KERO Vyoo vya Stendi Kuu ya mabasi Bweri ni vichafu na vinatisha

KERO Vyoo vya Stendi Kuu ya mabasi Bweri ni vichafu na vinatisha

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

desmond3076

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2015
Posts
279
Reaction score
184
Hali ya vyoo vya stendi ya mabasi ya Bweri katika Halmashauri ya Manispaa ya Musoma ni ya kutisha. Vyoo hivyo ni vichafu, vimejaa, na masinki yameharibika, huku kukiwa hakuna maji kabisa. Pamoja na changamoto hizi, mamlaka husika zimeendelea kukusanya mapato bila kuchukua hatua yoyote ya kuboresha hali hiyo.

Hali hii ni hatari na inaweza kusababisha magonjwa ya mlipuko. Ni muhimu viongozi na wahusika wachukue hatua mara moja, kwani ni miezi kadhaa sasa bila mabadiliko yoyote.
IMG_20250102_113749.jpg
IMG_20250102_113807.jpg
IMG_20250102_113811.jpg
IMG_20250102_113757.jpg
IMG_20250102_113816.jpg
IMG_20250102_113749.jpg
IMG_20250102_113752.jpg
 
Back
Top Bottom