewe, bado una ka-element kale kale! Nitakaa kusubiri comment zenu siku Rwanda itakapokuja kuongozwa na Muhutu...nasema hayo kwa sababu nina mashaka ikiwa hata nyinyi mnachokifanya ni kuitetea Rwanda inayoongozwa na Mnyarwanda au mnaitetea Rwanda inayoongozwa na Mtutsi! Ikiwa mnaitetea Rwanda inayoongozwa na Mnyarwanda, well done; bravo and keep it up! Naichukia Kagame Regime but you have all rights to defend it IF and ONLY IF mnasukumwa na Unyarwanda wenu, otherwise am very sorry for y'all!
 
Kwa taarifa yenu nyie ndio mko usingizini,juzi wakati wa chokochoko za rwanda na tanzania ilikua wakati CHADEMA ilikua imewasha moto dhidi ya ccm ikabidi jamaa walianzishe na kigali,sasa wanarudia tena kuna jambo tu,tusubiri.

Pumbaaaaaaaaaaaaaaaa, dogo kua basi siasa kila mahali?
 
Ahhahahaa hata hujui bataliani inajengwa na watu wa ngapi,kingine vita si wingi wa watu bali ni mbinu,vifaa na determination na kwa hayo wanyarwanda wanaweza,kama mnawashwa na vita thubutu uone mziki wake kwani wewe tokea uzaliwe hujawahi kua mkimbizi mlikula ugali wa yanga na uwele wakati vita ilipiganwa uganda na mchovu iddiamin sasa mnataka kujipima na rwanda,hee nakwambi hata huo uwele utaukosa,wewe tulia ujilie kitimoto mambo ya vita huyajui wala huyawezi.
Aisee, unajipa matumaini ya ajabu sana! Kwanza unafahamu sababu nyingine iliyoifanya Tanzania imchape Amin kirahisi? Kwanza si kweli hata kidogo kwamba Amin alikuwa mchovu! Amin alikuwa na jeshi imara na vifaa vya kijeshi vilivyoenda shule! Tatizo kubwa lililomfanya ashindwe kirahisi ni kwa sababu Uganda yenyewe ilikuwa imegawanyika! Kilichokuwepo Uganda wakati ule wala hakina tofauti na kilichopo Rwanda kwa sasa! Kulikuwa na Waganda wengi wafuasi wa Obotte nchini Tanzania....hawa walikuwa ni maadui wa Amin kama ambavyo FDLR walivyo nchini DRC ambao ni maadui wa Kagame Regime! INgawaje jeshi la Uganda lilionekana ni moja lakini halikuwa moja...lilikuwa ni jeshi lenye nidhamu ya uoga na wala si kwamba walikuwa wamoja! Umoja uliopo Rwanda ni umoja wa uoga na wala sio wa utashi...wanafahamu wazi kwamba wakileta chokochoko zao, watakiona cha moto! Kutokana na hilo, hata jeshi la Rwanda litaendelea kuonekana kuwa moja pale tu Rwanda itakapokuwa moja lakini likitokea la kutokea Rwanda, jeshi la Rwanda si moja tena.

Hivyo basi, baada ya Amin kuishambulia Tanzania na Tanzania kujibu mapigo; wale waliokuwa na nidhamu ya woga ndani ya Uganda wakaanza kuungana na Tanzania kumshikisha adabu Amin! Leo hii kikinuka kati ya Tanzania na Rwanda, Rwanda hawatakuwa na pa kujishikia kwa sababu hawatakuwa na ubavu wa upande mmoja wawe wananyukwa na Tanzania na upande mwingine wawe wanapigwa na FDLR....na hata wale Wanyarwanda walio ndani ambao leo hii wanaonekana ni wamoja ndipo utakapokuja kugundua si wamoja! Chuki za Wahutu na Watutsi ambazo zilidumu kwa karibu karne nne(miaka 400) haiwezekani ziwe zimeisha ndani ya miaka 20 wakati waathirika wa chuki hizo bado wapo hai! Usisahau, FDLR inaundwa na Wahutu ambao ni about 80% ya Wanyarwanda....hawa lazima watapata support hata kutoka ndani ya Rwanda kwenyewe! Hilo jeshi lenyewe la Rwanda litaanza kujichekecha lenyewe, haitashangaza hata kidogo kuona ndani ya muda mfupi RDF nao wanagawanyika! Katika hali kama hiyo itakuwa ni kujidanganya kutaka kushindana na Tanzania kijeshi!

