Magical power
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 2,158
- 5,626
Vyoo vyetu vya enzi hizo, lakini ajabu hakujakuwa na magonjwa ya UTI tofauti na sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa muhengaHapo ni umaridadi wako wa kulenga tu.
Dawa ya harufu majivu.
Muda unaenda mbio sana.
Si ndio 😂😂😂Watoto wa Kinondoni watajua huo ni mfereji.
😂😂😂🔥ukishusha mzigo kama sio mlaini huyapiga yale maji na kukurukia sehemu za siri.
Mzigo unaenda moja kwa moja chini na baadaye humwagwa majivu humo humo UTI haichomoi. Kutumia maji ni optional lakini wengi tulitumia gazeti, majani n.k. alimradi umejiweka safi.Vyoo vyetu vya enzi hizo, lakini ajabu hakujakuwa na magonjwa ya UTI tofauti na sasaView attachment 3145857
Tena humo ilikuwa ndo makazi ya kudumu ya majoka makubwa kama koboko, kifutu nk.Vyoo vyetu vya enzi hizo, lakini ajabu hakujakuwa na magonjwa ya UTI tofauti na sasaView attachment 3145857
Sio kweli. Kama Usafi wa kina ukiwa unafanyika nje na ndani ipasavyo ni nadra sana umkute nyoka tena mkubwa ndani ya eneo hilo. Wazee walilijua hilo na walikuwa wanapanda aina ya miti mimea sio rafiki kwa nyoka e.g. omwitanjoka kwa kihaya au maua kaburi (Vinca rosea) kuzunguka hapo.Tena humo ilikuwa ndo makazi ya kudumu ya majoka makubwa kama koboko, kifutu nk.
Tumpe maua yakeHongera mleta maada hiyo picha naona umepiga jana tu hongera kwa kudumisha mila
