DOKEZO Vyoo vya Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya ni hatarishi kwa wagonjwa

DOKEZO Vyoo vya Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya ni hatarishi kwa wagonjwa

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Vyoo vya Umma vya eneo la Mapokezi ya Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya ni vichafu havifai kuwa eneo kama la Hospitali kubwa ya umma. Huku ni kurudisha nyuma jitihada za Rais Samia anayekosa usingizi kuboresha huduma za afya kila siku

IMG_20240403_144114_367.jpg
IMG_20240403_144114_367.jpg
IMG_20240403_144127_899.jpg
IMG_20240403_144135_950.jpg
IMG_20240403_144137_220.jpg
 
Hapa usafi mara ya mwisho ilikuwa enzi za mwalimu
 
Hivyo vyoo vimezeeka tangu miaka ya 2000 vilikuwa hivyo hivyo

Anyway wewe upo Mbeya umejuaje Rais Samia anakosa usingiz?
 
Daah wana vyoo vya hovyo hapo na vichafu vinanuka mpaka hapo Reception yao ila majengo mengi yanajengwa wamesahau hivyo vyoo. Kutumia hivyo vyoo inatakiwa uwe jasiri sana...
 
Ukurutu, watafute Lysol wamalize kipengele hicho
 
Back
Top Bottom