Nimekupa maelezo hayo si kukueleza kwamba TPDF italazimika kupata msaada kutoka kwa maadui wa serikali ya Rwanda kama vile FDLR ili iweze kuishinda RDF bali nimekupa maelezo hayo kukuonesha kwamba hiyo determination unayoisema imejengwa sawa na yale makabati ya mbao ya kuchomeka ambayo hayana msumari hata mmoja! Usijidangannye, Rwanda is still volatile community! Good enough to Kagame supporter ni kwamba, Kagame isn't that reckless....ataishia tu kubweka na wala hawezi kuthubutu japo kutia tu kidole chake ndani ya ardhi ya Tanzania. Na even more important, Tanzania kwa sasa ina Rais ambae ni mjuvi wa kupuuza na asiye mropokaji! In short, isn't entertainer wa Vita vya Maneno! Siku nchi hii ikija kuwa na Rais kama Membe ambae anaonekana ni shabiki mzuri wa vita, basi huenda hivi sasa ingekuwa tunatarajia mengine!
 
Ninarudia tena, ule wakati wa kutuaminisha kuwa FDLR simply ni wauaji tu umeshapitwa na wakati, we know the truth. Kulikuwa na vita vya miaka minne kati ya waasi wa RPA (wakiongozwa na kagame/Rwigema) vs Taifa huru la Rwanda (jeshi la FAR). Sasa ukiondoa habari ya 'genocide', vile vita bado havikuisha! Kagame alipindua nchi na jeshi la FAR likahamia congo na kuji-reinvent kuwa FDLR (ikiwa both a political party +jeshi). Wananchi wa Rwanda hawakumchagua kagame, kagame imposed himself! Jeshi la kitutsi la RPF halire-present wanyarwanda wote, lina-represent watutsi tu ambao hawavuki 15%. Kwa majority ya wanyarwanda serikali ya RPF ni serikali ya kikoloni tu, serikali yao ni FDLR! Of course tatizo ni kuwa right now Kagame ameshikilia mpini (support of international (read america) community), so the Hutus are silent for now. lakini let me tell you, if a day should come jeshi la FDLR likaingia Rwanda, utashangaa jinsi majority watavyolisupport!

Kagame anaogopa FDLR kwa kuwa bado kwenye international community especially African countries zenye akili kama Tanzania, tunafahamu kuwa FDLR (formerly FAR) ndio kundi lenye uhalali wa kuongoza Rwanda. Kagame alikuwa puppet tu wa Marekani kwa ajili ya kuondoa influence ya France nchini congo (kumpindua Mobutu), ili ihamie marekani (installing L. kabila). So you can't simply wish FDLR away, ni serikali halali iliyopinduliwa na waasi wa RPA.

Ndio maana kwa upande mwingine wako members wa FDLR waliokuwa bribed na kagame na sasa wamerudi Rwanda kushirikiana na serikali. Hii inawezekana vipi kama FDLR walikuwa kundi la wauaji tu? si wangeshtakiwa? Ukweli ni kuwa FDLR is a very strong political force. Ndio maana hata RPF wanaotofautiana na kagame wanaunda alliance na FDLR, kwani wanajua kuwa propaganda zao walizokuwa wanapiga dhidi ya FDLR zilikuwa uongo mtupu. Inakuingia akilini mtu kama Nyamwasa au karegeya kujiunga na FDLR kirahisi rahisi tu kama definition ya FDLR ndio hiyo uliyonayo wewe? Inaingia akilini hao FDLR wenyewe kukubali kujiunga na ex-RPF members kama hao, ikiwa FDLR are simply "tutsi killers/genocidaires"? Hii inawezekana tu, pale ambapo FDLR ni tofauti na unavyodai wewe.
FDLR sasa inaungwa mkono hata na watutsi ex-RPF kama marehemu karegeya, nyamwasa, rudasingwa na wengineo hili ndilo tatizo kwa Kagame. Propaganda za kwamba FDLR ni hutu extremists sasa zinaanza kuonekana kuwa ni uongo, FDLR inaanza kuwa ya wote.

