nasikia mlikuwa mnalipwa 5m+ Kima Cha chini asaiv mkisikia trump mnataman kuzimia Nina mwanangu alikuwa anafanya kazi huko yeye mda wote ID Iko shingoni hatoi hata akitoka kazn sawa na wafanyakazi wa shule za Ist fully kuvimba mda woteππ
Ni kweli kabisaHicho wape tu, wale wanajua kila kilicho chao kilipo
Humu waleta taarifa huwa wako ahead of time plus ukweli kidogo na uongo kwa wingi.Hakuna shirika ambalo limesha fanya handover mkuu....
Hata usiogope Kila kitu kitakaa sawa iwe hapo usaid au sehemu nyingine, tulia relax, mambo yataenda na usiogope kwani kazi ni Moja tu? Pia huenda hata hukuwahi fikiria kama utafanya kazi usaid so Relax, Kisha hi cho kiflash hakuna shida tumia tu Wala hakuna shaka, muhimu usiumize kichwa Kwa Sasa tulia na uanze kama umetoka chuo vile utaona mambo yanajiseti yenyewe.Chain ni ndefu Sana sema Sisi washika pembe ni watu wa kwanza kujeruhiwa
Ni Muda ni jibu
Wakabidhi tu mali yao kabla mambo haijawa mbaya