KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
basi ujumbe ausome aupe heshima yake na andele na mambo yako ππHivi upo serias
Huenda jamaa ana mtaji
Kidumu chama Cha Majobless PromaxUsijali unakaribishwa kwenye Chama/ Taasisi ya majobless pro max kikiongozwa na Mh Rais wa majobless pro max Intelligent businessman na makamu wake Bolotoba katibu akiwa hon. min -me waziri wa mambo ya ndani Edo kissy wakili wa chama ni Selikavu na msemaji wao mr makutupora mbele ya hiki kikosi hadhi,utu na heshima yako kama jobless inahifadhiwa,itatewa na kusimamiwa ipasavyo
Kidumu chama cha majobless pro max
Ewaa kijana Sasa ume iva, hivi min -me na makutupora kijana niki mpa cheo Kuna shida?Usijali unakaribishwa kwenye Chama/ Taasisi ya majobless pro max kikiongozwa na Mh Rais wa majobless pro max Intelligent businessman na makamu wake Bolotoba katibu akiwa hon. min -me waziri wa mambo ya ndani Edo kissy wakili wa chama ni Selikavu na msemaji wao mr makutupora mbele ya hiki kikosi hadhi,utu na heshima yako kama jobless inahifadhiwa,itatewa na kusimamiwa ipasavyo
Kidumu chama cha majobless pro max
Huyu ni kijana wetu mtiifu sana apewe tu mwenyekiti.Ewaa kijana Sasa ume iva, hivi min -me na makutupora kijana niki mpa cheo Kuna shida?
mtukufu au mtukutu?Niko mafichoni kwanza mkuu kwa dua na sala huenda mtukufu triump akabadili maamuzi
Hakuna shida apeweew cheo maana mapenzi na chama Bali haya ni mahabaaaaEwaa kijana Sasa ume iva, hivi min -me na makutupora kijana niki mpa cheo Kuna shida?
Waliowahi kufukuzwa ni wale wa Tempo na vimkataba vya mwezi mwesi ila wenye mikataba ya mwaka wameambiwa wapumzike tu hadi hali itakavokuwa sawa
Kabisa kiongozi hapo umempatia kabisa
TAARIFA KWA UMMMA π€
Mh Rais wa majobless pro max Intelligent businessman mimi dosho12 naahidi kutumikia chama kwa moyo wangu wote chini ya viongozi wangu na natoa ahadi ya kusajili wanachama wenye sifa na weledi katika chama, Mungu ( sorry min -me ππ) aniongoze. Naomba kuwasilisha
ngubl. Mungu awafqnyie wepesi!Niko mafichoni kwanza mkuu kwa dua na sala huenda mtukufu triump akabadili maamuzi
min -me kijana wako huyo , muongoze katika chama.Mh Rais wa majobless pro max Intelligent businessman mimi dosho12 naahidi kutumikia chama kwa moyo wangu wote chini ya viongozi wangu na natoa ahadi ya kusajili wanachama wenye sifa na weledi katika chama, Mungu ( sorry min -me ππ) aniongoze. Naomba kuwasilisha
Kidumu chama cha majobless pro max