Vyoo vya stendi ya Kahama ni vichafu sana na hatari kwa Afya

Vyoo vya stendi ya Kahama ni vichafu sana na hatari kwa Afya

TheCrocodile

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2021
Posts
1,199
Reaction score
3,307
Ninaomba nikufikishie hii kero iliyoko Stand ya Mabasi - Kahama mjini. Pamoja na kuwepo choo bora cha manispaa, bado kuna vyoo hatarishi (kama hiki) kwa afya za Watanzania na wasafiri wanaotumia stand hii ya Kahama.

Nimeambatanisha picha hapa chini kama ushahidi. Mamlaka husika tunaomba mchukue hatua kuboresha hali ya hivi vyoo, ni aibu sana.
Screenshot_2023-10-18-19-47-20-699_com.twitter.android.jpg
Screenshot_2023-10-18-19-47-16-091_com.twitter.android.jpg
 
Ninaomba nikufikishie hii kero iliyoko Stand ya Mabasi - Kahama mjini. Pamoja na kuwepo choo bora cha manispaa, bado kuna vyoo hatarishi (kama hiki) kwa afya za Watanzania na wasafiri wanaotumia stand hii ya Kahama.
Nimeambatanisha picha hapa chini kama ushahidi.Mamlaka husika tunaomba mchukue hatua kuboresha hali ya hivi vyoo, ni aibu sana.
Nchi hii viongozi ni wepesi sana kuanzisha mambo mapya ila matunzo ni 0, hilo la Kahama lipo mpaka stand kuu Dodoma
 
Nchi hii viongozi ni wepesi sana kuanzisha mambo mapya ila matunzo ni 0, hilo la Kahama lipo mpaka stand kuu Dodoma
Usimamizi ZERO alafu wanachukua Pesa, hapo hapo KESHO utakuta kuna mwehu mmoja kaibuka anapinga na kusema mnaichafua kahama km alivyoibuka yule dogo wa UDOM na uongozi wa Chuo kupinga suala la KUNGUNI waliojazana UDOM
 
Hii ni stand ipi kaka; Cdt, Stand kuu au ya Dodoma?
 
Ukiina hivyo ujue fedha za fumigation ziliingia mfukoni mwa wajanja
Nimesikia leo redioni hawapingi suala la kuwepo KUNGUNI Ila wanapinga suala la mwanafunzi kufichua maovu JF kwamba UDOM kumejaa KUNGUNI
 
Usimamizi ZERO alafu wanachukua Pesa, hapo hapo KESHO utakuta kuna mwehu mmoja kaibuka anapinga na kusema mnaichafua kahama km alivyoibuka yule dogo wa UDOM na uongozi wa Chuo kupinga suala la KUNGUNI waliojazana UDOM
Kahama ni mji mchafu sana.
 
Wapumbavu walitakaje kama wanasiasa walivyo
Yaan hawapingi kuhusu KUNGUNI kuwepo UDOM Ila wanapinga mwanafunzi kufichua maovu JF kwamba UDOM kumejaa KUNGUNI, sasa aliekula Pesa za kupulizia KUNGUNI atasema alipozipeleka maana dogo kamchoma
 
Sasa hizo 300 300 na 1000 1000 wanazochukua nani anazila? Badala ya kununua vifaa vya usafi?
Dodoma na Cdt usafi walikuwa wanajitahidi sana, stand kuu sina ufahamu nayo.

Na hela wanazikusanya kinoma. Kuna madem flani mawili yamekaa 'kiforex exchange'.
 
Dodoma na Cdt usafi walikuwa wanajitahidi sana, stand kuu sina ufahamu nayo.

Na hela wanazikusanya kinoma. Kuna madem flani mawili yamekaa 'kiforex exchange'.
Kwa hio Pesa wanakusanya kisha wanaongeza vitambi?
 
Ninaomba nikufikishie hii kero iliyoko Stand ya Mabasi - Kahama mjini. Pamoja na kuwepo choo bora cha manispaa, bado kuna vyoo hatarishi (kama hiki) kwa afya za Watanzania na wasafiri wanaotumia stand hii ya Kahama.
Nimeambatanisha picha hapa chini kama ushahidi.Mamlaka husika tunaomba mchukue hatua kuboresha hali ya hivi vyoo, ni aibu sana.
Yaani Haja kubwa 300 na haja ndogo 300???

Hata kama nimelipia haja ndogo ntahakikisha najilazimisha hadi ninye hata kama sijabanwa
 
acheni kunya pembeni na mjitahidi kunywa maji mikojo njano kama jezi ya wananchi iache kutoa harufu mbaya na kali kweli?

Chooni ni mahala pa lazima sio hiari,
ukinya hakikisha unalenga shimo vizuri ama umeflash baraabara mkimba uloshusha kwa kishindo....

Lakini pia kuleni matunda ndugu zangu, kuna mtua akiingia chooni akishusha mkimba unatoa moshi wake na harufu mbaya sana inasaambaa more than 1Km
 
Back
Top Bottom