Udart
JF-Expert Member
- Nov 5, 2016
- 398
- 586
nasikia mlikuwa mnalipwa 5m+ Kima Cha chini asaiv mkisikia trump mnataman kuzimia Nina mwanangu alikuwa anafanya kazi huko yeye mda wote ID Iko shingoni hatoi hata akitoka kazn sawa na wafanyakazi wa shule za Ist fully kuvimba mda wote😀😀