Kijana kijana
JF-Expert Member
- Mar 11, 2018
- 2,546
- 2,621
sijui ni ushamba wangu ama vipi,hivi vyoo vya sinki kila nikijitahidi(hasa vya kukaa)naona ukiwa unashusha kontena za makonda maji yarukia kwenye makalio.
Sasa ni mimi tu,ama ni asili yake hata kwenu ama vipi,mana kontena ikiwa majini inavurugika na maji ukishusha lingine maji hayo hayo yanarukia chini ya makalio.
Sasa hii inatofauti gani na vyoo vile vya kulenga?
Tena bora vile kama havijajaa jaa
الجنون فنون
Sasa ni mimi tu,ama ni asili yake hata kwenu ama vipi,mana kontena ikiwa majini inavurugika na maji ukishusha lingine maji hayo hayo yanarukia chini ya makalio.
Sasa hii inatofauti gani na vyoo vile vya kulenga?
Tena bora vile kama havijajaa jaa
الجنون فنون