Kwa upande wetu Tanzania whether we are hosting or listening to anybody, it shouldn't matter to anybody else, especially Kagame. Uganda hosted Kagame did you say anything? we hosted L. Kabila did you say anything? all these went on to remove democratically elected governments didn't they? Tanzania ina haki ya kuamua uhalali wa kumu-host whoever we like. Kwa nini ilikuwa halali kwetu kumu-host muasi L.kabila? Tuliona kuwa kwa mawazo yetu his fight was legitimate.
Vivyo hivyo kama tumeamua kuwasikiliza FDLR (and i dont say we do) it is entirely our business, unless ni kinyume na international law. Lakini hili la ku-act as if Twagiramungu ni Osama bin Laden hatukubaliani nalo. Ubaya wake au uzuri wake tutaamua sisi, tutawapima FDLR kwa akili zetu.
Nakugongea like manually
 
Aisee, unajipa matumaini ya ajabu sana! Kwanza unafahamu sababu nyingine iliyoifanya Tanzania imchape Amin kirahisi? Kwanza si kweli hata kidogo kwamba Amin alikuwa mchovu! Amin alikuwa na jeshi imara na vifaa vya kijeshi vilivyoenda shule! Tatizo kubwa lililomfanya ashindwe kirahisi ni kwa sababu Uganda yenyewe ilikuwa imegawanyika! Kilichokuwepo Uganda wakati ule wala hakina tofauti na kilichopo Rwanda kwa sasa! Kulikuwa na Waganda wengi wafuasi wa Obotte nchini Tanzania....hawa walikuwa ni maadui wa Amin kama ambavyo FDLR walivyo nchini DRC ambao ni maadui wa Kagame Regime! INgawaje jeshi la Uganda lilionekana ni moja lakini halikuwa moja...lilikuwa ni jeshi lenye nidhamu ya uoga na wala si kwamba walikuwa wamoja! Umoja uliopo Rwanda ni umoja wa uoga na wala sio wa utashi...wanafahamu wazi kwamba wakileta chokochoko zao, watakiona cha moto! Kutokana na hilo, hata jeshi la Rwanda litaendelea kuonekana kuwa moja pale tu Rwanda itakapokuwa moja lakini likitokea la kutokea Rwanda, jeshi la Rwanda si moja tena.

Hivyo basi, baada ya Amin kuishambulia Tanzania na Tanzania kujibu mapigo; wale waliokuwa na nidhamu ya woga ndani ya Uganda wakaanza kuungana na Tanzania kumshikisha adabu Amin! Leo hii kikinuka kati ya Tanzania na Rwanda, Rwanda hawatakuwa na pa kujishikia kwa sababu hawatakuwa na ubavu wa upande mmoja wawe wananyukwa na Tanzania na upande mwingine wawe wanapigwa na FDLR....na hata wale Wanyarwanda walio ndani ambao leo hii wanaonekana ni wamoja ndipo utakapokuja kugundua si wamoja! Chuki za Wahutu na Watutsi ambazo zilidumu kwa karibu karne nne(miaka 400) haiwezekani ziwe zimeisha ndani ya miaka 20 wakati waathirika wa chuki hizo bado wapo hai! Usisahau, FDLR inaundwa na Wahutu ambao ni about 80% ya Wanyarwanda....hawa lazima watapata support hata kutoka ndani ya Rwanda kwenyewe! Hilo jeshi lenyewe la Rwanda litaanza kujichekecha lenyewe, haitashangaza hata kidogo kuona ndani ya muda mfupi RDF nao wanagawanyika! Katika hali kama hiyo itakuwa ni kujidanganya kutaka kushindana na Tanzania kijeshi!

