dosho12 katibu ame ridhika kukuongoza.Asijali mkuu
Mitano tena😂Usijali unakaribishwa kwenye Chama/ Taasisi ya majobless pro max kikiongozwa na Mh Rais wa majobless pro max Intelligent businessman na makamu wake Bolotoba katibu akiwa hon. min -me waziri wa mambo ya ndani Edo kissy wakili wa chama ni Selikavu na msemaji wao mr makutupora mbele ya hiki kikosi hadhi,utu na heshima yako kama jobless inahifadhiwa,itatewa na kusimamiwa ipasavyo
Kidumu chama cha majobless pro max
Imekaa poa sana Raisi wa majobless pro max, jamaa anafaa kwenye hiyo nafasi✊🏿 mitano tena.
Niliwaza hili pia.Mie nahisi baadhi ya serikalli zitasitisha ajira au kupunguza wafanyakazi kupunguza gharana. Tujiandaeni jamani, lolote linaweza kutokea.
Kweli kapata timu itakayomlipa zaidi.Kama Ramovich alivyoaga Yanga mzee mwenzangu
Natumai utaridhika na utendaji wangu katika chama waziriKaribu sana dosho12 katika chama chetu cha majobless pro max... Leo nitakesha na file lako ili nione uadilifu wako umekaaje kwaajiri ya ustawi wa chama chetu.
Waziri wa mambo ya ndani wa chama cha majobless pro max.
KidumuUsijali unakaribishwa kwenye Chama/ Taasisi ya majobless pro max kikiongozwa na Mh Rais wa majobless pro max Intelligent businessman na makamu wake Bolotoba katibu akiwa hon. min -me waziri wa mambo ya ndani Edo kissy wakili wa chama ni Selikavu na msemaji wao mr makutupora mbele ya hiki kikosi hadhi,utu na heshima yako kama jobless inahifadhiwa,itatewa na kusimamiwa ipasavyo
Kidumu chama cha majobless pro max
TawireUsijali unakaribishwa kwenye Chama/ Taasisi ya majobless pro max kikiongozwa na Mh Rais wa majobless pro max Intelligent businessman na makamu wake Bolotoba katibu akiwa hon. min -me waziri wa mambo ya ndani Edo kissy wakili wa chama ni Selikavu na msemaji wao mr makutupora mbele ya hiki kikosi hadhi,utu na heshima yako kama jobless inahifadhiwa,itatewa na kusimamiwa ipasavyo
Kidumu chama cha majobless pro max
ApeweEwaa kijana Sasa ume iva, hivi min -me na makutupora kijana niki mpa cheo Kuna shida?
Chain ni ndefu Sana sema Sisi washika pembe ni watu wa kwanza kujeruhiwaHizi kazi za kuajiriwa sometimes ni utumwa. Ikitokea any change in technology or policies mambo yanaharibika kwa waajiriwa. So ni suala la kujipanga kwa plan B
Kidumuuuuu, unaonekana umenyooka na utakisaidia chama, bila shaka muheshimiwa raisi Intelligent businessman hakufanya makosa kwenye huu uteuzi.Natumai utaridhika na utendaji wangu katika chama waziri
Kidumu chama cha majobless pro max
Basi usikute humo ndani una sinema za ngono tupu tu.