Nimekupa maelezo hayo si kukueleza kwamba TPDF italazimika kupata msaada kutoka kwa maadui wa serikali ya Rwanda kama vile FDLR ili iweze kuishinda RDF bali nimekupa maelezo hayo kukuonesha kwamba hiyo determination unayoisema imejengwa sawa na yale makabati ya mbao ya kuchomeka ambayo hayana msumari hata mmoja! Usijidangannye, Rwanda is still volatile community! Good enough to Kagame supporter ni kwamba, Kagame isn't that reckless....ataishia tu kubweka na wala hawezi kuthubutu japo kutia tu kidole chake ndani ya ardhi ya Tanzania. Na even more important, Tanzania kwa sasa ina Rais ambae ni mjuvi wa kupuuza na asiye mropokaji! In short, isn't entertainer wa Vita vya Maneno! Siku nchi hii ikija kuwa na Rais kama Membe ambae anaonekana ni shabiki mzuri wa vita, basi huenda hivi sasa ingekuwa tunatarajia mengine!

You nailed it mkuu, pokea like manually
 
JMali unatatizo kubwa sana kimtizamo,kumbuka hizo hosting unazo sema ilikua wakati wa Mwalimu nyerere,sio wakati wa huyu muhutu "kikwete luhanga" anaye endeleza chuki dhidi ya watusi,lakini ninacho kueleza kikwete atailetea tz kiama,mwache aendelee kupanga mambo mabaya dhidi ya watusi na pk time will tell.

Hivi huyu anagonga keyboard za digital device yake akiwa wapi? Kama yukoTz asakwe awe assassinated haraka. TISS please do the needful , we don't need this clap
 
Sio wanyarwanda, sema tuwaepuke WATUTSI (Hapa wanajiita waha, wahangaza, washubi nk) kama ukoma. Wapo wengi km mwal mmoja pale UD anaitwa Rubindamayugi (sijui bado yupo), wabunge km ntukamazina na serukamba... tuache kuwa naive, hawa watu waangaliwe kwa makini sana. Wengine wanajiita Senior Citizens kumbe wapasha habari wa kagame!

Huyu ntukamazina alikuwa mkurugenzi pale utumishi. Akawachomeka wanyarwanda wenzake serikalini. Sujiu usalama wa nchi wanajua hili.
 
MUKAMASIMBA,
Unashangaa kwanini Watanzania wanahemuka kwa jazba? Hivi unafahamu maana ya propaganda? Leo hii Tanzania ikitaka kuishambulia Rwanda au nchi yoyote ile, kitu cha kwanza ni ku-frame propaganda! Wakati George Bush anataka kuivamia Iraq, alianza kwanza kutangaza kwamba Iraq wana Weapons of Mass Destruction (WMD). Wakati Amin anataka kuivamia Tanzania alianza kwanza kutangaza kwamba Mkoa wa Kagera ni sehemu ya Uganda! Sisemi kwamba hiyo habari ya News of Rwanda nayo ni propaganda ya Rwanda dhidi ya Tanzania but no one peace of information need to be ignored in any way provided it's interest in national security! Media inapoandika kwamba J.K amemkaribisha mbaya wa Kagame tena kama special guest huku akipewa hifadhi ya siri, hapo ni kwamba panatengenezwa kitu. Na kwa jinsi haya mambo yalivyo, watengenezaji kila cku watakaa pembeni kusubiri reaction. Na kwa kumfahamu jinsi Kagame alivyo, hatutashangaa hata siku moja akija kutoa kauli za hovyo hovyo dhidi ya Tanzania/JK. So, shouldn't Tanzanians be curious about the news?

Mkuu upo saw a Kabisa. Ningekuwa mkurugenzi kule usalama wa nchi ningekupa kitengo cha propaganda. You're very intelligent.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom